Rogie JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 7,600 Reaction score 6,721 May 21, 2011 #1 jamani, msema kweli mpenzi wa Mungu huyu dada naezimia vibaya mno naheshimu mipaka but nimeona nitoe dukuduku langu. Attachments Wastara2.jpg 6.5 KB · Views: 526
jamani, msema kweli mpenzi wa Mungu huyu dada naezimia vibaya mno naheshimu mipaka but nimeona nitoe dukuduku langu.
Husninyo Platinum Member Joined Oct 24, 2010 Posts 24,167 Reaction score 10,226 May 21, 2011 #2 Kwahiyoooøo?
Somoche JF-Expert Member Joined Oct 6, 2010 Posts 6,996 Reaction score 9,520 May 21, 2011 #3 anaitwa nani mkuu yuko wapi?
Rogie JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 7,600 Reaction score 6,721 May 21, 2011 Thread starter #4 Anaitwa Wastara yuko bongo hii hii mkuu
U uporoto01 JF-Expert Member Joined May 23, 2008 Posts 4,698 Reaction score 1,428 May 21, 2011 #5 Anaitwa Wastara na ni MKE wa mtu kwahiyo ishia hapohapo.
myhem JF-Expert Member Joined Nov 1, 2010 Posts 933 Reaction score 363 May 21, 2011 #6 kaka huyo si ni mke wa mtu? nadhani sasa unatafuta balaa! hapo ni bora usahau,jaribu kwingine?
Rogie JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 7,600 Reaction score 6,721 May 21, 2011 Thread starter #7 Ndiyo maana nikasema naheshimu mipaka kaka, ila i wish nije kupata wa mfano wake.
Husninyo Platinum Member Joined Oct 24, 2010 Posts 24,167 Reaction score 10,226 May 21, 2011 #8 uporoto01 said: Anaitwa Wastara na ni MKE wa mtu kwahiyo ishia hapohapo. Click to expand... mwambie asije akapigwa makonzi ya macho.
uporoto01 said: Anaitwa Wastara na ni MKE wa mtu kwahiyo ishia hapohapo. Click to expand... mwambie asije akapigwa makonzi ya macho.
KIMICHIO JF-Expert Member Joined Aug 12, 2010 Posts 1,179 Reaction score 81 May 21, 2011 #9 Mijitu mingine bana!!!mbona wa kawaida sana mkuuu???
sholwe Member Joined Oct 15, 2010 Posts 36 Reaction score 1 May 21, 2011 #10 ohoooooooo! kazi ni kwako tu
Rogie JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 7,600 Reaction score 6,721 May 21, 2011 Thread starter #11 KIMICHIO said: Mijitu mingine bana!!!mbona wa kawaida sana mkuuu??? Click to expand... Kwenye bold ahsante...hizi ni hisia tu kaka na preferences za mtu.
KIMICHIO said: Mijitu mingine bana!!!mbona wa kawaida sana mkuuu??? Click to expand... Kwenye bold ahsante...hizi ni hisia tu kaka na preferences za mtu.
M muraweto Member Joined May 3, 2011 Posts 19 Reaction score 1 May 21, 2011 #12 umemtamani tu kwa kumwangalia tu. kwanza mke bora haangaliwi usoni tu.
Rogie JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 7,600 Reaction score 6,721 May 21, 2011 Thread starter #13 sijaanza kumsikia na kumuona leo kaka. kwani umeshawahi kusikia ana scandal yoyote bongo hii!!??
sweetlady JF-Expert Member Joined Dec 24, 2010 Posts 16,967 Reaction score 8,454 May 21, 2011 #14 huna namba za Sajuki umwambie kuwa umemzimia mke wake??? Mwombe Mungu atakupatia wako wa kufanana nae.
huna namba za Sajuki umwambie kuwa umemzimia mke wake??? Mwombe Mungu atakupatia wako wa kufanana nae.
sweetlady JF-Expert Member Joined Dec 24, 2010 Posts 16,967 Reaction score 8,454 May 21, 2011 #15 rogi said: sijaanza kumsikia na kumuona leo kaka. kwani umeshawahi kusikia ana scandal yoyote bongo hii!!?? Click to expand... So umemzimia kwasababu hana skendo??? Ashawahiwa huna bahati.
rogi said: sijaanza kumsikia na kumuona leo kaka. kwani umeshawahi kusikia ana scandal yoyote bongo hii!!?? Click to expand... So umemzimia kwasababu hana skendo??? Ashawahiwa huna bahati.
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,866 Reaction score 24,976 May 21, 2011 #16 kwani kasema kamzimikia ama anataka kumuoa? muraweto said: umemtamani tu kwa kumwangalia tu. kwanza mke bora haangaliwi usoni tu. Click to expand...
kwani kasema kamzimikia ama anataka kumuoa? muraweto said: umemtamani tu kwa kumwangalia tu. kwanza mke bora haangaliwi usoni tu. Click to expand...
Rogie JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 7,600 Reaction score 6,721 May 21, 2011 Thread starter #17 sweetlady said: huna namba za Sajuki umwambie kuwa umemzimia mke wake??? Mwombe Mungu atakupatia wako wa kufanana nae. Click to expand... Duuh hapo ntakuwa nachezea sharubu za simba. Naimani ntampata Inshallah
sweetlady said: huna namba za Sajuki umwambie kuwa umemzimia mke wake??? Mwombe Mungu atakupatia wako wa kufanana nae. Click to expand... Duuh hapo ntakuwa nachezea sharubu za simba. Naimani ntampata Inshallah
Rogie JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 7,600 Reaction score 6,721 May 21, 2011 Thread starter #18 King'asti said: kwani kasema kamzimikia ama anataka kumuoa? Click to expand... Uko sahihi mkuu, nachosema ni kwamba i wish nipate wa mfano wake.
King'asti said: kwani kasema kamzimikia ama anataka kumuoa? Click to expand... Uko sahihi mkuu, nachosema ni kwamba i wish nipate wa mfano wake.
Rogie JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 7,600 Reaction score 6,721 May 21, 2011 Thread starter #19 muraweto said: umemtamani tu kwa kumwangalia tu. kwanza mke bora haangaliwi usoni tu. Click to expand... Napenda wa type yake,she looks innocent.
muraweto said: umemtamani tu kwa kumwangalia tu. kwanza mke bora haangaliwi usoni tu. Click to expand... Napenda wa type yake,she looks innocent.
M muraweto Member Joined May 3, 2011 Posts 19 Reaction score 1 May 21, 2011 #20 rogi said: Napenda wa type yake,she looks innocent. Click to expand... how sure are you that she is innocent!!!!!!!!!!!!! by just looking at her!!!!!!!! you are lost
rogi said: Napenda wa type yake,she looks innocent. Click to expand... how sure are you that she is innocent!!!!!!!!!!!!! by just looking at her!!!!!!!! you are lost