Hawalingani
JK weak and slow learner
Ana sickness ya kuogopa kufanya maamuzi
At least anawapenda wa Tanzania wote
Ni mzalendo kupita Slaa....nimeshazungumza na Slaa mara kibao ofisini kwake kwa kazi zangu lakini
Nimegundua uzalendo wa kibaguzi kwenye kinywani mwake...
Ndugu wana JF nimejaribu kungalia katika Safu ya Viongozi Walipata Kutokea katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Namna walivyotimiza majukumu yao katika Kuwatetea Watanzania wote bila kujali Itikadi zao za Dini na makabila
Namna walivyo walivyowatetea Watanzania bila Kujali au kujiwekea Mipaka katika Majimbo ya Uchaguzi
Namna walivyoweza kuhimili Siasa Chafu za CCM na kuweza kujipambanua kama Kimbilio la Watanzania walio wengi
Kiongozi Jasiri, Mwenye Busara, Aliyewahi kutoa Machozi kuwalilia Watanzania wanaoshi katika Hali duni Kimaisha
Kiongozi aliyekuwa na maono na Kiu ya Kuwatumikia Watanzania na kurejesha Usawa ulipotoea katika Jamii ya Watanzania
Huyu si Mwingine bali ni Dr. Wilbroad Peter Slaa ( PhD), Rais wa Waananchi
Mungu Akuzidishie Afya Njema, Akupe Maisha Marefu, Akuongezee Busara na Ujasiri wa Kupigana kwa ajili ya Watanzania walio wengi wasio jua Haki zao za Msingi, Watanzania Wengi walikuamini wakakupa Kura, bado Watanzania wana Imani kubwa sana na Wewe.
Asante Mungu kwa Kutupa Kiongozi huyu Shupavu kuwahi kutokea, Umlinde dhidi ya Wabaya wake maana yeye ni Sauti za Wanyonge na waja wako
Long Live Dr. Slaa (PhD)
Ndugu wana JF nimejaribu kungalia katika Safu ya Viongozi Walipata Kutokea katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Namna walivyotimiza majukumu yao katika Kuwatetea Watanzania wote bila kujali Itikadi zao za Dini na makabila
Namna walivyo walivyowatetea Watanzania bila Kujali au kujiwekea Mipaka katika Majimbo ya Uchaguzi
Namna walivyoweza kuhimili Siasa Chafu za CCM na kuweza kujipambanua kama Kimbilio la Watanzania walio wengi
Kiongozi Jasiri, Mwenye Busara, Aliyewahi kutoa Machozi kuwalilia Watanzania wanaoshi katika Hali duni Kimaisha
Kiongozi aliyekuwa na maono na Kiu ya Kuwatumikia Watanzania na kurejesha Usawa ulipotoea katika Jamii ya Watanzania
Huyu si Mwingine bali ni Dr. Wilbroad Peter Slaa ( PhD), Rais wa Waananchi
Mungu Akuzidishie Afya Njema, Akupe Maisha Marefu, Akuongezee Busara na Ujasiri wa Kupigana kwa ajili ya Watanzania walio wengi wasio jua Haki zao za Msingi, Watanzania Wengi walikuamini wakakupa Kura, bado Watanzania wana Imani kubwa sana na Wewe.
Asante Mungu kwa Kutupa Kiongozi huyu Shupavu kuwahi kutokea, Umlinde dhidi ya Wabaya wake maana yeye ni Sauti za Wanyonge na waja wako
Long Live Dr. Slaa (PhD)
Ndugu wana JF nimejaribu kungalia katika Safu ya Viongozi Walipata Kutokea katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Namna walivyotimiza majukumu yao katika Kuwatetea Watanzania wote bila kujali Itikadi zao za Dini na makabila
Namna walivyo walivyowatetea Watanzania bila Kujali au kujiwekea Mipaka katika Majimbo ya Uchaguzi
Namna walivyoweza kuhimili Siasa Chafu za CCM na kuweza kujipambanua kama Kimbilio la Watanzania walio wengi
Kiongozi Jasiri, Mwenye Busara, Aliyewahi kutoa Machozi kuwalilia Watanzania wanaoshi katika Hali duni Kimaisha
Kiongozi aliyekuwa na maono na Kiu ya Kuwatumikia Watanzania na kurejesha Usawa ulipotoea katika Jamii ya Watanzania
Huyu si Mwingine bali ni Dr. Wilbroad Peter Slaa ( PhD), Rais wa Waananchi
Mungu Akuzidishie Afya Njema, Akupe Maisha Marefu, Akuongezee Busara na Ujasiri wa Kupigana kwa ajili ya Watanzania walio wengi wasio jua Haki zao za Msingi, Watanzania Wengi walikuamini wakakupa Kura, bado Watanzania wana Imani kubwa sana na Wewe.
Asante Mungu kwa Kutupa Kiongozi huyu Shupavu kuwahi kutokea, Umlinde dhidi ya Wabaya wake maana yeye ni Sauti za Wanyonge na waja wako
Long Live Dr. Slaa (PhD)
Hawalingani
JK weak and slow learner
Ana sickness ya kuogopa kufanya maamuzi
At least anawapenda wa Tanzania wote
Ni mzalendo kupita Slaa....nimeshazungumza na Slaa mara kibao ofisini kwake kwa kazi zangu lakini
Nimegundua uzalendo wa kibaguzi kwenye kinywani mwake...
Nilidhani JF inahusisha bright people, kumbe ina mabogus kibaoo (Tropical) na wenzake
Amefanikisha kipi katika hayo mapambano hadi leo?
Ameanza lini hayo mapambano? miaka....
Anapigania nini? a... b...c...
Katika watetezi wa haki Tanzania does Slaa name appear really?
Unajua mnapamba huyo mzee mpaka mnachafua bila kufahamu...
He is nobody dude...just a former priest hooked with women has to leave church then happened to be MP and tried to contest for presidential post backed by church networks ended up with only 26% . On road crying foul play with no clues and evidence (that it short story of the man aged 60+)
amefanikisha kipi katika hayo mapambano hadi leo?
Ameanza lini hayo mapambano? Miaka....
Anapigania nini? A... B...c...
Katika watetezi wa haki tanzania does slaa name appear really?
Unajua mnapamba huyo mzee mpaka mnachafua bila kufahamu...
He is nobody dude...just a former priest hooked with women has to leave church then happened to be mp and tried to contest for presidential post backed by church networks ended up with only 26% . On road crying foul play with no clues and evidence (that it short story of the man aged 60+)
Hilo neno kwenye red linatumika sana kanisani.Ulitaka atuongoze kwa maono ya kanisa?
Nashukuru kwa mtoa mada. Uyu daktari hana mfano wa kulinganishwa nae. Mi maisha yangu yote ntasema na ntaendelea kusema kuwa the difference btwn JKNYERERE and my Dr. is only the matter of who came first and otherwise the difference is negligible! Achana na Topical changia mada uyu anapotezea muda. Mnasema dr.yeye anakimbilia kuwataja MPs wengne eti nao wanamchango ka wa Dr. yaani Topicals hajui kuchanganua na anakimbilia kejeli. Tukisema Nyerere ni hero,si kwamba kila kitu chake kilikuwa kizuri,ila merits outweigh wrongs,that is all. Kumbuka ni binadamu,kama huoni zuri kwake usitukane changia hoja,kumbuka ana heshima yake. Ukishindwa kumheshimu kisiasa,mheshimu kama PhD,ikiwa ngumu muone kama mtu mzima,au basi mtanzania makini. Eti topical alishawahi kuongea na Dr.Slaa ofisini kwake,ivi una akili timamu?ulienda kama nani?kama ulienda kuomba msaada kama mkwere na angali hana ulitaka akakukopee au akupe jibu ambalo hukulipenda? Achana na ushabiki! Hapa hamna haja ya matusi wakuu!