Namwombea Msamaha Job Ndugai

Namwombea Msamaha Job Ndugai

Tutamsamehe kwa masharti kuwa awezekufufua mjadala wa katiba pendekezwa ya Jaji warioba,aisimamie tupate katiba mpya tuondokane na uwezekano wa kupitia tena kipindi kigumu kama kilichopita hivi karibuni.
Tutamsamehe kama sheria ya kinga walizojiwekea itapelekwa bungeni na kuondolewa kinga hizo.
 
Job Ndugai ni mwanachuo mwenzangu pale UD miaka hiyo.

Mengi yasiyopendeza yamesemwa dhidi yake kwa nafasi aliyo nayo, hasa kwa namna alivyolifuta Bunge na kulifanya kuwa idara ya SerikaliRais kipindi cha uongozi wa Marehemu
Unamtetea Ndugai au ndugu yako?
 
Job Ndugai ni mwanachuo mwenzangu pale UD miaka hiyo.

Mengi yasiyopendeza yamesemwa dhidi yake kwa nafasi aliyo nayo, hasa kwa namna alivyolifuta Bunge na kulifanya kuwa idara ya SerikaliRais kipindi cha uongozi wa Marehemu
Ndugai kuna jema lipi amefanya akiwa Spika?
 
Job Ndugai ni mwanachuo mwenzangu pale UD miaka hiyo.

Mengi yasiyopendeza yamesemwa dhidi yake kwa nafasi aliyo nayo, hasa kwa namna alivyolifuta Bunge na kulifanya kuwa idara ya SerikaliRais kipindi cha uongozi wa Marehemu...
Bams ni moja kati ya watu nawakubuli hapa jukwaani kwamuda mrefu kutokana na ushawishi upeo wake Misimamo na uzalendo kwa nchi yetu, Leo umekuja kivingine nashindwa naandika na kufuta Ngoja nigonge kvant nitarudi midamida
 
Kwani ndugai mwenyewe anasemaje!
JamiiForums1837900164.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kati ya Mimi na ww wa kushirikisha ubongo ni Nani we kilaza , Kati ya ndugai na mama Samia Nani alikuwa boss kwa mwenzake...ni mpuuzi Tu anayeweza kumlaumu ndugai alaf ukamwachia Samia ,na hili hata Kigogo analisemea
Ndugai anaongoza Muhimili kama alivyokuwa jiwe manake alikuwa na uwezo wakukataa maagizo yakipuuzi ya jiwe maana Spika hateuliwi na rais
 
Naomba nikiri uwa nafarijika sana na makala na maandiko yako. Mimi ni mmoja wa wagonjwa mahututi wa makala ama uchangiaji wa hoja zako. Ila kama binadamu wengine kuna nyakati upotoka na leo umepotoka sana.

Ndugai hafai na sidhani km kuna Mtanzania ambaye anapenda utawala wa sheria na haki anaweza kumsamehe huyu Spika. Ndugai kanajisi katiba, kafanya watu mazuzu sana.

Anachokitengeneza Ndugai ni majonzi kwa familia yake.
 
Back
Top Bottom