Namuonea huruma huyu binti

Namuonea huruma huyu binti

Nikisema bado umefungwa na vyeti nitaomba tu unisamehe,
Bro maisha hayana kusubili ajora rasmi inawezekana ukawa unapoteza muda kutafuta kazi
Kaa tafakari tafuta ajira mbadala vyeti weka pembeni kwanza utakuja kunishukuru baadae
Usiogope maisha , chukua chombo weka ndani, Kama kakuvumilia kwa wakati huu hata mkiwa pamoja atakuvumilia tu
Usiogope maisha. Cha msingi tafuta ajira mbadala I mean jiajiri.
Afu nikwambie kitu ukioa Kuna matumizi mengi yanapungua
Mfano ilikuwa mwende guest tsh 15k na kuendelea zaidi ya Mara 3 na kuendelea kwa mwezi lakini sasa show zote mjengoni , hiyo hela unafanyia matumizi mengine
 
Nipo katika mahusiano na huyu binti wa kiiraqwi kwa miaka miwili na ziada sasa. Ki ukweli ananipenda na so far sijaona dalili zozote za kunisaliti.

Kinachonitatiza ni hali yangu kiuchumi. Sina ajira rasmi takribani miaka 6 sasa tangu nimehitimu chuo. Nahishi kwa kuungaunga tu na wala sioni dalili yoyote ya mambo yangu kutulia miaka ya hapa karibuni.

Ni binti anaevutia na anani-push sana tuishi pamoja yaani yale mahusiano rasmi. Kiukweli nampenda lakini nahisi nampotezea muda. Muda wote ambao yupo nami ambae bado nayumba kiuchumi angeweza kumpata mwanaume mwenye uwezo kiuchumi wakaishi pamoja.

Nataka nimuache ila nafsi inanisuta kwa sababu hajanikosea chochote.
Njoo veta pata ujuzi uupendao anzia hapo then fungua enterprise,Anza hata na ufundi bomba,then jitolee pale Dawasco from their ukiwa unafanya na Kazi zako binfsi,miradi ya maji itakuchukua,, commit yourself to God and everything will be like a b,c ....
 
Nikisema bado umefungwa na vyeti nitaomba tu unisamehe,
Bro maisha hayana kusubili ajora rasmi inawezekana ukawa unapoteza muda kutafuta kazi
Kaa tafakari tafuta ajira mbadala vyeti weka pembeni kwanza utakuja kunishukuru baadae
Usiogope maisha , chukua chombo weka ndani, Kama kakuvumilia kwa wakati huu hata mkiwa pamoja atakuvumilia tu
Usiogope maisha. Cha msingi tafuta ajira mbadala I mean jiajiri.
Afu nikwambie kitu ukioa Kuna matumizi mengi yanapungua
Mfano ilikuwa mwende guest tsh 15k na kuendelea zaidi ya Mara 3 na kuendelea kwa mwezi lakini sasa show zote mjengoni , hiyo hela unafanyia matumizi mengine
Nimejaribu kujiajiri mara kadhaa lakini niliishia kufeli changamoto kubwa za kujiajiri zinazonikwamisha ni mtaji, kukosa uzoefu/ujuzi wa biashara, utunzaji wa hela na tatizo la kiafya(nina shida kidogo ya kusikia vizuri ni ngumu kuwa sharp kwenye biashara mfano kuwasiliana na watu kwa haraka, kutumia simu kwa mawasiliano n.k)
 
Usiusemee moyo wake, usikute umewekeza akili kwenye comment za kina dada wa Jamii forum zile za "tafuta hela" humu wengi wameolewa na kina "SELE" wako wanajitafuta mdogo mdogo mwaka wa kumi wa ndoa ila wanalisongesha mmoja mmoja tu ndo wameangukia dodo na wako busy na miradi huko humu wanakuja kusoma soma weekend tu kwa hiyo ukijishtukia unampa shida na aliyekuamini akakupenda.

Wewe mueleze hali yako ilivyo ataelewa au anaelewa tayari akitaka kitu kama huna mwambie ukweli ! Pia muwe mnazungumzia hali zenu za uchumi sio kuchakatana na kusengenya wengine !

Najua kinachokupa tabu anakuuliza unamuoa lini ? 😂 Na hilo swali likiingia kichwani wewe picha unayopiga ni mahari na harusi gharama zake huku ukicheki muhuni huenda hata jana hujala mjibu hilo swali kulingana na hali yako na umweleze mipango yako kufikia hilo lengo kwa hiyo hata kama utakua unakwama anakua anaelewa kila kitu! Hivyo hivyo huwa wananuna ukijibu mambo bado ila kichwani huwa wanaelewa kabisa hali halisi na demu kama anakuelewa mradi vitu vidogo vidogo muhuni unasolve atasubiri tu !!

Usimkimbie mweleze na umuoneshe ukweli wa maisha yako yalivyo na una mikakati gani hapo mbeleni !
Yakimshinda ataondoka mwenyewe ila usiusemee moyo wake "eti uchumi sijui umekuchumu" mpaka unaanza kujishtukia yeye anajua na anaelewa.
 
Njoo veta pata ujuzi uupendao anzia hapo then fungua enterprise,Anza hata na ufundi bomba,then jitolee pale Dawasco from their ukiwa unafanya na Kazi zako binfsi,miradi ya maji itakuchukua,, commit yourself to God and everything will be like a b,c ....
Ada ya kulipa nafikiri itakua changamoto na nafasi za kujitolea sasa hivi imekua kama kuomba kazi ya kuajiriwa yaani nazo zimekua na competition kubwa ila nitajaribu kufanyia kazi ushauri wako.
 
Nipo katika mahusiano na huyu binti wa kiiraqwi kwa miaka miwili na ziada sasa. Ki ukweli ananipenda na so far sijaona dalili zozote za kunisaliti.

Kinachonitatiza ni hali yangu kiuchumi. Sina ajira rasmi takribani miaka 6 sasa tangu nimehitimu chuo. Nahishi kwa kuungaunga tu na wala sioni dalili yoyote ya mambo yangu kutulia miaka ya hapa karibuni.

Ni binti anaevutia na anani-push sana tuishi pamoja yaani yale mahusiano rasmi. Kiukweli nampenda lakini nahisi nampotezea muda. Muda wote ambao yupo nami ambae bado nayumba kiuchumi angeweza kumpata mwanaume mwenye uwezo kiuchumi wakaishi pamoja.

Nataka nimuache ila nafsi inanisuta kwa sababu hajanikosea chochote.
-Kwanini uliingia kwenye mahusiano ilihali unajua vyema kuwa hauna kipato cha kuwa na mwanamke kwa muda mrefu.

-Ungeliweka tokea mwanzo kuwa hauhitaji mahisiano ya muda mrefu. Wewe ni chapa ilale mbele.

- Muda mwingine tunajitafutia mikosi laana kurogwa bure.
 
Usiusemee moyo wake, usikute umewekeza akili kwenye comment za kina dada wa Jamii forum zile za "tafuta hela" humu wengi wameolewa na kina "SELE" wako wanajitafuta mdogo mdogo mwaka wa kumi wa ndoa ila wanalisongesha mmoja mmoja tu ndo wameangukia dodo na wako busy na miradi huko humu wanakuja kusoma soma weekend tu kwa hiyo ukijishtukia unampa shida na aliyekuamini akakupenda.

Wewe mueleze hali yako ilivyo ataelewa au anaelewa tayari akitaka kitu kama huna mwambie ukweli ! Pia muwe mnazungumzia hali zenu za uchumi sio kuchakatana na kusengenya wengine !

Najua kinachokupa tabu anakuuliza unamuoa lini ? Na hilo swali likiingia kichwani wewe picha unayopiga ni mahari na harusi gharama zake huku ukicheki muhuni huenda hata jana hujala mjibu hilo swali kulingana na hali yako na umweleze mipango yako kufikia hilo lengo kwa hiyo hata kama utakua unakwama anakua anaelewa kila kitu! Hivyo hivyo huwa wananuna ukijibu mambo bado ila kichwani huwa wanaelewa kabisa hali halisi na demu kama anakuelewa mradi vitu vidogo vidogo muhuni unasolve atasubiri tu !!

Usimkimbie mweleze na umuoneshe ukweli wa maisha yako yalivyo na una mikakati gani hapo mbeleni !
Yakimshinda ataondoka mwenyewe ila usiusemee moyo wake "eti uchumi sijui umekuchumu" mpaka unaanza kujishtukia yeye anajua na anaelewa.
Nimekuelewa mkuu, ingawa sometimes nikimfikiria naumia sana why ameangukia kwangu. I feel like i don't deserve her. Ni juzi tu katoka kaniomba nimuongezee nauli aende kwao karatu kumuona mama ake anaumwa nimemwambia sina hela nikajaribu kuweka mkeka jana nipate hela ya kumpa nauli kuna timu ya bulgaria inaitwa Ludogorets ilichonifanyia nikaingia kulala na maumivu makubwa sana
Screenshot_20230916_004656_Chrome.jpg
 
Nimejaribu kujiajiri mara kadhaa lakini niliishia kufeli changamoto kubwa za kujiajiri zinazonikwamisha ni mtaji, kukosa uzoefu/ujuzi wa biashara, utunzaji wa hela na tatizo la kiafya(nina shida kidogo ya kusikia vizuri ni ngumu kuwa sharp kwenye biashara mfano kuwasiliana na watu kwa haraka, kutumia simu kwa mawasiliano n.k)
Pamoja na hayo uliyoeleza usikubali kuishi kinyonge wala usiruhusu hofu ya kuachwa ikuandame. Bado una nafasi ya kuanza tena kwa upya na kuangalia wapi ulifeli ili usirudie tena makosa yale yale. Pia mshukuru Mungu kwa kukuletea mtu anayekupenda na kukujali bila kuangalia mapungufu uliyonayo.
 
-Kwanini uliingia kwenye mahusiano ilihali unajua vyema kuwa hauna kipato cha kuwa na mwanamke kwa muda mrefu.

-Ungeliweka tokea mwanzo kuwa hauhitaji mahisiano ya muda mrefu. Wewe ni chapa ilale mbele.

- Muda mwingine tunajitafutia mikosi laana kurogwa bure.
Mahusiano ya kimapenzi ni hitaji la asili mkuu haichagui masikini wala tajiri
 
Mahusiano ya kimapenzi ni hitaji la asili mkuu haichagui masikini wala tajiri

-Kweli ni hitaji lakini kukidhi kiu ya hitaji lako halikuhitaji kuzunguka na kuumiza mtu moyo. Kuna uwezo wa kumwambia pia kuwa nataka kutuliza haja zangu na kutembea mbele.

- Hivyo ndivyo wanaume marijali wanafanya. Unaweka wazi mipango yako.
 
Nimekuelewa mkuu, ingawa sometimes nikimfikiria naumia sana why ameangukia kwangu. I feel like i don't deserve her. Ni juzi tu katoka kaniomba nimuongezee nauli aende kwao karatu kumuona mama ake anaumwa nimemwambia sina hela nikajaribu kuweka mkeka jana nipate hela ya kumpa nauli kuna timu ya bulgaria inaitwa Ludogorets ilichonifanyia nikaingia kulala na maumivu makubwa sanaView attachment 2752293
Msaidie kile unachoweza , hata kama hakitimii anataka 50k wewe mpatie ile unayoweza kuipata hata kama elfu tano na umwambie ukweli ! Kwamba huna hiyo 50k ila nimeweza kupata hii hapa kiasi kidogo kinaweza kukusaidia anaweza kununa au kujisikia vibaya ila ataelewa !!Na siku umepata kikubwa basi mpe kweli. Mahusiano ndo yanavyokwenda haya formula na njia haijanyooka .
 
Nipo katika mahusiano na huyu binti wa kiiraqwi kwa miaka miwili na ziada sasa. Ki ukweli ananipenda na so far sijaona dalili zozote za kunisaliti.

Kinachonitatiza ni hali yangu kiuchumi. Sina ajira rasmi takribani miaka 6 sasa tangu nimehitimu chuo. Nahishi kwa kuungaunga tu na wala sioni dalili yoyote ya mambo yangu kutulia miaka ya hapa karibuni.

Ni binti anaevutia na anani-push sana tuishi pamoja yaani yale mahusiano rasmi. Kiukweli nampenda lakini nahisi nampotezea muda. Muda wote ambao yupo nami ambae bado nayumba kiuchumi angeweza kumpata mwanaume mwenye uwezo kiuchumi wakaishi pamoja.

Nataka nimuache ila nafsi inanisuta kwa sababu hajanikosea chochote.
Usiogope Maisha, yawezekana Milango ya Baraka haifunguki sababu ya kuchelewa Kuoa. Wewe Muoe huyo Binti.

Mwanaume usililie, wewe pambana usichangue kazi. Kijana unakuwa lenge lenge hivo broo.

Kuna dogo la mwaka 1999 lina mtoto mkubwa na halina Ajira (standard 7) lina Maisha na lina Familia.

Miaka 6 iliyopita ume graduate bado unalalamika Mkuu ??
Nipo katika mahusiano na huyu binti wa kiiraqwi kwa miaka miwili na ziada sasa. Ki ukweli ananipenda na so far sijaona dalili zozote za kunisaliti.

Kinachonitatiza ni hali yangu kiuchumi. Sina ajira rasmi takribani miaka 6 sasa tangu nimehitimu chuo. Nahishi kwa kuungaunga tu na wala sioni dalili yoyote ya mambo yangu kutulia miaka ya hapa karibuni.

Ni binti anaevutia na anani-push sana tuishi pamoja yaani yale mahusiano rasmi. Kiukweli nampenda lakini nahisi nampotezea muda. Muda wote ambao yupo nami ambae bado nayumba kiuchumi angeweza kumpata mwanaume mwenye uwezo kiuchumi wakaishi pamoja.

Nataka nimuache ila nafsi inanisuta kwa sababu hajanikosea chochote

Nipo katika mahusiano na huyu binti wa kiiraqwi kwa miaka miwili na ziada sasa. Ki ukweli ananipenda na so far sijaona dalili zozote za kunisaliti.

Kinachonitatiza ni hali yangu kiuchumi. Sina ajira rasmi takribani miaka 6 sasa tangu nimehitimu chuo. Nahishi kwa kuungaunga tu na wala sioni dalili yoyote ya mambo yangu kutulia miaka ya hapa karibuni.

Ni binti anaevutia na anani-push sana tuishi pamoja yaani yale mahusiano rasmi. Kiukweli nampenda lakini nahisi nampotezea muda. Muda wote ambao yupo nami ambae bado nayumba kiuchumi angeweza kumpata mwanaume mwenye uwezo kiuchumi wakaishi pamoja.

Nataka nimuache ila nafsi inanisuta kwa sababu hajanikosea chochote.
 
Nipo katika mahusiano na huyu binti wa kiiraqwi kwa miaka miwili na ziada sasa. Ki ukweli ananipenda na so far sijaona dalili zozote za kunisaliti.

Kinachonitatiza ni hali yangu kiuchumi. Sina ajira rasmi takribani miaka 6 sasa tangu nimehitimu chuo. Nahishi kwa kuungaunga tu na wala sioni dalili yoyote ya mambo yangu kutulia miaka ya hapa karibuni.

Ni binti anaevutia na anani-push sana tuishi pamoja yaani yale mahusiano rasmi. Kiukweli nampenda lakini nahisi nampotezea muda. Muda wote ambao yupo nami ambae bado nayumba kiuchumi angeweza kumpata mwanaume mwenye uwezo kiuchumi wakaishi pamoja.

Nataka nimuache ila nafsi inanisuta kwa sababu hajanikosea chochote.
Oaneni. Uasherati na uzinzi ni uchafu.
 
Usiogope Maisha, yawezekana Milango ya Baraka haifunguki sababu ya kuchelewa Kuoa. Wewe Muoe huyo Binti.

Mwanaume usililie, wewe pambana usichangue kazi. Kijana unakuwa lenge lenge hivo broo.

Kuna dogo la mwaka 1999 lina mtoto mkubwa na halina Ajira (standard 7) lina Maisha na lina Familia.

Miaka 6 iliyopita ume graduate bado unalalamika Mkuu ??
Mkuu sijamaanisha kwamba sijishughulishi na chochote. Sio kila mpambanaji anatoboa. Baada ya dhiki ni faraja lakini kuna wengine huwa hawaipati iyo faraja mpaka wanakufa na dhiki zao.
 
Nipo katika mahusiano na huyu binti wa kiiraqwi kwa miaka miwili na ziada sasa. Ki ukweli ananipenda na so far sijaona dalili zozote za kunisaliti.

Kinachonitatiza ni hali yangu kiuchumi. Sina ajira rasmi takribani miaka 6 sasa tangu nimehitimu chuo. Nahishi kwa kuungaunga tu na wala sioni dalili yoyote ya mambo yangu kutulia miaka ya hapa karibuni.

Ni binti anaevutia na anani-push sana tuishi pamoja yaani yale mahusiano rasmi. Kiukweli nampenda lakini nahisi nampotezea muda. Muda wote ambao yupo nami ambae bado nayumba kiuchumi angeweza kumpata mwanaume mwenye uwezo kiuchumi wakaishi pamoja.

Nataka nimuache ila nafsi inanisuta kwa sababu hajanikosea chochote.
Kwani yeye kakuambia kwamba unampotezea muda? Au umeamua tu kumsemea? Au umemchoka?

Kuwa makini,usijedhani kwamba unampotezea muda kumbe wewe ndie wapotezewa muda.

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom