Namzimia mume wa jirani

Namzimia mume wa jirani

NOT ENOUGH

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2010
Posts
596
Reaction score
309
Jamani mimi namzimia sana mume wa jirani yangu na nimefanya kila vitimbi lakini wapi nashindwa kumtia mtegoni. Madada wenzangu naombeni mbinu zaidi.
 
Jamani mimi namzimia sana mume wa jirani yangu na nimefanya kila vitimbi lakini wapi nashindwa kumtia mtegoni. Madada wenzangu naombeni mbinu zaidi.

Sijaelewa maana yakohalisi!!
Unamaana ya Kumtamani au kumpenda?
Kama ni kumpenda jaribu kubadilisha eneo la kufanya mapenzi na mumeo yaani badala ya Kufanya naye mapenzi nyumbani nendeni sehemu kama hoteli au hifadhili.
Kama ni kumtamani tambua kwamba baada ya huyo utatamani mwingine baadaye mwingine na mwingine mwisho wa siku jirani zako na rafiki zako watakutambua kwa jina la MALAYA!
 
My dear,naona umedhamiria,kama umefanya kila kitu haja respond,mpotezee,si kwamba hakuoni bali hakuhitaji,unajichoresha tu kwa tamaa ambazo una uwezo wa kuzizuia hata ukifanya bidii kidogo.....yaani mbele ya macho yake anakuona pepo fulani hivi linalotaka kumuharibia maisha yake.....mwanaume angekuwa anakutaka mbona tayari mngekuwa mbali? mtafute wa peke yako acha kuendekeza tamaa kwa wanaume wa wenzio waliotunzwa vizuri,tafuta wako mtengeneze vizuri.....you deserve your own man.....acha desperation,unaonekana kituko........

Lakini pia waweza muuliza mkewe alimpataje kama ukiona huwezi kabisa!!!! :laugh::laugh::laugh:
 
My dear,naona umedhamiria,kama umefanya kila kitu haja respond,mpotezee,si kwamba hakuoni bali hakuhitaji,unajichoresha tu kwa tamaa ambazo una uwezo wa kuzizuia hata ukifanya bidii kidogo.....yaani mbele ya macho yake anakuona pepo fulani hivi linalotaka kumuharibia maisha yake.....mwanaume angekuwa anakutaka mbona tayari mngekuwa mbali? mtafute wa peke yako acha kuendekeza tamaa kwa wanaume wa wenzio waliotunzwa vizuri,tafuta wako mtengeneze vizuri.....you deserve your own man.....acha desperation,unaonekana kituko........

Lakini pia waweza muuliza mkewe alimpataje kama ukiona huwezi kabisa!!!! :laugh::laugh::laugh:

Halafu Michelle wewe ni mtu wa kuni mind sana, hapa naona hujanisaidia sana sana umeniponda tu
 
mmmh,ni kweli au unatania?na kama ni kweli uliyoyaandika,sifikirii kama utapata support humu
 
Sijaelewa maana yakohalisi!!
Unamaana ya Kumtamani au kumpenda?
Kama ni kumpenda jaribu kubadilisha eneo la kufanya mapenzi na mumeo yaani badala ya Kufanya naye mapenzi nyumbani nendeni sehemu kama hoteli au hifadhili.
Kama ni kumtamani tambua kwamba baada ya huyo utatamani mwingine baadaye mwingine na mwingine mwisho wa siku jirani zako na rafiki zako watakutambua kwa jina la MALAYA!

Namtaka kimapenzi
 
ukishampata baadae ukumbuke kurudi kutuuliza wapi wanagawa zile dawa kupungunza makali eh?
 
Jamani mimi namzimia sana mume wa jirani yangu na nimefanya kila vitimbi lakini wapi nashindwa kumtia mtegoni. Madada wenzangu naombeni mbinu zaidi.

una matatizo ya akili!
Tafuta wa kwako.
ushindwe ktkt jina la Mola!!
 
Jamani mimi namzimia sana mume wa jirani yangu na nimefanya kila vitimbi lakini wapi nashindwa kumtia mtegoni. Madada wenzangu naombeni mbinu zaidi.

nakucfu kw kuxprec hisia zako,siach kuwacf pia wanaforum wamethibtisha wao ni ma thinka,c kila wazo na hisia znazokujia ukubaliane nalo,ondosha kabsa wazo ilo kichwan mwako
 
Watakaokupa ushaur wa kumpata,watakua wameshriki kutia doa ndoa ya jiran yako,wewe unataka cha mwenzako kwan wengne hawapo? Mwenzio juz kacharagwa viwembe vya uso,acha tamaa na usikute unalipa tu vizur,ila vitamaa vinakusumbua,au huwa hujisikii mnyegeresho unapokua na bwana mpaka uchukue mume wa mtu? Tena hata husikii uzito kuposti thread kama ii? Just be fair wewe ndo ungekua mkewe af ujue mwanamke mwngne anamtega unge feel aje?
 
Kwani ana nini ambacho mwenza wako hana..., labda tuanze kuangalia from that angle..
 
Mi nakushangaa sana wewe NOT ENOUGH hivi kweli mpaka ujigonge kihivyo kwa huyo mume wa mtu inakuwaje? Inawezekana wewe ni mchunaji tu sasa umeona labda jamaa anafanya kazi sehemu nzuri ndiyo maana unajitia kumind kumbe umemind fedha zake tu! Mimi nijuavyo asilimia kubwa ya waume za watu wanaopendwa nje ya mahusiano yao ni kwa sababu ya mkwanja na hao wanawake hujiridhisha kuwa wanaweza kuhudumiwa bila shida toka kwao.
Kuwa mume wa mtu halafu uwe kapuku kisha omba mchezo nje tena na mtu anayekujua kama hujaambia huyo mkeo hakutoshi?
Nina shaka na wewe kuwa ni mtu wa kupenda mastarehe na upo tayari kwa mtu yoyote yule.
Acha ujinga, mume wa mtu sumu wewe.
 
Back
Top Bottom