Namtakia Maisha Marefu Dk. Wilbroad Peter Slaa (PhD)

Status
Not open for further replies.
yeah man slaa ni wa ukweli ki vile yaani
majita wote wanamkubali ile kinoma huku maskani
kikwete mkuda tu
 
Ana sifa nyingine ya kipekee kabisa.
ni padri aliyemrithisha ubunge mchungaji. Ni mzalendo kwelikweli! . Rais bora afrika.
 
Nashukuru kwa mtoa mada. Uyu daktari hana mfano wa kulinganishwa nae. Mi maisha yangu yote ntasema na ntaendelea kusema kuwa the difference btwn JKNYERERE and my Dr. is only the matter of who came first and otherwise the difference is negligible! Achana na Topical changia mada uyu anapotezea muda. Mnasema dr.yeye anakimbilia kuwataja MPs wengne eti nao wanamchango ka wa Dr. yaani Topicals hajui kuchanganua na anakimbilia kejeli. Tukisema Nyerere ni hero,si kwamba kila kitu chake kilikuwa kizuri,ila merits outweigh wrongs,that is all. Kumbuka ni binadamu,kama huoni zuri kwake usitukane changia hoja,kumbuka ana heshima yake. Ukishindwa kumheshimu kisiasa,mheshimu kama PhD,ikiwa ngumu muone kama mtu mzima,au basi mtanzania makini. Eti topical alishawahi kuongea na Dr.Slaa ofisini kwake,ivi una akili timamu?ulienda kama nani?kama ulienda kuomba msaada kama mkwere na angali hana ulitaka akakukopee au akupe jibu ambalo hukulipenda? Achana na ushabiki! Hapa hamna haja ya matusi wakuu!
 
Hawalingani

JK weak and slow learner

Ana sickness ya kuogopa kufanya maamuzi

At least anawapenda wa Tanzania wote

Ni mzalendo kupita Slaa....nimeshazungumza na Slaa mara kibao ofisini kwake kwa kazi zangu lakini

Nimegundua uzalendo wa kibaguzi kwenye kinywani mwake...

Huo ndio unafiki kwa nini usingemwambia huko huko mlikoonanana? Au ndio unataka kumwambia kupitia thred hii?
 
Ndugu wana JF nimejaribu kungalia katika Safu ya Viongozi Walipata Kutokea katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Namna walivyotimiza majukumu yao katika Kuwatetea Watanzania wote bila kujali Itikadi zao za Dini na makabila

Namna walivyo walivyowatetea Watanzania bila Kujali au kujiwekea Mipaka katika Majimbo ya Uchaguzi

Namna walivyoweza kuhimili Siasa Chafu za CCM na kuweza kujipambanua kama Kimbilio la Watanzania walio wengi

Kiongozi Jasiri, Mwenye Busara, Aliyewahi kutoa Machozi kuwalilia Watanzania wanaoshi katika Hali duni Kimaisha

Kiongozi aliyekuwa na maono na Kiu ya Kuwatumikia Watanzania na kurejesha Usawa ulipotoea katika Jamii ya Watanzania

Huyu si Mwingine bali ni Dr. Wilbroad Peter Slaa ( PhD), Rais wa Waananchi

Mungu Akuzidishie Afya Njema, Akupe Maisha Marefu, Akuongezee Busara na Ujasiri wa Kupigana kwa ajili ya Watanzania walio wengi wasio jua Haki zao za Msingi, Watanzania Wengi walikuamini wakakupa Kura, bado Watanzania wana Imani kubwa sana na Wewe.

Asante Mungu kwa Kutupa Kiongozi huyu Shupavu kuwahi kutokea, Umlinde dhidi ya Wabaya wake maana yeye ni Sauti za Wanyonge na waja wako

Long Live Dr. Slaa (PhD)

Ni yupi unayemtakia maisha mafupi?
 
Ndugu wana JF nimejaribu kungalia katika Safu ya Viongozi Walipata Kutokea katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Namna walivyotimiza majukumu yao katika Kuwatetea Watanzania wote bila kujali Itikadi zao za Dini na makabila

Namna walivyo walivyowatetea Watanzania bila Kujali au kujiwekea Mipaka katika Majimbo ya Uchaguzi

Namna walivyoweza kuhimili Siasa Chafu za CCM na kuweza kujipambanua kama Kimbilio la Watanzania walio wengi

Kiongozi Jasiri, Mwenye Busara, Aliyewahi kutoa Machozi kuwalilia Watanzania wanaoshi katika Hali duni Kimaisha

Kiongozi aliyekuwa na maono na Kiu ya Kuwatumikia Watanzania na kurejesha Usawa ulipotoea katika Jamii ya Watanzania

Huyu si Mwingine bali ni Dr. Wilbroad Peter Slaa ( PhD), Rais wa Waananchi

Mungu Akuzidishie Afya Njema, Akupe Maisha Marefu, Akuongezee Busara na Ujasiri wa Kupigana kwa ajili ya Watanzania walio wengi wasio jua Haki zao za Msingi, Watanzania Wengi walikuamini wakakupa Kura, bado Watanzania wana Imani kubwa sana na Wewe.

Asante Mungu kwa Kutupa Kiongozi huyu Shupavu kuwahi kutokea, Umlinde dhidi ya Wabaya wake maana yeye ni Sauti za Wanyonge na waja wako

Long Live Dr. Slaa (PhD)

Hilo neno kwenye red linatumika sana kanisani.Ulitaka atuongoze kwa maono ya kanisa?
 
Ndugu wana JF nimejaribu kungalia katika Safu ya Viongozi Walipata Kutokea katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Namna walivyotimiza majukumu yao katika Kuwatetea Watanzania wote bila kujali Itikadi zao za Dini na makabila

Namna walivyo walivyowatetea Watanzania bila Kujali au kujiwekea Mipaka katika Majimbo ya Uchaguzi

Namna walivyoweza kuhimili Siasa Chafu za CCM na kuweza kujipambanua kama Kimbilio la Watanzania walio wengi

Kiongozi Jasiri, Mwenye Busara, Aliyewahi kutoa Machozi kuwalilia Watanzania wanaoshi katika Hali duni Kimaisha

Kiongozi aliyekuwa na maono na Kiu ya Kuwatumikia Watanzania na kurejesha Usawa ulipotoea katika Jamii ya Watanzania

Huyu si Mwingine bali ni Dr. Wilbroad Peter Slaa ( PhD), Rais wa Waananchi

Mungu Akuzidishie Afya Njema, Akupe Maisha Marefu, Akuongezee Busara na Ujasiri wa Kupigana kwa ajili ya Watanzania walio wengi wasio jua Haki zao za Msingi, Watanzania Wengi walikuamini wakakupa Kura, bado Watanzania wana Imani kubwa sana na Wewe.

Asante Mungu kwa Kutupa Kiongozi huyu Shupavu kuwahi kutokea, Umlinde dhidi ya Wabaya wake maana yeye ni Sauti za Wanyonge na waja wako

Long Live Dr. Slaa (PhD)

Ninakubaliana na wewe kuwa kweli anayo huruma.Almuona mwanamke anatangatanga akamuhurumia na kumweka kimada,kumbe maskini ni mke wa mtu.Lakini yeye hakujua kama ameolewa kwa hiyo sio kosa lake.Ila wasiwasi wangu ni kuwa pengine angefanya maamuzi mengi mabovu bila kujua endapo angepata urais.Hii inathibitishwa pia na kukurupuka kwake kutangaza vitu asivyokuwa na uhakika navyo,kwa mfano kontena la kura.Hili lilimbomoa sana maskini!
 
Sishangai sana
Wapo watu hapa wanaweza kumuosha Jakaya miguu yake kwa machozi yao na
kisha kumsafisha kwa nywele zao.... Pia wapo ambao wakiiona picha yake wanakarahika
kiasi cha kusikia kichefuchefu...
 
Hawalingani

JK weak and slow learner

Ana sickness ya kuogopa kufanya maamuzi

At least anawapenda wa Tanzania wote

Ni mzalendo kupita Slaa....nimeshazungumza na Slaa mara kibao ofisini kwake kwa kazi zangu lakini

Nimegundua uzalendo wa kibaguzi kwenye kinywani mwake...

Kwa hiyo kumbe una chuki binafsi!basi ingekuwa vema kama kabla ya kuchangia, kwa faida ya walaji wa mawazo yako ungelisema wazi kuwa ,wewe na Slaa mna mgongano binafsi katika jambo fulani!!
 
"Ewe Mungu kama nia yangu ya kugomea urais ni nzuri niwezeshe nishinde,kama sio nzuri niepushe"

Kwa macho yangu na mskio yangu nilimuona Slaa akiomba dua hiyo.Naona ilikubaliwa.Hivi bado ana matumaini tena?
 
Nilidhani JF inahusisha bright people, kumbe ina mabogus kibaoo (Tropical) na wenzake

Watu kama kina tropical ni kuwavumilia tu,kwa kuwa ni wanajf wenzetu!mama yetu kazaa watoto wengi.Wengine wapole,wengine wakorofi,wengine wana akili timamu na wengine ni wehu!hivyo ni vizuri kuvumiliana na hasa tukizingatia sisi sote ni watoto wa mama na baba mmoja!!
 
Amefanikisha kipi katika hayo mapambano hadi leo?

Ameanza lini hayo mapambano? miaka....

Anapigania nini? a... b...c...

Katika watetezi wa haki Tanzania does Slaa name appear really?

Unajua mnapamba huyo mzee mpaka mnachafua bila kufahamu...

He is nobody dude...just a former priest hooked with women has to leave church then happened to be MP and tried to contest for presidential post backed by church networks ended up with only 26% . On road crying foul play with no clues and evidence (that it short story of the man aged 60+)

dah! mchizi we sio kabisa yaani
slaa kichwa babuuu yaani we huoni slaa kapambana na nini?
mi naona we ndo unamatatizo mjita wangu.
 
amefanikisha kipi katika hayo mapambano hadi leo?

Ameanza lini hayo mapambano? Miaka....

Anapigania nini? A... B...c...

Katika watetezi wa haki tanzania does slaa name appear really?

Unajua mnapamba huyo mzee mpaka mnachafua bila kufahamu...

He is nobody dude...just a former priest hooked with women has to leave church then happened to be mp and tried to contest for presidential post backed by church networks ended up with only 26% . On road crying foul play with no clues and evidence (that it short story of the man aged 60+)






Dr. Phd Slaa katufungua macho. Anemchukia ajiunge na sudan kaskazini au uncivilised states of afghan,pakstan,the nigeria of 2morrow etc ili anywe damu za watu wasio na hatia.
 
Hilo neno kwenye red linatumika sana kanisani.Ulitaka atuongoze kwa maono ya kanisa?

Better kuongoza kwa maono ya kanisa kuliko majinn, check on the jinn states with jinn laws prescribed on satan verses like north sudan,irak,afghan,nigeri,pakstan,somaliaetc ni damu tupu :angry:=thawabu mbinguni.Tehe tehe tehe to hell those maono.
 
Nashukuru kwa mtoa mada. Uyu daktari hana mfano wa kulinganishwa nae. Mi maisha yangu yote ntasema na ntaendelea kusema kuwa the difference btwn JKNYERERE and my Dr. is only the matter of who came first and otherwise the difference is negligible! Achana na Topical changia mada uyu anapotezea muda. Mnasema dr.yeye anakimbilia kuwataja MPs wengne eti nao wanamchango ka wa Dr. yaani Topicals hajui kuchanganua na anakimbilia kejeli. Tukisema Nyerere ni hero,si kwamba kila kitu chake kilikuwa kizuri,ila merits outweigh wrongs,that is all. Kumbuka ni binadamu,kama huoni zuri kwake usitukane changia hoja,kumbuka ana heshima yake. Ukishindwa kumheshimu kisiasa,mheshimu kama PhD,ikiwa ngumu muone kama mtu mzima,au basi mtanzania makini. Eti topical alishawahi kuongea na Dr.Slaa ofisini kwake,ivi una akili timamu?ulienda kama nani?kama ulienda kuomba msaada kama mkwere na angali hana ulitaka akakukopee au akupe jibu ambalo hukulipenda? Achana na ushabiki! Hapa hamna haja ya matusi wakuu!

Sikumbuki kumtukana mtu hapa nimesema ukweli tu

Nimeenda kikazi, katika majadiliano yangu nikamuuliza kwanini hamuunganishi nguvu na chama cha CUF way back 2007??

Akasema Lipumba anasali sana (hakujua mimi ni Muslim)

Nikwambia does it matter? ...just a hint?

Yaliyoendelea nikafahamu ana matatizo makubwa kutokana na "Background yake na qualification zake"

Kazi huwa zina tabia ya kubadili mitazamo...siyo kosa lake simlaumu labda aseme amebadilika...

Ndio maana nasema ni mzalendo mwenye uzalendo wa kibaguzi

Hitler ni mzalendo eti..lakini ni mbaguzi pia

I love Tanzania, I love Chadema, but Slaa big wekeni presedential material "tutapiga makofi wote"
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom