Namtakia Maisha Marefu Dk. Wilbroad Peter Slaa (PhD)

Status
Not open for further replies.
Better kuongoza kwa maono ya kanisa kuliko majinn, check on the jinn states with jinn laws prescribed on satan verses like north sudan,irak,afghan,nigeri,pakstan,somaliaetc ni damu tupu :angry:=thawabu mbinguni.Tehe tehe tehe to hell those maono.

Unalenga nani hasa?

Acha udini mkuu
 
Hawalingani

JK weak and slow learner

Ana sickness ya kuogopa kufanya maamuzi

At least anawapenda wa Tanzania wote

Ni mzalendo kupita Slaa....nimeshazungumza na Slaa mara kibao ofisini kwake kwa kazi zangu lakini

Nimegundua uzalendo wa kibaguzi kwenye kinywani mwake...

Acha urongo wewe.........
Angekuwa mzalendo angejiunga na mafisadi kutufisadi? au wewe umezoea hali hii ya maisha unaona ni sawa tu bora kumekucha? Amefanya nini inapofika habari ya kumfunga paka kengele. kama ni mzalendo angefanya maamuzi ya kizalendo huku akiamini kuwa watanzania wote wenye nia njema na nchi hii tungekuwa nyuma yake kumuunga mkono katka harakati/mapambano dhidi ya marafiki zake hao. Anatukera huyuuuuuu! we acha tu.
Eti anatupenda... Acha matusi yako , mambo ya kijinga ya kizamani, Kings and chiefs ndo walionekana wa maana kama tu wanawapenda watu wao hata kama hawakuwa wanafanya chochote cha maana. kwani Tanzania ni nchi ya kifalume..... hatujamchagua kula kuku ikulu na kudhani wajibu wake ni kutupenda basi!

Hatuhitaji mtu anayetupenda, tunapendwa na wake zetu na familiya zetu, tunataka mtu anayefanya kazi na kuipeleka mbele TZ, yeye ni mtumishi ambaye mwisho wa miaka mitano lazima tumfanyie performance appraisal , hatuhitaji porojo zake tunataka results.

Mimi pia katika katiba mpya , napendekeza bunge lipewe mamlaka kwa niaba ya wananchi kumfanyia performance appraisal Rais kila mwaka na akipata point (inaweza ikawa ni kura) chini ya malengo kuwe na namna ya kureview kibaraua chake ili watu wasiwe wanakimbilie kazi ya urais bila kujiandaa na kujihoji kama wanaiweza.


Longer life Dr. Slaaa!
 
List goes on, Kilango, mwakyembe,sita, ..KISA WANAONGEA SANA, kiongozi anapimwa kwa achievement na siyo maneno meeeeengi, na huu ndio udhaifu wetu watanzania.

I said Mtikila is far best than Slaa!!! akiwa na issue anaenda mahakamani na mambo yanaishia huko, ukisema sana Tanzania wewe ni mjanja na heroes, tumerogwa ama kwa hakika , hatutaki result tunataka maneno

haya mafisadi wangapi wameenda jela, wangapi wamerudisha hela?? ukikosa jibu la hapa bila kuweka visingizio basi ndio uone bongo zetu hizi lazima zifanyiwe checkup za haraka sana
 
Amefanikisha kipi katika hayo mapambano hadi leo?

Ameanza lini hayo mapambano? miaka....

Anapigania nini? a... b...c...

Katika watetezi wa haki Tanzania does Slaa name appear really?

Unajua mnapamba huyo mzee mpaka mnachafua bila kufahamu...

He is nobody dude...just a former priest hooked with women has to leave church then happened to be MP and tried to contest for presidential post backed by church networks ended up with only 26% . On road crying foul play with no clues and evidence (that it short story of the man aged 60+)

Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa!
Hivi huyo JK wako ana miaka mingapi?
Huyo JK wako alsima atapata zaidi ya 80% sasa ikawaje akapata 20% chini ya hapo hata baada y avyombo vya dola kumbeba nchi nzima?
Kuhusu kuwa na wanawake wengi, mmmmhhhhh, mie yangu macho!!!
 
Nashukuru kwa mtoa mada. Uyu daktari hana mfano wa kulinganishwa nae. Mi maisha yangu yote ntasema na ntaendelea kusema kuwa the difference btwn JKNYERERE and my Dr. is only the matter of who came first and otherwise the difference is negligible! Achana na Topical changia mada uyu anapotezea muda. Mnasema dr.yeye anakimbilia kuwataja MPs wengne eti nao wanamchango ka wa Dr. yaani Topicals hajui kuchanganua na anakimbilia kejeli. Tukisema Nyerere ni hero,si kwamba kila kitu chake kilikuwa kizuri,ila merits outweigh wrongs,that is all. Kumbuka ni binadamu,kama huoni zuri kwake usitukane changia hoja,kumbuka ana heshima yake. Ukishindwa kumheshimu kisiasa,mheshimu kama PhD,ikiwa ngumu muone kama mtu mzima,au basi mtanzania makini. Eti topical alishawahi kuongea na Dr.Slaa ofisini kwake,ivi una akili timamu?ulienda kama nani?kama ulienda kuomba msaada kama mkwere na angali hana ulitaka akakukopee au akupe jibu ambalo hukulipenda? Achana na ushabiki! Hapa hamna haja ya matusi wakuu!

watu bwana unamlinganisha Slaa na Nyerere? sema kwa sauti ya chini watu wasisikie., Nyerere he was and he is worst leader ever in Tanzania, leo hii tunalia result za Nyerere na regime zake, ndiye aliyeweka utawala wa chama kimoja kutoka vyama vingi, acheni kuongea bila evidence, ukiweka sifa za Nyerere ni kuwa alikuwa clean sawa kabiasa na mtoto wa mkulima-Pinda ukiangalia mafanikio ya uongozi wao ni worst na unamfananisha Slaa na Nyerere?? Slaa angalau better Kuliko Nyerere, ila hafai kuwa rais hata kwa dawa!!

Nilidhani JF inahusisha bright people, kumbe ina mabogus kibaoo (Tropical) na wenzake

kweli huyo rais wako ameprove failure kuongoza chadema na sasa kuna migogoro kibao kwa sababu ya yeye!!! hafai kuwa rais na 2015 hatumsimishi tena, we sema weeeeee, lakini siyo rais na hatakuja kuwa rais. yeye aendelee kupora wake za watu sawa kabisa na JK kuongeza vimada!!
 
Acha urongo wewe.........
Angekuwa mzalendo angejiunga na mafisadi kutufisadi? au wewe umezoea hali hii ya maisha unaona ni sawa tu bora kumekucha? Amefanya nini inapofika habari ya kumfunga paka kengele. kama ni mzalendo angefanya maamuzi ya kizalendo huku akiamini kuwa watanzania wote wenye nia njema na nchi hii tungekuwa nyuma yake kumuunga mkono katka harakati/mapambano dhidi ya marafiki zake hao. Anatukera huyuuuuuu! we acha tu.
Eti anatupenda... Acha matusi yako , mambo ya kijinga ya kizamani, Kings and chiefs ndo walionekana wa maana kama tu wanawapenda watu wao hata kama hawakuwa wanafanya chochote cha maana. kwani Tanzania ni nchi ya kifalume..... hatujamchagua kula kuku ikulu na kudhani wajibu wake ni kutupenda basi!

Hatuhitaji mtu anayetupenda, tunapendwa na wake zetu na familiya zetu, tunataka mtu anayefanya kazi na kuipeleka mbele TZ, yeye ni mtumishi ambaye mwisho wa miaka mitano lazima tumfanyie performance appraisal , hatuhitaji porojo zake tunataka results.

Mimi pia katika katiba mpya , napendekeza bunge lipewe mamlaka kwa niaba ya wananchi kumfanyia performance appraisal Rais kila mwaka na akipata point (inaweza ikawa ni kura) chini ya malengo kuwe na namna ya kureview kibaraua chake ili watu wasiwe wanakimbilie kazi ya urais bila kujiandaa na kujihoji kama wanaiweza.


Longer life Dr. Slaaa!

Katiba mpya kwa maneno matupu...leteni rasimu yenu tujue mnataka nini kwenye katiba...I hope you guys are not waiting somebody to do for you?

Long live All People of Tanzania

Huyo mzee wenu ana problem kubwa ya Qualification na experience

I wish you understand! lakini kwakuwa wewe die hard xxxxx

U-President utakuwa ndoto, siyo kwa Tanzania yenye wake up kubwa ya UDINI kama sasa...

Yes I said it, chagueni neutral qualification ok...tutapiga makofi wote..
 
Dr slaa mungu amzidishie uzima wa milele 2015

ndiyo maana mapandikizi kama akina tropical wakisikia jina lake

wanapiga chapya
 
Katiba mpya kwa maneno matupu...leteni rasimu yenu tujue mnataka nini kwenye katiba...I hope you guys are not waiting somebody to do for you?

Long live All People of Tanzania

Huyo mzee wenu ana problem kubwa ya Qualification na experience

I wish you understand! lakini kwakuwa wewe die hard xxxxx

U-President utakuwa ndoto, siyo kwa Tanzania yenye wake up kubwa ya UDINI kama sasa...

Yes I said it, chagueni neutral qualification ok...tutapiga makofi wote..

Katiba mpya si ya Chama cha Siasa hivyo rasimu ya katiba itatokana na watanzania wote hivyo hakuna haja ya kila chama kupeleka raimu yake. I believe hata rasimu zilizopelekwa zinamengi mazuri tu kama ni watu wenye nia njema na nchi hii. Tutapima mitazamo ya vyama vya siasa pia katika rasimu zao kama kweli wanatetea watanzania au wanaajenda zao za kimakundi tu. Udini pia tutauona kataika rasimu hizi kama kikundi fulani kinahubiri udini itathibitika. Ole wao chama cha siasa kitakachopeleka rasimu zenye msilahi ya kikundi au dini fulani kitakuwa kimejimaliza chenyewe hata kabla ya uchaguzi, yangu macho.

Wewe na Jk ndo mnasema huo udini sisi kama watanzania huku mitaani tunaishi kama ndugu tu. Kama unaudini ni wewe labda na wezako ambao hatuwajui. Mtufafanulie huo udini umetoka wapi na mazingira yapi yanayowapelekea kusema kuna udini, na kwa ushahidi upi kuwa kuna udini? mbona wengi hatuoni ni nyie tu na labda Jk mumeona hili. Hii ni upotoshaji mtupu na nyie ndiyo watu wakuwaogopa kama ukoma. Hiki kitu nadhani inabidi mtu afikishwe mahakamani adhibitishe huu udini uko wapi na atoe evidence kwa maslahi ya amani ya nchi yeu.

Be careful when you discuss this kwa sababu unawezajikuta ni wewe peke yako ndo unaongelea hili na tukakuchukulia kama mchochezi!
 
Katiba mpya si ya Chama cha Siasa hivyo rasimu ya katiba itatokana na watanzania wote hivyo hakuna haja ya kila chama kupeleka raimu yake. I believe hata rasimu zilizopelekwa zinamengi mazuri tu kama ni watu wenye nia njema na nchi hii. Tutapima mitazamo ya vyama vya siasa pia katika rasimu zao kama kweli wanatetea watanzania au wanaajenda zao za kimakundi tu. Udini pia tutauona kataika rasimu hizi kama kikundi fulani kinahubiri udini itathibitika. Ole wao chama cha siasa kitakachopeleka rasimu zenye msilahi ya kikundi au dini fulani kitakuwa kimejimaliza chenyewe hata kabla ya uchaguzi, yangu macho.

Wewe na Jk ndo mnasema huo udini sisi kama watanzania huku mitaani tunaishi kama ndugu tu. Kama unaudini ni wewe labda na wezako ambao hatuwajui. Mtufafanulie huo udini umetoka wapi na mazingira yapi yanayowapelekea kusema kuna udini, na kwa ushahidi upi kuwa kuna udini? mbona wengi hatuoni ni nyie tu na labda Jk mumeona hili. Hii ni upotoshaji mtupu na nyie ndiyo watu wakuwaogopa kama ukoma. Hiki kitu nadhani inabidi mtu afikishwe mahakamani adhibitishe huu udini uko wapi na atoe evidence kwa maslahi ya amani ya nchi yeu.

Be careful when you discuss this kwa sababu unawezajikuta ni wewe peke yako ndo unaongelea hili na tukakuchukulia kama mchochezi!

Mengine yote uko right..kila mtu/kikundi kileta rasimu yake itengenezwa rasimu ya kitaifa..(taifa ni matokeo ya vikundi/watu)

Kuhusu udini wanaopinga kuwa hakuna udini...NDIO wenye UDINI ila wanafaidi nao period hawataki hiyo faida iwatoke

Ila hakuna marefu yasiyo na ncha ..jipu limeanza kutoneshwa baada wadini kujitoa hadharani kwa njia ya waraka, mwongozo (ushahidi huo)

Ushahidi mwingine ni teuzi na vyeo kulundikwa kwa wenye dini fulaniiiii eti wamesoma sana..wengine hawajasoma ...(simple answer for very complicated issue)

Pelekeni watu mahakamani ushahidi utawadhalilisha sana wale wanaosema hakuna udini..I wish ungeanza kupeleka watu mahakamani..waiting that to happen..
 
Wanaopinga si wamtaje wao? Mtu katoa mawazo yake, mnamtolea lugha chafu. Kila mtu afanye utafiti wake then aje na conclusion juu ya kiongozi anaemkubali. God bless you
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom