Namwombea Msamaha Job Ndugai

Namwombea Msamaha Job Ndugai

Kumbe alisoma UD. Mwaka gani na kozi gani?
Alisoma UD. Mwaka 1989 - 1993. BSc - Botany. Tulikuwa tunakutana kwenye soma la Development Studies (DS). Mwaka huo huo pia alikuwepo Prof. Bana, yeye science ilimshinda, akaamua kuifanya DS kama major subject, maana hakuna aliyekuwa anafail DS.
 
Jamani

20210421_093232.jpg
 
Unaona Sasa ulivo ng'ombe? Mama alikuwa mkuu wa Mhimili? Au hata hujui maana ya Mhimili.Ndugai alikuwa na nguvu Kama Angekuwa na akili sema akili zake ni Kama zako tu
Ndungai alikuwa na nguvu kumzidi Samia ? What a nonsense pumpkin
 
Tutamsamehe kwa masharti kuwa awezekufufua mjadala wa katiba pendekezwa ya Jaji warioba,aisimamie tupate katiba mpya tuondokane na uwezekano wa kupitia tena kipindi kigumu kama kilichopita hivi karibuni.
Katiba pendekezwa hiyo ni katiba ya CCM, ni tofauti na Rasimu ya wananchi chini ya Mwenyekiti Jaji Warioba maarufu kama Katiba ya Warioba. Hiyo pendekezwa ilijadiliwa na wajumbe wa CCM baada ya wale wa upinzani a.k.a UKAWA kutoelewana na mjadala uliokua unaendelea baada ya hoja za msingi kutupwa.

Kama nchi tunataka katiba mpya tunatakiwa kuanza kwenye Rasimu ya wananchi (Rasimu ya Warioba).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi nakusehe wewe kwa makosa mawili.
1. Kukubali kuwa collegemate naye
2. Kujaribu kumwombea msamaha mtu ambaye bado hajui kosa lake. Badala ya kumpigia na kumkanya, unatumia mda mrefu kumwombea msamaha.
Ila nakusamehe bure
Huyu Ndugai si ni mhifadhi alisoma wildlife management pale Mweka.
 
Bila toba ya kwel mbele za MUNGU alie hai hakika hasira yake itawawakia hasa wale waliokataa kumpa Mungu utukufu wake!!
 
Mmerudi enzi za business as usual,kuwadanganya watu tu ili muibe,misemo yenu ya kula na kipofu mmeanza kuongea sasa
Mwendazake aliwaroga nyinyi
Nchi ilikuwa inapigwa balaa..
Madeni aliyotuingiza hayaendani na maendeleo,jiulize fedha zilienda wapi
 
Ndugai ni mtu poa kabisa...
na Magufuli alikuwa mtu poa sana....
ni washenzi wachache wanamchukia ndugai
 
Hakuna kitu kama hicho! Aje aombe msamaha mwenyewe! Jobo ni jeuri na ana kiburi!

Unakumbuka alimcharaza mboko za kichwa yule ccm mwenzake kikaoni?

Aliomba radhi? Hakuomba!

Tena sahivi hakiwezi kuomba msamaha kile kipimbi maana lile bichwa lake limeshaanza kuota pembe kisogoni
 
Tukitaka kuwalaumu watenda kazi waliopo, tuanze na Raisi mwenyewe mana alikuwa ofisi moja na mheshimiwa ambaye tunamtupia lawama Kwa mambo mengi ....Kwa nini awaone wenzake hawafai...
Mkuu...naomba nikuvunjie heshima kidogo. Ukiwa jukwaa la siasa, akili yako huwa kubwa sanaaa, sanaa...ila nikikukuta kule celebrity forum, huwa sielewi akili yako unaiachaga wapi.
 
Back
Top Bottom