T Topical JF-Expert Member Dec 3, 2010 5,173 935 Jan 2, 2011 Thread starter #81 Companero said: Inahitaji wanasheria wa Katiba na Haki za Binadamu kama Issa G. Shivji na Chris Maina Peter ila nahisi JK atampa Palamagamba Kabudi! Click to expand... Chris maina anaweza kuwa mwenyekiti, makamu mwenyekiti atatoka Zanzibar au vice versa
Companero said: Inahitaji wanasheria wa Katiba na Haki za Binadamu kama Issa G. Shivji na Chris Maina Peter ila nahisi JK atampa Palamagamba Kabudi! Click to expand... Chris maina anaweza kuwa mwenyekiti, makamu mwenyekiti atatoka Zanzibar au vice versa
T Topical JF-Expert Member Dec 3, 2010 5,173 935 Jan 2, 2011 Thread starter #82 Mtu wa Pwani said: nimekumbuka jaji dorado vp ? nnadhani kama anatufaa tena ni mweledi sana wa sheria Click to expand... Duh! huyu mzee bado yupo? simsikii kabisa...
Mtu wa Pwani said: nimekumbuka jaji dorado vp ? nnadhani kama anatufaa tena ni mweledi sana wa sheria Click to expand... Duh! huyu mzee bado yupo? simsikii kabisa...
T Topical JF-Expert Member Dec 3, 2010 5,173 935 Feb 7, 2014 Thread starter #83 Nani anafaa kuongoza bunge la katiba??? Tume ya katiba iliongozwa na Warioba wakisaidiana na Augustino
Nani anafaa kuongoza bunge la katiba??? Tume ya katiba iliongozwa na Warioba wakisaidiana na Augustino