vanmedy
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 2,703
- 1,408
Naitafuta BAN , mara ya mwisho nilipishana nayo jukwaa la siasa, anayeifahamu ani PM tafadhali
lalalalalaaaa we baba weeeee dooooh Baba V ...
Naitafuta BAN , mara ya mwisho nilipishana nayo jukwaa la siasa, anayeifahamu ani PM tafadhali
Namtafuta JULIANA SHONZA alikuwa demu wangu tukiwa advance!
Nimepata taarifa kuwa ameingia kwenye siasa!
Anayejua aliko aniPM wapendwa!
Hii ni dalili jukwaa la kutafutana linahitajika.
Naunga mkono hoja ... kwa kweli inaonekana hilo jukwa la kutafutana linahitajika hapa Jamvini .. ni mategemeo yetu kuwa wahusika watazingatia ushauri uliotolewa hapo juu.hizi ni dalili za Invisible kuweka jukwaa husika
Naunga mkono hoja ... kwa kweli inaonekana hilo jukwa la kutafutana linahitajika hapa Jamvini .. ni mategemeo yetu kuwa wahusika watazingatia ushauri uliotolewa hapo juu.
Funguka mkuu fatuma yupi,,au ni yule fatuma muhamed yule bint wa kagoma...bus usipate shida muulize mwl MUGIZI kama una namba yake.Namtafuta Fatuma,ni my classment Kishoju sec, ani PM!!
Nami namtafuta Lulu Nyalali....popote ulipo nicheki kwenye PM
Wewe ungejua tu ndio nani .umesoma shaban Robert wewe.Neema helela ulifanikiwa na ntobi?
Nami namtafuta Lulu Nyalali....popote ulipo nicheki kwenye PM
Jaribu kumcheki kwenye Law firm yao-Warioba.Nyalali & .......
Natafuta mawasiliano ya Manji na Mengi mwenye no zao ani PM!
eeeh just google bwana mbona wataka tafuniwa kila kitu??Oh kumbe yupo hapo eeh....
Tovuti yao inaitwaje?
Wewe ndiyo Angela Mollel, Neema Mwaikambo, au Aichi Kilewo?
mnatufurahisha jamani tulionuna aah..ofc zao umejaribu kwenda??