Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,663
- 3,307
Hajanikosea lolote
Ila naona anahatarisha uhai wa ndoa yangu
Nina nia ya dhati kuachana naye
Ila sasa haya mahaba anayonipa sijui nitayapata wapi kwingineko
Natokaje viongozi mbona kama nimeshanasa mazima kwa mdigo huyu
Wakuu nafanyaje kuokoa ndoa yangu
Ila naona anahatarisha uhai wa ndoa yangu
Nina nia ya dhati kuachana naye
Ila sasa haya mahaba anayonipa sijui nitayapata wapi kwingineko
Natokaje viongozi mbona kama nimeshanasa mazima kwa mdigo huyu
Wakuu nafanyaje kuokoa ndoa yangu