Pinokyo Jujuman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 552
- 104
Siku za hivi karibuni Mufti alimtaka Ndalichako ajiuzuru kutokana na kuwafelisha waislam, Leo Jeshi la Polisi lapiga marufuku maandamano yaliyoandaliwa na waislam juu ya matokeo mabaya wanayodhani yalisababishwa na Necta,Nimepitia gazeti la leo la Mwananchi limetoa matokeo yaliyofanyiwa marekebisho, kwa page zote nane zilizobeba matokeo hayo nimekutana na "A" mbili na "B" tisa tu robo tatu yake ni "F"
Sasa nashindwa kuelewa tatizo hapa liko wapi,Necta,Walimu au Wasaishaji(ambao naamini ni Waislam wenzao)?
Sasa nashindwa kuelewa tatizo hapa liko wapi,Necta,Walimu au Wasaishaji(ambao naamini ni Waislam wenzao)?