Namuacha shemeji yenu!

Sasa si ukaolewe na Bank? Mana Bank pesa hazikauki.
Muache kaka wa watu utamuua na pressure mana itakuwa unamzodoa mpaka anakosa confidence.

Hii dunia ni ya Mungu ipo siku atapata kazi na atapata anayempenda. Wewe unapenda pesa tu wala humpendi huyo
 
Pesa anazo

Ila nakupima tu
 
Wa size yake yupi? Mwanaume kutokua na hela ni aibu. Wanaume wengine wanafanya kazi za ajabu ili mradi awe na kitu mfukoni. Mwanaume kusema huna hela kila wakati haipendezi
Wewe unazo.? Au unauza k kwa hao wanaume. Mapenzi sio fursa kwanza
 
Atakuelewa sasa
 
Huyo hakupendi... hata mimi wanawake ambao siwapendi huwa napenda kuwaaminisha kuwa mimi ni hoi bin dhoofu...
 
Walifirisika nikawaacha
Kumbe unapenda pesa, basi kajiuze, maana hufai kuolewa. Kiapo cha ndoa kinasema mtavumiliana kwa shida na raha, sasa wewe naona kujiuza/umalaya ndo utakufaa, wacha kuvamia fani za watu (mahusiano ya kimapenzi) huziwezi.
 
My sisters, mahusiano sio ajira kwamba mtalipwa mshahara.
 
Wewe ni Ombaomba kama Ombaomba wengine tu sema tofauti yako na wale wengine pengine uko Jf, au basi niseme wewe na wale wa kimboka tofauti yenu ni kwamba wale wanatangaza bidhaa zao na wewe unauza kwa sirisiri. Sema muache tu ili akili ya kutafuta pesa ije ila hata akitafuta asitafute kwa ajili ya Ombaomba kama wewe
 
Wanaume tungekuwa tunaandika kama ulivyoandika ingeitwa unyanyasaji.
 
Shoga Kwa nn hukuhudhuria kikao Cha Wana wake??? Tulikubaliana mwanaume masking apendwe na mama yake na dada zake....huo uhandsome unasaidia nn ikiwa hata vocha Hana??? Tupa uchafu huo
Kulanina 😂😂
wanawake mnapenda sana pesa ila kuna baadhi yetu wanaume tunazingua, imagine mwanaume above 25 hajishughulishi na chochote kile kisingizio ajira hakuna. Ndio ajira hakuna ila kazi zipo hasa za nguvu ila elimu zinatufanya tuchague na kudharau kazi mwishowe umri unazidi sogea na huna muelekeo wa maisha, utadharaulika adi na kunguru.

Vijana tujishughulishe na kama haiwezekan kujishughulisha ni mwiko kumlilia shida mwanamke ni kujichimbia shimo.
Tusiogope kutafuta hela kwnye mazingira ya dharau maana kukosa hela n dharau tosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…