Nani amemroga Profesa Palamagamba Kabudi?

Nani amemroga Profesa Palamagamba Kabudi?

tangu siku ile ya mgombea binafsi simwanini huyu mzee
 
Hii ndo ilikuwa njia panda yake...pale ndo nami nilipigwa na butwaa kuwa huyu gwiji wa constitutional law kawaje? lazima kageuzwa bidhaa, tena a cheap very well read bidhaa. ni aibu sana kwake na yote aliyoyasimamia tangu awali. you have to live and stick to your principles...sio kugeuka jiwe tena ghafla bin vuu tena wakati ule ambao mchango wako unategemea zaidi na jamii yako. Aibu kwako sana palamagamba kabudi tena sana!

Alionja asali sasa ameamua kuchonga mzinga...Weee shilingi tamu jamani mzee kazoea chaki tu hakuna mheshimiwa wala nini mara kapewa sabuni ya roho na heshima kibao badala ya maswali chalenging toka kwa vichwa kule UDSM...Ukizingatia zile zinazotokana na kazi ya research; consultancy unazisotea mpaka mvi zinashindwa kusikilizana kwa jinsi zinavyo compete kila moja kuwahi kutokeza....Uwiiiiiiiiii hata mm karibu ntakuwa Pala mdogo nijilie maisha niachane na huu wehu wakila siku iitwayo leo kuimba kama kasuku miaka nenda miaka rudi the same development concepts and theories huku hao unao waimbia wakitoka madarasani wimbo wako wanauacha hapo hapo wenzako haoooo kusaka deal tu mawizarani pamoja na wanasiasa wao.
 
nawakumbusha kitu kimoja, kabla ya kuwa VC, Prof Mkandara alikuwa akifanya kazi Ikulu kama mshauri wa maswala ya siasa wa JK, na hii ilikuwa baada ya RDET inayoongozwa hadi leo na Prof Mkandara (MSIBISHE) kusaidia ushindi wa JK mwaka 2005. Alipopewa hisani ya kuwa VC na watu wenye akili zao kama Prof Mshana kuonekana hawana akili, Mkandara aliwaweka rafiki zake na wahaya wenzie katika system na mmoja wapo ni Prof Kabudi aliyempa ukuu wa shule ya sheria. na wote waliopewa nafasi na Prof Mkandara walikuwa automatically wateule wa JK na wanaokula matunda ya JK na kupata dili nyingi za serikali moja kwa moja. ndio maana Kabudi ametumiwa katika issue ya mgombea binafsi kwa manufaa ya CCM na kisha katika issue hii ya katiba mpya kwa manufaa yaleyale ya CCM na serikali. yapo mengi sana mfano Dr Ndumbaro ambaye alikuwa msaidizi wa Mkandara pale REDET sasa yeye ndo kapelekwa IKULU kula bata kwa kuwa mshauri wa JK siasa nafasi aliokuwa nayo mkandara kabla ya kuwa VC. kwa ufupi system, na fedha zimemroga Kabudi. sio yule kabudi wa zamni sasa. It's their turn to EAT, Mkandara, Kabudi, et al.
 
Vilaza wanajua sana kuchezea weledi, mwenye digrii amemlubuni Prof. mzima nae kaingia mazima mazima.
Kweli njaa haina baunsa
 
Tawala zote duniani hata zilizo mbovu kiasi gani zina watetezi wake. Prof. Kabudi ni mmoja watetezi wa aina hiyo. Uzuri ni kuwa historia ina tabia ya kuwahukumu vibaya sana wakati mwingine kwa kuwasahau kabisa.
 
nawakumbusha kitu kimoja, kabla ya kuwa VC, Prof Mkandara alikuwa akifanya kazi Ikulu kama mshauri wa maswala ya siasa wa JK, na hii ilikuwa baada ya RDET inayoongozwa hadi leo na Prof Mkandara (MSIBISHE) kusaidia ushindi wa JK mwaka 2005. Alipopewa hisani ya kuwa VC na watu wenye akili zao kama Prof Mshana kuonekana hawana akili, Mkandara aliwaweka rafiki zake na wahaya wenzie katika system na mmoja wapo ni Prof Kabudi aliyempa ukuu wa shule ya sheria. na wote waliopewa nafasi na Prof Mkandara walikuwa automatically wateule wa JK na wanaokula matunda ya JK na kupata dili nyingi za serikali moja kwa moja. ndio maana Kabudi ametumiwa katika issue ya mgombea binafsi kwa manufaa ya CCM na kisha katika issue hii ya katiba mpya kwa manufaa yaleyale ya CCM na serikali. yapo mengi sana mfano Dr Ndumbaro ambaye alikuwa msaidizi wa Mkandara pale REDET sasa yeye ndo kapelekwa IKULU kula bata kwa kuwa mshauri wa JK siasa nafasi aliokuwa nayo mkandara kabla ya kuwa VC. kwa ufupi system, na fedha zimemroga Kabudi. sio yule kabudi wa zamni sasa. It's their turn to EAT, Mkandara, Kabudi, et al.

Frankly speaking kuna mambo ya ajabu sana humo kwenye higher learning institutions na nashindwa kuelewa mtu msomi anakuwaje such short sighted kiasi hicho. Maana walikuwa wanalalamika hawapewi nafasi wakaamua kuwa wanasiasa; well and gud wengine wakawa mpaka mawaziri sasa ajabu ni kuwa serikali na bunge ambazo wamekuwamo zimekuwa the worst compared na wakati ambapo walikuwa wamebaki kwenye sehemu zao za kazi kitaaluma.

Wengi wanapoteuliwa ama kuchaguliwa ndiyo wamekuwa vinara wa kuingiza ndugu marafiki kwenye posts zingine zikiwa very sensitive...aise hawa wasomi ambao prof Baregu alitoa definition nzuri ya jina lao ni wabaya kuliko CCM yenyewe plus mafisadi wote. Maana wao wamekuwa kama nyundo inayotumiwa na wanasiasa uchwara kubomoa misingi mizuri ya nchi yetu.
 
...maana ya magamba inajulikana,na maana ya para si inajulikana? Huyo anaitwa PARA-MAGAMBA. Tafakari,chukua hatua!!
 
alipoingia kwa mara ya kwanza darasani kunifundisa family law niliamini kweli niko chuo kikuu na ninafundishwa na guru mwenye uwezo mkubwa, na baada ya kufundishwa nae kwa muda mrefu sikuamini kama kuna mtu tanzania ambaye anaweza kuwa na uwezo mkubwa katika maswala ya sheria za familia kwa wakati ule zaidi yake.

Naikumbuka sauti yake kali na maelezo yake yasiyobabisha nakumbuka pia wanafunzi wengi waliopendelea kukaa viti vya mbele walilalamika kuwa palmagamba alikuwa ananyesha sana, yaani akiongea anatoa mate huku na huku hilo sikulishuhudia kwani nilikuwa napendelea kukaa nyuma kama ilivyo mila yetu kuwa kijana wa kichaga unakaa nyuma ya familia ili kuilinda na kuhakikisha familia inakuwa salama sio uhuni kukaa backbencha.siamini mtu mahiri ambaye mara zote darasani aliiponda serikali na kuwaponda watendaji wake

mwalimu ambaye hakuna hata siku moja laiyowahi kusema zuri juu ya serikali na katiba yake,kila siku akijadili katiba alionyesha mapungufu makubwa juu ya katiba iweje leo ausifie mswada mbovu lazima amelogwa na huku ni kulogwa kwa kununuliwa na shilingi.

Alipoingia kwenye siasa za kinafki na kuanza kuchambua hoja ya mgombea binafsi kinafki bila kusema ukweli kwa wananchi niligundua kuwa mwalimu wangu sasa ana njaa ,na ameamua kutafuta umaarufu mwingine zaidi ya ule uliotukuka aliokuwa nao.nilifikiri labda anajiandaa kugombea ubunge sehemu fulani au ameahidiwa uanasheria mkuu.

Wiki iliyopita nilishangaa sana kumuona mwalimu huyu wa family law akiungana na adui yake mkubwa jaji wa zamani wa mahakama kuu kitengo cha biashara kwa kuteatea mswada mbovu wa katiba unaopelekwa bungeni kwa nguvu ya mafisadi na serikali isiyosikiliza maoni na matakwa ya watu waliowapeleka madarakani,""hii si sawa na ni lazima itambulike kuwa wanasiasa nyie ni watanzania pia na huu mswada unawahusu zaidi nyie"" haya ni baadhi ya manene yaliyomtoka guru wa sheria za kifamilia,na kunifanyua nijiulize ni nani aliyemloga guru huyu??


Naomba kumshauri mwalimu wangu kuwa kwa sasa amebaki peke yake mtaalamu na msomi anayeitetea ccm,aangalie sana isije ikawa mwaisho wa wema wake unafikia kuwa mwanzo wa ubaya wake.mabadiliko tunayoyataka ni lazima yaje,kwa nguvu au kwa hiari mkapa alisema haki haiombwi inadaiwa na ikishindikana inapiganiwa,tutaidai haki yetu hata kwa kuipigania.

basi mlipo ondoka huku nyuma guru huyo alichaguliwa na kasisi wa ccm kuwa mkuu wa shule ya law, basi sahau vile naye amekuwa mchumia tumbo,ndiyo hivyo je atamaliza nyumba yake vipi.nawakilisha
 
Mkuu upo sahihi kabisa, mto hoja hakumuelewa Prof. Tatizo la watanzania wengi Kama ilivyo kwa mtoa hoja wanapenda kuyasikia yale wanayoyapenda tu!

Haya na wew unalipwa ngapi bwana mkubwa tuambie tujue
 
basi mlipo ondoka huku nyuma guru huyo alichaguliwa na kasisi wa ccm kuwa mkuu wa shule ya law, basi sahau vile naye amekuwa mchumia tumbo,ndiyo hivyo je atamaliza nyumba yake vipi.nawakilisha

njaa inaua hata ndugu hivi kale kamjengo kake changanyikeni hajakamaliza mpaka waleo???duu
 
Tawala zote duniani hata zilizo mbovu kiasi gani zina watetezi wake. Prof. Kabudi ni mmoja watetezi wa aina hiyo. Uzuri ni kuwa historia ina tabia ya kuwahukumu vibaya sana wakati mwingine kwa kuwasahau kabisa.

Ni kweli, historia huwa haina haja na wale wote wenye kushindwa,
labda tu kunukuu tarehe walizokutwa na umauti wao...
 
nawakumbusha kitu kimoja, kabla ya kuwa VC, Prof Mkandara alikuwa akifanya kazi Ikulu kama mshauri wa maswala ya siasa wa JK, na hii ilikuwa baada ya RDET inayoongozwa hadi leo na Prof Mkandara (MSIBISHE) kusaidia ushindi wa JK mwaka 2005. Alipopewa hisani ya kuwa VC na watu wenye akili zao kama Prof Mshana kuonekana hawana akili, Mkandara aliwaweka rafiki zake na wahaya wenzie katika system na mmoja wapo ni Prof Kabudi aliyempa ukuu wa shule ya sheria. na wote waliopewa nafasi. SUBIRINI WAKATI TU,WAKATI UPO UNAKUJA NA MTAJUA MENGI. ITAKAPORIPUKA ISSUE YA DOWANS,NDIPO MTAKAPOJUA KUWA HUYU NI MMOJA WA WAFAIDIKAJI WA KULIIBIA TAIFA HILI. NI MMOJAWAPO WA WAFAIDIKAJI WA DOWANS,TENA KWA BARAKA ZA SERIKALI KUPITIA TANESCO. WAKATI UPO NA UKO KARIBU....tusubirie!!
 
haa haa haa haa haa ite ite ite!!!!!!!!!!!, kwa namna ulivyo lichambua jina lake na thubutu kusema pamoja na uprof wake, unamzidi busara, hekima. na maarifa.

kwa namna nilivyo muona sure anatafuta mkate sijui anabembeleza awe amrithi Prof. Mkandala wa udsm
 
Wacha ubaguzi wako wewe....kwani nani alikwambia wote wanaoishi Ngara ni wakimbizi? watch out your words. Ndo ubaguzi na siasa za kishenzi kama hizi tunazipiga vita zisiwe na nfasi ndani ya TANZANIA yetu huru tunayotaka kuijenga kwa katiba mpya.

Keep calm, carry on:embarassed2:

Wakimbizi utawajua tu,we ni mmojao maana hawana uchungu na nchi ambayo siyo yao.We fikiria watu kama akina RA atakuwa na uchungu na hii nchi saa ngapi.Sisi wenye nchi yetu tunauchungu sana so hatutaki manyang'au na wanafiki watuharibie nchi
 
huyu jamaa Ndo Anayeforce Ishu ya law scul anasema kama huna pesa ya lawscul nduguzo wakuchangie. Ni mtu wa kwanza na wa mwisho kupata gpa ya 4.8 Law ana masifa. Ndo aliyedraft mswada wa kwanza . Mh kikwete ndo alimtaja huyu kuwa mwanasheria maarufu Huyu jamaa AKA MC WA IKULU
 
Prof. Palamagamba kabudi

images


Hii ndo SOurce ya NENO GAMBA

Mkuu nimecheka kweli lol! yaani umenikumbusha falsafa ya kuvua gamba na ukifuatilia maana ya neno 'PALAMAGAMBA'='KUTOAMAGAMBA'. Ila sitaki kuamini kama kuna uhusiano na falsafa hiyo.

Hakuna kitu kibaya kama kukosa uhuru wa kusimamia kile unachokiamini na huo ni utumwa mbaya kuliko ule wa kuwekwa ndani au shambani kumlimia master. Ninakuhakikishia kuwa si Palamagamba, Kombani, au Werema wote wanaamini kuwa muswada huu ni FLAWED AB INITIO, Ila kwa kuwa wanamtumikia kafiri wacha wapate mradi wao.

The only thing can rescue these people from Kafiri ni kuwapa pressure ya umma ambayo wataitumia kujitetea mbele ya kafiri huyo kuwa walikuwa hawana jinsi zaidi ya kuachana na masilahi ya kafiri huyo na kutumikia waumini (Watanzania). Vikao vya ndani vya CCM vimeweka wazi kuwa katiba mpya itokanayo na watanzania ni one way ticket out of power, hivyo basi kwa kuwa hakuna anayeweza kumvisha paka kengere si JK wala Werema ni dhahiri wanachofanya sasa ni firewall against any attack from CCM Tycoons that they save them. Tukikaa kimya na kukubali kutomaswatomaswa tunakofanyiwa sasa basi tukijikuta wajawazito tusimlaumu mtu. We need to show them that what they are doing is not of national interest, they should either rescind the process or take the right path, the path of inclusiveness not monopoly.
 
Kwanza katika mazungumzo yake yote ya kuutetea mswada alijua anaongea uongo kwa sababu alikuwa anajiwekea kinga kwamba wananchi tusimuelewe vibaya,tusipinge kila kitu ,tutakosa tunachokitaka kama hatutauukubali haya si maneno ya kitaaluma na yanayoshawishi watu tuweze kufahamu nia ya serikali alikuwa amejiandaa kuuutea kwa nguvu zake zote
 
Dawa yake ni hii; akiwapa mtihani andikeni majibu ya uongo ili mfeli wote.akiwaita kwa supu ndiyo mfanye vizuri, sifa yake itakuwa imebomoka[/QUOT

sasa wewe ndo umechangia nini? si ungelike tu kama unahamu saana ya kujihusiksha na hii thread...............!!!!!!!!!!!
 
Kwa hili alilolifanya Magamba Kabudi,sina hamu na wasomi wa Tanzania,kwani uwezo wake wa kufikiri una tofauti gani na wa Professor Maji Marefu?sikuamini hicho kilichokuwa kinatoka kinywani mwake na kutamka mbele ya wa-TZ wengi walioangalia TV.
kama ni hivi silaha pekee ya kuikomboa nchi hii ni nguvu ya umma.
 
Back
Top Bottom