Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,920
Kama mtaani kwake hawaoniAise tusaidieni, watu wengine wameumbwa kuvuruga ndoa za watu. Vijana kibao hawajaoa kazi kutoa macho kwa waume za watu
Hata humu anaweza kupata walio singo.
Kama mtaani kwake hawaoniAise tusaidieni, watu wengine wameumbwa kuvuruga ndoa za watu. Vijana kibao hawajaoa kazi kutoa macho kwa waume za watu
kama mtaani kwake hawaoni
hata humu anaweza kupata walio singo.
Jamani mimi namzimia sana mume wa jirani yangu na nimefanya kila vitimbi lakini wapi nashindwa kumtia mtegoni. Madada wenzangu naombeni mbinu zaidi.
Amemtamani jamani, hajampenda . Si vitu tofauti hivi?
kwahiyo akimtamani 'tu' ndo amtake?si apotezee tu hizo tamaa!
Hashy........!lizzy......
hashy........!
......hata walio kama yeye wapo wengi.hawezi pata wenye akili nzuri....labda chizi kama yeye..
Huyo wa kwako yupo humu jf??Nyie andikeni tu hapa weeee mwenzenu kaja humu tafuta bwana na hapa usikute washa mp kibao.Yaani raha ya jf bwana magreat thinker wapo hadi wakuchakachua waume za watu sema tu huwa wanaona aibu kujianika hadharani. hivi wewe dada unakaa wapi jamani please usiniibie wangu
It's valentine love...in deep love with your avatar.......!
Preta mjini kubanana hapa
Not enough una matatizo usije ukafikiri sijui kuwa unamzengea mume wangu. In fact mume wangu pia anajua kuwa unamzengea na tulishakubandika jina siku nyingi, huwa tunakuona kama kituko tu.
Tulia na uliyenaye kabla hatujamtumia ushahidi wa mkandahalisi ukose vyote.
..........ujumbe umekufikia nadhani tulia mwanamke.