Nani alishawahi kufikiri hili?

kibajaj

Senior Member
Apr 12, 2011
106
26
Ni takribani mara ya tatu sasa ambapovituo vinavyouza nishati ya mafuta (petrol,diesel) vimesuasua hasa baada ya bei mpya kutangazwa na ewura. Nakumbuka ilikuwa july mwaka huu ambapo mabo yalikuwa mabaya zaidi juu ya suala hili. Pamoja na haya yote serikali ilishindwa kutoa tamko la karipio kwa wamiliki na wauzaji wa nishati hii.

wakafanya danganya toto kuwa BP imefungiwa kwa kukiuka agizo la serikali lakini baada ya muda mfupi tukaona vituo vya BP vinauza mafuta kama kawaida.

Haya yote yamesababishwa na sera hii ya serikali ya ubinafsishaji ambapo serikali iligawa kila kitu bila kufikiria hatma ya haya yote. iliua TIPA iliyokuwa inaingiza crude oil na kuisafisha hapa nchini ambapo bei ya mafuta ilikuwa ndogo sana wakati ule. Serikali hii hii ikaua TPDC ikizani kuwa ndiyo inajenga sasa haya ndo matokei yake.

Hiyo n sekta moja tu sasa hebu fikiria siku hawa VODACOM,AIRTEL,TIGO ZANTEL NA SASATEL wakigoma ni wangapi ambao bado wanatumia ttcl na coverage yake kwa Tanzania ikoje? wenye vyombo vya usafirishaji nao wakigoma ni makampuni mangapi ya umma ambayo yapo na yanaendelea kutoa huduma hii?

Jamani hata kama ni ubinafsishaji baadhi ya sekta serikali lazima ziwe za serikali bado na nguvu na si kuleta mchezo kwa sekta nyeti kama hizi za mawasiliano na usafirishaji.
 
Ni takribani mara ya tatu sasa ambapovituo vinavyouza nishati ya mafuta (petrol,diesel) vimesuasua hasa baada ya bei mpya kutangazwa na ewura. nakumbuka ilikuwa july mwaka huu ambapo mabo yalikuwa mabaya zaidi juu ya suala hili.Pamoja na haya yote serikali ilishindwa kutoa tamko la karipio kwa wamiliki na wauzaji wa nishati hii.wakafanya danganya toto kuwa BP imefungiwa kwa kukiuka agizo la serikali lakini baada ya muda mfupi tukaona vituo vya BP vinauza mafuta kama kawaida.
Haya yote yamesababishwa na sera hii ya serikali ya ubinafsishaji ambapo serikali iligawa kila kitu bila kufikiria hatma ya haya yote. iliua TIPA iliyokuwa inaingiza crude oil na kuisafisha hapa nchini ambapo bei ya mafuta ilikuwa ndogo sana wakati ule. Serikali hii hii ikaua TPDC ikizani kuwa ndiyo inajenga sasa haya ndo matokei yake.

Hiyo n sekta moja tu sasa hebu fikiria siku hawa VODACOM,AIRTEL,TIGO ZANTEL NA SASATEL wakigoma ni wangapi ambao bado wanatumia ttcl na coverage yake kwa Tanzania ikoje? wenye vyombo vya usafirishaji nao wakigoma ni makampuni mangapi ya umma ambayo yapo na yanaendelea kutoa huduma hii?

Jamani hata kama ni ubinafsishaji baadhi ya sekta serikali lazima ziwe za serikali bado na nguvu na si kuleta mchezo kwa sekta nyeti kama hizi za mawasiliano na usafirishaji.

Mkuu lazima kwanza ujiulize anayebinafsisha ni nani na anayesimamia zoezi hilo ni nani na nani anafaidika na zoezi hilo, baada ya hapo jiulize tena anayemiliki utoaji wa huduma hiyo kibiashara ni nani yaani kama ni mafuta ni nani anayauza? Kwangu mimi ni rahisi tu mtu huyo ni MWANASIASA! Mtunga sheria wa nchi ni huyo huyo mwanasiasa, anayepaswa kumsemea mwananchi ni huyo huyo mwanasiasa mpaka hapo unategemea nini? We need to to uproot the current corrupt system to a smart one! 2015 tusifanye makosa tena, na ikumbukwe kwamba suala sio kupiga kura pekee suala ni kuzilinda kura zetu baada ya kuvote. Democrasia inayofanyika kwa njia ya siri sio democrasian bali ni uongo unaofanyika kwa kisingizio cha maamuzi ya wengi. Watch out
 
Mkuu lazima kwanza ujiulize anayebinafsisha ni nani na anayesimamia zoezi hilo ni nani na nani anafaidika na zoezi hilo, baada ya hapo jiulize tena anayemiliki utoaji wa huduma hiyo kibiashara ni nani yaani kama ni mafuta ni nani anayauza? Kwangu mimi ni rahisi tu mtu huyo ni MWANASIASA! Mtunga sheria wa nchi ni huyo huyo mwanasiasa, anayepaswa kumsemea mwananchi ni huyo huyo mwanasiasa mpaka hapo unategemea nini? We need to to uproot the current corrupt system to a smart one! 2015 tusifanye makosa tena, na ikumbukwe kwamba suala sio kupiga kura pekee suala ni kuzilinda kura zetu baada ya kuvote. Democrasia inayofanyika kwa njia ya siri sio democrasian bali ni uongo unaofanyika kwa kisingizio cha maamuzi ya wengi. Watch out
Natamani kama watanzania wote wangekuwa positive thinker kama wewe mkuu.
 
corruption has corrupted the system! we need to overthrow ccm!! thats our only survival!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom