Paulo hotay
New Member
- Jul 21, 2015
- 4
- 0
duh mzee wa maamuzi magumu hata yesu alikataliwa na wayahudi jiwe walilokataa limekuwa jiwe kuu la pembeni VIVA ENL
Lowasa ni mtu wa visasi na ndo maana hapo alipo amefurah sana anataka uongozi haraka haraka ili akalipize.yani magufuli ikulu mtindo mmoja.
Acha mawazo mgando fanya kazJaman Wtz msidanganyike tena Lowassa ndio mwisho Wa matatizo