Nando's restaurant in DC

Binti Maringo

JF-Expert Member
Jul 4, 2007
2,804
88
Mimi ni mpenzi sana wa nando's (sijui niite restaurant au fast food)...Kuna nando's in London na huwa nikienda london ni lazima niende Nando's wana maini mazuri sana pamoja na kuku zao astahafulilahi....Sasa nasikia wamefungua moja hapo chocolate city (DC)...sijui kama ni mwanzo tuu ila its only one for now in USA...na ipo parked all times....ipo mitaa karibu na white house huko DC

Just FYI ukiwa mitaa ya DC kama hujawhai kwenda nando's try it now....achana na SAFARI sijui nini mambo yote yako Nando's only...I cant wait waje wafungue huku Midiwest...itakuwa blaah!.
 
Hmmm...umetaja maini umenitamanisha maana sijala maini siku nyingi sana :(.
 
Hmmm...umetaja maini umenitamanisha maana sijala maini siku nyingi sana :(.

Maini ya kupika mwenyewe ni tofauti sijui kwa nini....basi wee kama upo karibu na DC inabidi utembeleee Nando's aisee wana maini ya kufa mtu si utani!....

Wewe Bubu uko wapi huko wewe wasikouza maini? Uko North Dakota nini?

Hivyo North Dakota hawana maini?are you for REAL?wooooooow!
 
Maini ya kupika mwenyewe ni tofauti sijui kwa nini....basi wee kama upo karibu na DC inabidi utembeleee Nando's aisee wana maini ya kufa mtu si utani!....



Hivyo North Dakota hawana maini?are you for REAL?wooooooow!

DC mitaani gani, Anacosia?
 
Kwa muuza nyama wangu ana maini safi sana nashangaa kwanini imepita siku zote hizi sijanunua, maana hununua nyama hapo kila baada ya miezi miwili. Mimi hupenda kuyakaanga na mlima wa ugali ukitoka hapo raha mustarehe. Jumamosi hii ni lazima nikayachangamkie.
 
Kellyo1 pole na likizo naona imekuwa fupi sana au hujaanza likizo yenyewe.
 
Kwa muuza nyama wangu ana maini safi sana nashangaa kwanini imepita siku zote hizi sijanunua, maana hununua nyama hapo kila baada ya miezi miwili. Mimi hupenda kuyakaanga na mlima wa ugali ukitoka hapo raha mustarehe. Jumamosi hii ni lazima nikayachangamkie.

Son angalia maini na tegu.
 
Mimi ni mpenzi sana wa nando's (sijui niite restaurant au fast food)...Kuna nando's in London na huwa nikienda london ni lazima niende Nando's wana maini mazuri sana pamoja na kuku zao astahafulilahi....Sasa nasikia wamefungua moja hapo chocolate city (DC)...sijui kama ni mwanzo tuu ila its only one for now in USA...na ipo parked all times....ipo mitaa karibu na white house huko DC

Just FYI ukiwa mitaa ya DC kama hujawhai kwenda nando's try it now....achana na SAFARI sijui nini mambo yote yako Nando's only...I cant wait waje wafungue huku Midiwest...itakuwa blaah!.

Kelly una share pale ama unawatangazia tu for free ?

SAHIBA.
 
Back
Top Bottom