Namtafuta Upendo Mbogo

Namtafuta Upendo Mbogo

Mimi pia nawatafuta jamaa wote wa mti safi(1988-form 4) Umbwe secondary, wanaweza nipigia kwa namba hii +97143940200. wakijitambulisha kuwa wanamtafuta jamaa mmoja toka dodoma alimaliza shule Umbwe mwaka huo watanipata.
 
Namtafuta Janerose Matimbwi popote ulipo naomba niPM tafadhali tulisoma wote chuo!
 
Mimi namtafuta Hasina Idd Mvungi, alisoma Sumve High Schoo miaka ya 2003 hivi. Mwenye contacts zake ani-PM.

Yule alikuwaga mweupe hivi,halafu alikuwa anapenda kuvaa sket fupi , na yeye na mwalimu Mshauri zilikuwa hazipandi?
 
Nawatafuta marafiki wote waliomaliza Mwanza Sec 1995, kama mpo jamvini, plz tuwasiliane
 
Namtafuta andetile tumtemeke sanga,nilisoma naye forodhani primary school,tulimaliza 1979
 
nami namtafuta shehe ILUNGA ani pm please au mwenye contact zake.
 
Namtafuta jamaa anaitwa Baholela Salehe,Betman William,na Meja...tuliachana Mwadui 1993
 
Mi namtafuta Pasta mbufye na vitus mapunda nilisoma nao mkwawa high school 2002 -2004.
 
Yule alikuwaga mweupe hivi,halafu alikuwa anapenda kuvaa sket fupi , na yeye na mwalimu Mshauri zilikuwa hazipandi?

Huyo huyo! Nisaidie kumtafuta bwana, mkuu wewe upo pande zipi? Ni-pm basi.
 
Namtafuta Bartholomew Mrosso na Allen Japhet Kilewo
Mko wapi?
 
Namtafuta Petiti Koshuma, Rehema Salamba, Diana Palla(Forodhani Primary School)

Babu Jinga(alikuwaga muuza koni maarufu enzi twasoma Forodhani miaka ya 97)

Masudi(alikuwa muuza pipi maarufu pale nje ya geti,Forodhani Primary miaka ya 97)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom