Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,882
- 141,490
Unajua bana….ukiwa huna akili ni hauna tu.
Hakuna namna hata ufanyeje.
Ukiachiwa uongee lazima utaongea pumba tu na kuzidi kujichoresha vile namna unavyohusika na jambo.
Sasa huyu Samia leo anasema eti hiyo ripoti feki ya Chande ni mali yake binafsi na wasijitokeze watu kudai ownership [whatever the hell that means].
Kwanza, hakuna aliye na akili timamu atayedai ownership ya ripoti ya tume batili iliyoundwa na Rais haramu?
Pili, huyo Samia kathibitisha lile jambo ambalo tulilipigia makelele, kwamba, hiyo tume si huru wala halali. Mgongano wa kimaslahi ulikuwa wazi kabisa.
Bure kabisa!
Hakuna namna hata ufanyeje.
Ukiachiwa uongee lazima utaongea pumba tu na kuzidi kujichoresha vile namna unavyohusika na jambo.
Sasa huyu Samia leo anasema eti hiyo ripoti feki ya Chande ni mali yake binafsi na wasijitokeze watu kudai ownership [whatever the hell that means].
Kwanza, hakuna aliye na akili timamu atayedai ownership ya ripoti ya tume batili iliyoundwa na Rais haramu?
Pili, huyo Samia kathibitisha lile jambo ambalo tulilipigia makelele, kwamba, hiyo tume si huru wala halali. Mgongano wa kimaslahi ulikuwa wazi kabisa.
Bure kabisa!