Namuunga mkono Anna Kilango Malechela kwa nguvu zote

utakuwa umetumwa na first lady aliyeukosa u first lady baada ya mumewe kueguliwa?...mama kilango hadhi yake ni kuwa mjumbe wa nyumba kumi kumi huko kwao same.

huyu unayemuita mjumbe ana JIMBO ALILOGOMBEA KWA NGUVU ZAKE! Sasa huyo mgombea wako kabebwaaaaaaaaaaaaaa mpaka mbeleko imechanika!

PALIIIIIIIIIIIIIIIS! SPARE ME THE DRAMA!
 
sophia simba ndie alie simamia mpaka kuondolewa katibu wa uwt aliefanya ufisadi pale jengo la airtel.alisimamia mpaka akaondolewa yule mama mariam mamuya baada ya kuuza kiwanja kwa airtel kwa bei ya kutupwa.

toa supporting data! Hayo majung tu!
 
nini kinachomfanya mama kilango aache jimbo na atake uenyekiti wa uwt iliapate viti maalum kama sio unafiki ni nini?

nini kinachomfanya mama sofia aogope kwenda kugombea jimboni akalie kutaka viti maalumu daily! Kama si uvivu na woga ni nini?
 
lara 1 utakua ni mtoto wa Anna Kilango....

Wala mimi si mtoto wa Anna Kilango, wala anijui, mimi ni mwanachama hai, nimechoshwa na mwenendo wa chama hasa jumuiya hii, sio mzandiki wa kukiama chama, nabaki humuhumu kwenye chama kupambana na kuleta mabadiliko.

Nimesikiliza wgombea wote, bila kuwa biased, wala clouded na past experiences au speculations za watu, nimeconsider yote waliyosema kila mmoja na nimeona vision ya Mh! Anna ni nzuri na very objective so ndo najituma hapa, matokeo ya kitoka, i didnt sit back n watch, i did what i could do.

kinyume na wachanguaji ambao hawajawasikiliza wagombe hawaelewi nini kinaendelea wanadandia treni kwa mbele
 
kufuatia mh. Sophia simba kukalia hicho kiti awamu iliyopita na kuamua kutetea kiti chake awamu hii huku wakichuana vikali na mh. Anna kilango malechela mimi msimamo wangu ni kumuunga mkono mh anna kwa hali na mali kwasababu zifuatazo:-

1.undugu na kujuana kumezidi

jumuiya hii imekuwa ikipoteza mantiki kabisa na kuwa jumuiya ya wake na watoto wa vigogo na mijimama ya mjini yenye majina makubwa ilhali uwezo wa mtu kuongoza na kukiletea chama maendeleo hauangaliwi kabisa wala kuzingatiwa. Kama huna jina mujini na pesa haiongei fungua njia kitoto chaanza tambaa. Na hili limedhihirika sana kipindi hiki kinachoisha cha mh. Simba, ni dhahiri tukiendela kumkabidhi usukani kitakuwa chama cha watu fulani flani na mijimama ya mjini. Bora tubadili upepo tumuweke huyo mpare tuone hali itakuwaje ila hali ya mh. Simba haifaiiiiiiiiiiiiiiiiii!

2.chama kimepoteza muelekeo
kusema kweli mpaka sasa chama kipokipo tu mradi kipo, hakina uelekeo wala ushawishi wowote. Chama hichi ilipasa kiwe chachu ya kuongeza wanachama wapya hususani kina mama kwenye kata na wilaya huko, ukizingatia chama chetu hiki kimesambaa sana yaani laiti lingetiliwa mkazo hili kila mjumbe kutimiza hili wala uchaguzi wa 2015 tungekuwa pazuri, alivochukua mh simba nikajua kidogo mzoefu atatilia hili mkazo hamnaaaa, mpaka anamaliza chama alivokikuta ndo anakiacha. Bora tumfungulie njia anna kilango tuone nae manjonjo yake sio mtu tushaona uwezo wake hauturidhishi afu tumpe mda zaidi? Hataaaa nabisha!

3.chama hakiendi na wakati
chama hakikui kisera wala michakato, sera zile zile za kina bibi titi mpaka leo? Chama kinatakiwa kuiga mfano wa magamba kwenda na wakati, kwenda vyuoni kuvuna silaha mpya, kuwekeza katika vijana. Wadada wapo wengi sana wana uwezo huko vyuoni wanajiunga na magamba badala ya chama letu kubwa chama la kijani? Tena resources za kurecruit tunazo, nia tunayo na nguvu tunayo. Chama hakijikiti sekondari huko kupanda mbegu za kijani katika vibinti vidogo vikue kimtazamo wa kichama na kuja kuwa chachu mbeleni, uvivu wa kupanda mbegu ndo watu wanajiunga ukubwani kumbe mamlukiii tu,kuja kuchafua chama. Haya sofia hakufanya ya happen, tumpe nafasi anna nae tuone karata zake zitakwendaje

4.time for change
tumempa sofia nafasi na tumeona uwezo wake, sasa mimi kwa mtazamo wangu kuwa aliyofanya sofia hayatoshi na uwezekano wa kufanyika zaidi na zaidi ya hayo ulikuwepo na she didint make things happen! Its time for change, tumpe mtu mwingine nafasi alete mabadiliko, na aliponigusa ni kutamka wazi wazi kuwa mambo si mazuri, ataleta mabadiliko, sasa sofia anadai chama ni madhubuti kwa hiyo hata umuhimu wa hayo mabadiliko hauoni, bora aneona tuliko huku siko! Mda wa mabadiliko umefika wanachama wenzangu, tusizubae zubae.

5. Lack of vision
anna kaenda kuchukua fomu, mda mchache aliopata na waandishi wa habari kaweka wazi vision yake ni kuleta mabadiliko endapo atapita, sasa mwenzie yeye alivoenda kuchukua mda aliopata na waandishi badala ya ksema vision na sera zake, kaanza kumuattack opponent wake. Hiyo inaonesha hajajipanga akishinda afanyeje na anatingishwa na nguvu ya mpinzani wake. Mi namuunga mkono mtu anejua kwanini anagombea ambaye ni mh. Anna.


Anna killango malechela oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


pole sana hapo chaguo lako umenoa bora sophia simba
 
nini kinachomfanya mama sofia aogope kwenda kugombea jimboni akalie kutaka viti maalumu daily! Kama si uvivu na woga ni nini?

Labda anna kaona Jimboni kapwaya Sasa anataka alikimbie kinamna kuogopa aibu
 
JF inaharibu sifa zake namna hii..muanzishaji mada alilenga wana ccm na haswa haswa wanaojua siasa za ndani za chama.. sasa mmeingia na majibu yenu/uchangiaji wenu wa kijinga jinga kama watoto wanaojifunza kuandika.
 
Kilango hana jipya kwanza ni mnafiki mkubwa anajifanya mpinga ufsadi wakat tunaskia ni yeye wa kwanza alikutana na wajumbe na kuanza kugawa fedha et anadai anawasalimu wajumbe...pia alienda marekan kuomba fedha kwa wafanyabiashara wa usa walio na biashara apa bongo...huyu mnafki stak ata kumskia na huyu aliyeleta hii topic ni yeye mwenyewe...hatukutaki kilango
 
Kufuatia Mh. Sophia Simba kukalia hicho kiti awamu iliyopita na kuamua kutetea kiti chake awamu hii huku wakichuana vikali na Mh. Anna Kilango Malechela mimi msimamo wangu ni kumuunga mkono Mh Anna kwa hali na mali kwasababu zifuatazo:-

1.UNDUGU NA KUJUANA KUMEZIDI

Jumuiya hii imekuwa ikipoteza mantiki kabisa na kuwa jumuiya ya wake na watoto wa vigogo na mijimama ya mjini yenye majina makubwa ilhali uwezo wa mtu kuongoza na kukiletea chama maendeleo hauangaliwi kabisa wala kuzingatiwa. Kama huna jina mujini na pesa haiongei fungua njia kitoto chaanza tambaa. Na hili limedhihirika sana kipindi hiki kinachoisha cha Mh. Simba, ni dhahiri tukiendela kumkabidhi usukani kitakuwa chama cha watu fulani flani na mijimama ya mjini. Bora tubadili upepo tumuweke huyo mpare tuone hali itakuwaje ila hali ya Mh. Simba haifaiiiiiiiiiiiiiiiiii!

2.CHAMA KIMEPOTEZA MUELEKEO
Kusema kweli mpaka sasa chama kipokipo tu mradi kipo, hakina uelekeo wala ushawishi wowote. Chama hichi ilipasa kiwe chachu ya kuongeza wanachama wapya hususani kina mama kwenye kata na wilaya huko, ukizingatia chama chetu hiki kimesambaa sana yaani laiti lingetiliwa mkazo hili kila mjumbe kutimiza hili wala uchaguzi wa 2015 tungekuwa pazuri, Alivochukua Mh Simba nikajua kidogo mzoefu atatilia hili mkazo hamnaaaa, mpaka anamaliza chama alivokikuta ndo anakiacha. Bora tumfungulie njia Anna Kilango tuone nae manjonjo yake sio mtu tushaona uwezo wake hauturidhishi afu tumpe mda zaidi? hataaaa nabisha!

3.CHAMA HAKIENDI NA WAKATI
Chama hakikui kisera wala michakato, sera zile zile za kina bibi titi mpaka leo? Chama kinatakiwa kuiga mfano wa magamba kwenda na wakati, kwenda vyuoni kuvuna silaha mpya, kuwekeza katika vijana. Wadada wapo wengi sana wana uwezo huko vyuoni wanajiunga na magamba badala ya chama letu kubwa chama la kijani? Tena resources za kurecruit tunazo, nia tunayo na nguvu tunayo. Chama hakijikiti sekondari huko kupanda mbegu za kijani katika vibinti vidogo vikue kimtazamo wa kichama na kuja kuwa chachu mbeleni, Uvivu wa kupanda mbegu ndo watu wanajiunga ukubwani kumbe mamlukiii tu,kuja kuchafua chama. Haya Sofia hakufanya ya happen, tumpe nafasi Anna nae tuone karata zake zitakwendaje

4.TIME FOR CHANGE
Tumempa Sofia nafasi na tumeona uwezo wake, sasa mimi kwa mtazamo wangu kuwa aliyofanya Sofia hayatoshi na uwezekano wa kufanyika zaidi na zaidi ya hayo ulikuwepo na she didint make things happen! Its time for change, tumpe mtu mwingine nafasi alete mabadiliko, na aliponigusa ni kutamka wazi wazi kuwa mambo si mazuri, ataleta mabadiliko, sasa Sofia anadai chama ni madhubuti kwa hiyo hata umuhimu wa hayo mabadiliko hauoni, Bora aneona tuliko huku siko! Mda wa mabadiliko umefika wanachama wenzangu, tusizubae zubae.

5. LACK OF VISION
Anna kaenda kuchukua fomu, mda mchache aliopata na waandishi wa habari kaweka wazi vision yake ni kuleta mabadiliko endapo atapita, sasa mwenzie yeye alivoenda kuchukua mda aliopata na waandishi badala ya ksema vision na sera zake, kaanza kumuattack opponent wake. Hiyo inaonesha hajajipanga akishinda afanyeje na anatingishwa na nguvu ya mpinzani wake. Mi namuunga mkono mtu anejua kwanini anagombea ambaye ni Mh. Anna.


ANNA KILLANGO MALECHELA OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ni promo au kabobo tu?
 
huyu unayemuita mjumbe ana JIMBO ALILOGOMBEA KWA NGUVU ZAKE! Sasa huyo mgombea wako kabebwaaaaaaaaaaaaaa mpaka mbeleko imechanika!

PALIIIIIIIIIIIIIIIS! SPARE ME THE DRAMA!
itakuwa kibajaji ameonyesha nia ya kugombea na same mashariki nini ndio maana mnaanza kudata?...anna kilango ni sawa na toothless bulldog
 
Hivi Sofia Simba aliwahi kushinda Ubunge wa Jimbo gani? labda mnipe simple logic ili nijuwe hapa ni nani mpambanaji na ni nani anataka kugeuza UWT kama kichaka cha kupatia Ubunge wa dezo?
sophia simba amemwacha mbali sana mama kilango...kazi ya kilango ni kuropoka ropoka na si vinginevyo mama kilango ni sawa mbwa anayeamini kuwa akibweka ndio kila kitu na wezi watakimbia...alibweka kwenye richmond akashindwa kung'ata, akabweka kwenye dowans akashindwa na sasa anabweka bweka hovyo tu bila uelekeo...bora sophia simba yeye amekuwa akiisimamiamisimamo yake bila kujali kina nani watawaza nini na watasimamia nini...kwa hili namuunga mkono SIMBA kwa asilimia millioni moja zaidi ya huyu mke wa rais mshindwa...
 
Tatizo wote hamumjui Anna Kilango. Alianzia kuuza chakula cha mama Ntilie pale Kinondoni. Na pamoja ya kuuza chakula Alikuwa agent wa kuuza unga Drugs yaani cocaine. Akapendana na Londa ex Mayor. Huyo akampigia chapuo akapata uenyekiti UWT Kinondoni. Ndiyo safari yake ya Siasa ikaanza. Akashindwa ubunge wa Ubungo. Akapelekwa Pemba kupisha fujo zake katika Kampeni ya Ubungo. Kufika Pemba akaolewa na Mzee Natepe. Natepe alimuombea Ubunge wa kuteuliwa. Alipofika Dodoma akalazimisha kuolewa na Mzee Malecela. William ndiye Alikuwa kimbelembele wakati watoto wa Mzee Malecela wakikataa kabisa baba Yao asimuoe Anna. Leo Mzee anateseka tu. Mama Huyo ni vituko. Sisi Wagogo hatumtaki kabisa.(
 
heh heh hyo story hata mimi naifahamu huyu mama anataka kuipoteza jumuiya kabisa
maana kama ni uongozi hawezi
 
Back
Top Bottom