Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
- Thread starter
- #21
huyu binti anasoma, yuko chuo kikuu mwaka wa kwanza
she is my best friend sana
namba yake ninayo na ninaonana naye mara kwa mara
naweza kukupa lakini mpaka nijue kwanza wewe ni nani kwa jina halisi halafu nimuulize na yeye (upendo) kama yuko radhi namba yake kugawiwa.
GS niPM ukijibu maswali hayo hapo juu
Mmh Sipo nawasiwasi nawewe..unasema she is your best friend!can you prove it.