Mr simple M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 2,335
- 5,014
Aya toa hiyo mitatu maana tunakua tumelala
Nahisi kula mara tatu kulianzia ulaya wakati was industrialization era. Ilikaa kibiashara zaidi kuliko kiafya mtu unaweza survive Kwa mlo mmoja kamili kwa siku bila matatizo yoyote unless kama unafanya kazi ngumu sio mbaya ukiongeza. Na katika Milo isiokua ya muhimu kabisa ni Asubuhi Kwa maoni yangu lakini
Wewe ni mpare au mkinga?Unaweza kukula au usikule
Unaweza tengeneza ratiba na fomula yako utakavyo
Mimi nakula mara mbili kwa siku, saa nne au tano asb na saa tisa au kumi jioni mpka cku ingine
chapati tatu humalizi..!!!? 😂🤣🤣🤣🤣🤣
Pia ukila chapati 1 hushibi, na 3 humalizi.
Ni mwendo wa 2 tu…
Nani alisema uamke saa 12 asubuhi uwahi shamba?Tangu Utoto mpaka sasa ni Mtu mzima Kutwa mara Tatu Hii ilianzia wapi,Nani alianzisha Je nikila mara 2 au 1 kwa Siku au nikiamua kula mara 5 kuna madhara bila kukariri Chakula ni wali au Ugali n.k...Na ni Wazungu walituletea hii itakuwa ni Kututia Umaskini tu na Maradhi mbona wao hawakuli kama Hivi.
Mwanzo mwa 1900's makampuni ya cereal yalifund wanasayansi waseme "Breakfast is the most important meal" Ili wafanye biashara na kweli walifanikiwa sababu watu hawakua wanakula breakfast. Kwahiyo hicho ulichokisema wewe ni matokeo ya wanasayansi waliokua lobbied na cereal companies..Huna unachojua, ila ni bora umesema ni maoni yako…. msosi usio muhimu ni wa usiku.