Yaache machozi yatoke ni tiba Ila chunga asijueHabari Jamiiforum?
Nisaidieni labda mimi ni mgeni wa haya mambo?
Nilikua nikitafuta mahusiano lakini mahusiano yatakayokua na afya sasa nimepata demu lakini mimi namuwaza sana mpaka nalia sjui nifanyeje? Nachoka kabisa.
.Yaache machozi yatoke ni tiba Ila chunga asijue
Nimeipenda hio avatar ako........pole lkn jikontrol kijanaHabari Jamiiforum?
Nisaidieni labda mimi ni mgeni wa haya mambo?
Nilikua nikitafuta mahusiano lakini mahusiano yatakayokua na afya sasa nimepata demu lakini mimi namuwaza sana mpaka nalia sjui nifanyeje? Nachoka kabisa.