Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
katika hotuba yake Jk hakuwahi kutaja majina ya Lowassa na chenge kama ndio magamba. Lowassa na chenge walitajwa kwenye list of shame kama mafisadi na Dr Slaa pale mwembeyanga. Hii ni moja ya sababu kubwa chadema wanageuka na kusema ni msimamo wa JK wakati ukweli ni msimamo wao juu ya lowassa na chenge