Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,652
- 22,250
Kwenye taarifa ya habari ITV leo saa mbili usiku TBS wamesema wataiondoa sokoni juisi ya Ceres Apple yenye sumu! Kuondoa huku kinafuatia TBS kusikia nchi nyingine zikiondoa juisi hiyo ya toleo husika na si matoleo mengine. Baada ya kusikia!
TBS ilienda kwenye godauni ya muagizaji ambaye kwa bahati nzuri ni mmoja tu nchini, tujielize kwanini hawapimi vyakula kabla ya kuingia sokoni? Je, wako bize kupima magari toka Japani?
Ni wakati muafaka kwa serikali kuunda mamlaka pekee itakayohusika na upimaji wa vyakula vyote vya nchini na viingiavyo nchini.
TBS ilienda kwenye godauni ya muagizaji ambaye kwa bahati nzuri ni mmoja tu nchini, tujielize kwanini hawapimi vyakula kabla ya kuingia sokoni? Je, wako bize kupima magari toka Japani?
Ni wakati muafaka kwa serikali kuunda mamlaka pekee itakayohusika na upimaji wa vyakula vyote vya nchini na viingiavyo nchini.