Namwombea Msamaha Job Ndugai

Namwombea Msamaha Job Ndugai

To be honest huyu Ndungai namuona ni mtu wa hovyo sana, na namuona huwa anaongozwa na njaa (Mchumia tumbo) kwa lolote analo tenda na kusema.
 
Msamaha tutampa endapo atajiuzuru tu
Ninasababu nyingi za hill
Kwanza watu walimuona ni miongoni mwa watu wabaya
Pili ameonekana in mnafiki mkubwa sana
Tatu in kigeugeu mkubwa sana so hata uongozi mbaya ukiingia ataendana nao nirahisi kuumiza watu.
NNE ni MTU ambaye yukoradhi kukubali hats MTU afe ili yeye aonekane mzuri eg Tindu
Sita ni mbabe sana
Nanyinge tele.
 
Mbona anaendelea kuvunja katiba tumsamehe wakati anaendelea kuvunja katiba?
 
Kati ya Mimi na ww wa kushirikisha ubongo ni Nani we kilaza , Kati ya ndugai na mama Samia Nani alikuwa boss kwa mwenzake...ni mpuuzi Tu anayeweza kumlaumu ndugai alaf ukamwachia Samia ,na hili hata Kigogo analisemea
Kwahiyo Mama Samia alikuwa boss wa Ndugai ?
 
Naona unajivika cheo cha wakuu wa dini. Msamaha kama huu unatakiwa muhusika aombe mwenyewe na si kuombewa. Unaweza muombea wakati mwenyewe anaona hana kosa. Je kasema amekosa?
 
Najua Ndugai amewakera wengi, lakini kwa yale mazuri machache aliyoyatenda, yatoshe kupata msamaha wa mabaya aliyoyatenda.
Huyu fisadi aliyejitwalia nafasi ya kuwa mgonjwa ghali zaidi duniani kumbe ana mazuri, ni yapi hayo?!!!
 
Hebu tuache kwanza mpaka utabiri wa lema utimie
 
Hakina kitu kibaya wewe umepigika halafu unabaki kumwomnea mabaya college mate wako aliye vjzuri ili muwe sawa! Sawa na dua la kuku!!!
 
Ndugai na Kessy hawasamegeki,hawa walitaka kulitumbukiza Taifa kuzimu kisa tu wao yao yanaenda,walishamuuzia Meko Taifa kwa bei ya bure,walikuwa wanakuja kubadili katiba,hawakumjali Mungu wa wengi ila wa kwao na kina Kabudi,walitaka kuwaumiza Watanzania,hawa HAWASAFISHIKI,bora kumsamehe SHETANI
 
Unaweza kumsamehe leo na kesho ukajuta kwa kumsamehe maana anaweza tenda tena uovu mwingine kwa kiburi tu cha madaraka aliyonayo na wala asijutie.

Mkuu, achana na hawa watu, vinginevyo ipo siku hata wewe mwenyewe unaweza kujikuta unajutia kumuombea msamaha.
 
Hakuna kitu kama hicho! Aje aombe msamaha mwenyewe! Jobo ni jeuri na ana kiburi!
Unakumbuka alimcharaza mboko za kichwa yule ccm mwenzake kikaoni?
Aliomba radhi? Hakuomba!

Tena sahivi hakiwezi kuomba msamaha kile kipimbi maana lile bichwa lake limeshaanza kuota pembe kisogoni
Mkuu, unahatari na nusu!
 
Job Ndugai ni mwanachuo mwenzangu pale UD miaka hiyo.

Mengi yasiyopendeza yamesemwa dhidi yake kwa nafasi aliyo nayo, hasa kwa namna alivyolifuta Bunge na kulifanya kuwa idara ya SerikaliRais kipindi cha uongozi wa Marehemu...
Kwanini umwombee wewe? Wachezaji Aombe yeye mwenyewe
 
Mambo mengine yanasameheka ila amuombe Lissu msamaha na amlipe haki zake kama zilivyo kwa mujibu wa sheria na kanuni.
 
Back
Top Bottom