Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Kweli mkuu kwa Sophia na Kilango tungepata/tutapata burudani ya kutosha kwa sababub kila mmoja ana dark side zake na wote hawaogopi kuumbuana; itakuwa ni sinema tosha acha tukae mkao wa kula!!
Mkuu Kunta Kinte hilo ni bonge la movie.
Last edited by a moderator: