Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Nimeamua kutafuta bunduki hiyo matata kwa ajili ya kujilinda tu, wala si kushambulia. Naomba nisomeke, siku ya Kibamba day nataka niwe nayo ili polisi wasiniguse wala kunisogelea.
Kwani hujui kuna maduka ya silaha?
Waulizie watu walio katika dini inayoongoza kwa kutoa waumini wanao jitoa mhanga na kuondoa amani kabisa duniani.Nimeamua kutafuta bunduki hiyo matata kwa ajili ya kujilinda tu, wala si kushambulia. Naomba nisomeke, siku ya Kibamba day nataka niwe nayo ili polisi wasiniguse wala kunisogelea.
Kwani hujui kuna maduka ya silaha?
simple sana wewe tafuta gunia 5 za mahindi nenda nazo uvira kongo unarudi na za kukutosha kufungua amouri, kwani debe la mahindi bunduki moja., grunet wanabadilisha kwa sadolini ya mahindi karibu
Kwani hujui kuna maduka ya silaha?
maduka ya silaha bongo yanauza revolver, pistol, na riffle tu siyo AK 47. Hata mimi naitafuta hiyo AK 47!!
mtafute Abrahaman Kinana
Kwani hujui kuna maduka ya silaha?
Vp hii inakufaa??
Utaozea jela. Kuna msemo wa kihaya unasema; hata sungura akishiba hutamani kuonana na mbwa. Sikulaumu nadhani yaleyale ya sunguraNimeamua kutafuta bunduki hiyo matata kwa ajili ya kujilinda tu, wala si kushambulia. Naomba nisomeke, siku ya Kibamba day nataka niwe nayo ili polisi wasiniguse wala kunisogelea.