Nani amewaambia Rais Samia, ndiye Rais 2025?

Nani amewaambia Rais Samia, ndiye Rais 2025?

TumainiEl

Platinum Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
7,267
Reaction score
14,275
Igwee naona mna nangana mnapashana na hata kuumizana kisa 2025 ajaye wanamjua na ndie Rais wa sasa wanaosema maneno hayo ni viongozi wa kisiasa na Serikali na wengi wao sio very highly ranking officer.

Jamani mnapata wapi huwo ujasiri ni kufumba macho na kutembea barabara ya mwendo kasi au mnajifanya hamjui mchakato.

Basi nawakumbusha tu kama ingekuwa Urais unasemewa kwenye majukwaa na kila sehemu na mtu akawa Rais basi Mh Malecela, Lowassa nk wangekuwa wameshakuwa Marais. Ila Haya ndie ajaye.
 
Igwee naona mna nangana mnapashana na hata kuumizana kisa 2025 ajaye wanamjuwa na ndie Rais wa sasa wanao sema maneno hayo ni viongozi wakisiasa na serikali na wengi wao sio very highly ranking officer.
Jamani mnapata wapi huwo ujasiri ni kufumba macho nakutembea barabara ya mwendo kasi au mnajifanya hamjuwi mchakato.... Haya ndie ajaye.
Mchakato upi TUMAINEL, Si wameshasema litachapishwa Jina moja tu???
 
Thread za namna hii Huwa zinakuvuruga sana chawa wewe!!!!

Maana zinasababisha ukose kufanya calculations zako kupata uteuzi MBELENI.

Anyway Nchi hii haitakuwa kamwe mikononi mwa kundi dogo.
Kwanza sina sifa za kuteuliwa maana mimi sitegemei vyeti na madarasa ku earn life so sipendi mje kuleta mataahira wengine watuvurugie biashara..
So sitafuti uteuzi popote.
 
kuna wahuni ndani ya Chama changu wanatengeneza hofu isiyokuwepo halafu wanajipa jukumu la kupambana dhidi ya kivuli feki ili kumhadaa Boss kuwa wanampigania dhidi ya adui wa kutengeneza ili Bosi aamini hawa vijana 'wananikubali kichizi '
 
kuna wahuni ndani ya Chama changu wanatengeneza hofu isiyokuwepo halafu wanajipa jukumu la kupambana dhidi ya kivuli feki ili kumhadaa Boss kuwa wanampigania dhidi ya adui wa kutengeneza ili Bosi aamini hawa vijana 'wananikubali kichizi '

i
Bado Pana wahuni Kwa Chama chako, tena viongozi!?

Chama la wahuni!!!!
 
Igwee naona mna nangana mnapashana na hata kuumizana kisa 2025 ajaye wanamjuwa na ndie Rais wa sasa wanao sema maneno hayo ni viongozi wakisiasa na serikali na wengi wao sio very highly ranking officer.
Jamani mnapata wapi huwo ujasiri ni kufumba macho nakutembea barabara ya mwendo kasi au mnajifanya hamjuwi mchakato.... Haya ndie ajaye.
MACHAWA wa NCHI HII WAMETUAMBIA
 
Back
Top Bottom