Sijajua mkuu kama bado unayo njoo nayo geto tufanye jambo. Make sure unajitawaza vizuriVipi yametoweka?
Si unaona sasa!! No wonder.Sijajua mkuu kama bado unayo njoo nayo geto tufanye jambo. Make sure unajitawaza vizuri
Umuache ili umpotezee muda rasmi sasa sio!??Nipo katika mahusiano na huyu binti wa kiiraqwi kwa miaka miwili na ziada sasa. Ki ukweli ananipenda na so far sijaona dalili zozote za kunisaliti.
Kinachonitatiza ni hali yangu kiuchumi. Sina ajira rasmi takribani miaka 6 sasa tangu nimehitimu chuo. Nahishi kwa kuungaunga tu na wala sioni dalili yoyote ya mambo yangu kutulia miaka ya hapa karibuni.
Ni binti anaevutia na anani-push sana tuishi pamoja yaani yale mahusiano rasmi. Kiukweli nampenda lakini nahisi nampotezea muda. Muda wote ambao yupo nami ambae bado nayumba kiuchumi angeweza kumpata mwanaume mwenye uwezo kiuchumi wakaishi pamoja.
Nataka nimuache ila nafsi inanisuta kwa sababu hajanikosea chochote.
Nchi hii ina uhaba wa vijana! Umeshamwuliza yeye akakujibuje? Kama kuishi na wewe anaona fresh tu hama mjini urudi kijijini ukapige jembe mkuu huyo ndiye mke mwema!Nipo katika mahusiano na huyu binti wa kiiraqwi kwa miaka miwili na ziada sasa. Ki ukweli ananipenda na so far sijaona dalili zozote za kunisaliti.
Kinachonitatiza ni hali yangu kiuchumi. Sina ajira rasmi takribani miaka 6 sasa tangu nimehitimu chuo. Nahishi kwa kuungaunga tu na wala sioni dalili yoyote ya mambo yangu kutulia miaka ya hapa karibuni.
Ni binti anaevutia na anani-push sana tuishi pamoja yaani yale mahusiano rasmi. Kiukweli nampenda lakini nahisi nampotezea muda. Muda wote ambao yupo nami ambae bado nayumba kiuchumi angeweza kumpata mwanaume mwenye uwezo kiuchumi wakaishi pamoja.
Nataka nimuache ila nafsi inanisuta kwa sababu hajanikosea chochote.
Umuache ili umpotezee muda rasmi sasa sio!??


bado umri unaruhusu mkuu yupo kwenye ubora wakeHela tunatafuta mkuu. Changamoto kaumbiwa binadamu zinakuja kitofauti tu hata wenye hela wana changamoto zao. Kama ramani zinasomeka upande huo tupeane connection.Tafuta hela kwanza achana na mapenzi
Kama una mpango wa kuoa kwa mwanamume hakuna short cut lazima uwe na chanzo cha mapato (kujiajiri/kuajiriwa) kuitunza familia yakoHela tunatafuta mkuu. Changamoto kaumbiwa binadamu zinakuja kitofauti tu hata wenye hela wana changamoto zao. Kama ramani zinasomeka upande huo tupeane connection.
Shida kwa jamii yetu ukiangalia muda unaotumia kusoma unajikuta umeingia mtaani tayari una mentality ya kuwa kwenye mahusiano na kimaisha ndio unaanza moja. Hapo kama hauna connection basi uwe competency sana kwenye field yako yaani uwe kipaji maalumuKama una mpango wa kuoa kwa mwanamume hakuna short cut lazima uwe na chanzo cha mapato (kujiajiri/kuajiriwa) kuitunza familia yako
Pole sana mkuu, sikutambua hilo.Mtaji, uzoefu kibiashara na changamoto ya kiafya( nina shida kidogo ya kusikia vizuri) vinanikwamisha kwenye suala la kujiajiri, ingawa nishafight mara kadhaa nikafeli
Niachie mimi mkuu wakati ukiendelea kutafuta ajira, ukipata nakurudishia


Unampotezea muda kutoka muda gani mpaka muda upi,,,,hayo kupoteza muda alitakiwa alalamike huyo mwanamke Asa wewe tena mtoto wa kiume umeanza kulalama jitafakari upyaNajua lazima nitajuta na nishajiandaa kisaikolojia lakini iyo ni kwa upande wangu vipi kuhusu yeye mkuu, huoni kama nampotezea muda
Jiajiri, weka msaidizi atakayefaa kuwasiliana na wateja, wewe utakuwa msimamizi, pia kilimo na ufugaji, havihitaji sana kusikia.Nimejaribu kujiajiri mara kadhaa lakini niliishia kufeli changamoto kubwa za kujiajiri zinazonikwamisha ni mtaji, kukosa uzoefu/ujuzi wa biashara, utunzaji wa hela na tatizo la kiafya(nina shida kidogo ya kusikia vizuri ni ngumu kuwa sharp kwenye biashara mfano kuwasiliana na watu kwa haraka, kutumia simu kwa mawasiliano n.k)
Mtoa mada ulisoma fani gani?Shida kwa jamii yetu ukiangalia muda unaotumia kusoma unajikuta umeingia mtaani tayari una mentality ya kuwa kwenye mahusiano na kimaisha ndio unaanza moja. Hapo kama hauna connection basi uwe competency sana kwenye field yako yaani uwe kipaji maalumu
Procurement and logistic managementMtoa mada ulisoma fani gani?