MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
wanabodi hii ndio top five yangu ya majina ya wagombea watakaochuana ili kupata majina matatu yatakayotupa jina moja kwenye vikao vya mwisho vya chama.
TOP FIVE YENYEWE NDIO HII
1: EDWARD NGOYAI LOWASA
2: AGUSTINO RAMADHANI ( MCHUNGAJI)
3:BENARD MEMBE( KACHERO MBOBEZI)
4: MWIGULU MCHEMBA
5: JANUARY MAKAMBA
tusubiri tuonee
- professor. mark mwandosya
- dr. john magufuli
- rtd judge. augustino ramadhan
- professor. sospeter muhongo
- makongoro nyerere / asha rose migiro
nb. 85% hadi 95% mgombea atakayepitishwa kwa tiketi ya chama cha mapinduzi ni professor. mark mwandosya na vitu gani vinampa chapuo?
- sasa ni zamu ya watu wa nyanda za juu kusini kutoa rais hapa namaanisha upande wote wa magharibi mwa tanzania haswa mikoa ya kuanzia kigoma, rukwa, iringa, mbeya na katavi na tusisahau kuwa karibu maeneo makubwa ya kijiografia matatu yaliyobaki yameshatutolea marais ikiwemo mikoa ya kaskazini ( hayati baba wa taifa mwalimu julius kambarage nyerere, mikoa ya kusini rais mstaafu benjamini mkapa na mikoa ya mashariki rais aliyepo madarakani sasa jakaya kikwete.
- hana makundi na si mtu mwenye kueneza siasa za makundi.
- ana busara na hekima zote zinazotakiwa kwa kiongozi kama head of state.
- sasa ni zamu ya mkristo tena wa dhehebu lake la papa francis ambalo ndilo kubwa na lina influence kubwa sana hapa nchini ktk maamuzi yanayoihusisha hata serikali ila huwezi ukaliona hivi hivi mapaka uwe na macho ya ziada.
- na hata tu kule kupewa kwake uwaziri usio na wizara maalum ulikuwa ni mkakati wa umakini sana uliofanywa ili kumfanya asiwe ama asihusishwe ktk kashfa za aina zozote ambazo zingeweza kumuharibia kama wenzake wengine.
ni mtazamo wangu tu but i stand to be corrected pia.