Kiongozi imara ana sifa moja kuu. Lazima awe na uwezo wa kufanya maamuzi na kusimamia kutetea maamuzi hata kama kutamgharimu. Kiongozi imara harudi nyuma.
JK alifanya maamuzi kuhusu kuwavua gamba mapacha watatu. Huo ndio ulikuwa uamuzi wa chama na ili chama kulinda heshima yake lazima kuutekeleza. Sasa JK anaonekana ku retreat, hii ni kwa sababu ni dhaifu na hawezi kutekeleza hata yale maazimio aliyoahidi kutekeleza.
Madhara ya kuacha kuchukua hatua dhidi ya Lowassa na Chenge ni kwamba CCM itapuuzwa na kuonekana ni chama cha mafisadi ambacho kimejaa uoga kuchukua hatua.
Ilikuwa hakuna sababu kuanzisha dhana ya kujivua gamba lakini kwa kiongozi mwenye nguvu kwa vile dhana hiyo imeshaanzishwa kwa ajili ya kukinusuru chama lazima itekelezwe.
Bila kutekelezwa wananchi watakuwa na mtazamo hasi zaidi dhidi ya ccm maana ni chama hicho chenyewe kilisema hawa ni mafisadi na wakapewa muda wajiondoe la sivyo wataondolewa
JK alifanya maamuzi kuhusu kuwavua gamba mapacha watatu. Huo ndio ulikuwa uamuzi wa chama na ili chama kulinda heshima yake lazima kuutekeleza. Sasa JK anaonekana ku retreat, hii ni kwa sababu ni dhaifu na hawezi kutekeleza hata yale maazimio aliyoahidi kutekeleza.
Madhara ya kuacha kuchukua hatua dhidi ya Lowassa na Chenge ni kwamba CCM itapuuzwa na kuonekana ni chama cha mafisadi ambacho kimejaa uoga kuchukua hatua.
Ilikuwa hakuna sababu kuanzisha dhana ya kujivua gamba lakini kwa kiongozi mwenye nguvu kwa vile dhana hiyo imeshaanzishwa kwa ajili ya kukinusuru chama lazima itekelezwe.
Bila kutekelezwa wananchi watakuwa na mtazamo hasi zaidi dhidi ya ccm maana ni chama hicho chenyewe kilisema hawa ni mafisadi na wakapewa muda wajiondoe la sivyo wataondolewa