Nchi yetu inao wasomi wengi wakuisimamia kwa uadilifu wizara hii ya Nishati,Mhe:Rais soon kama siyo very soon atatuteulia yule anayefaa.
Kwa maoni yako, ni nani ndani ya serikali au nje ya serikali unaona anafaa kushika nafasi hii?Piga kura yako kabla uteuzi haujatangazwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maoni yako, ni nani ndani ya serikali au nje ya serikali unaona anafaa kushika nafasi hii?Piga kura yako kabla uteuzi haujatangazwa
Sent using Jamii Forums mobile app