Namtafuta member wa JF

Namtafuta member wa JF

R_Breazy

Member
Joined
Aug 28, 2025
Posts
32
Reaction score
54
Wakuu habari za wakati huu

Kuna member fulani tulifahamiana kupitia JF, Bahati mbaya Mimi ndo niliweka namba yangu kwenye moja ya thread ya member wa humu JF aliyowahi kupost...

Wasifu wake yeye ni daktari (kulingana na ukaribu na maelezo tuliyowahi kushare kipindi tunawasiliana) tulishauriana mengi sana, kuongezea aliwahi kuniambia kuwa ana dada kama si ndugu anafanya au ashawahi Fanya kazi shirika Fulani(Foreign organization-kama skosei kigoma) mhusika ni mtu wa Mara. Najaribu kueleza baadhi ya details ili aweze kunikumbuka pale atakapoona thread hii, details nyingine ni confidential sana.

Kwa sasa nipo mwanza ni mwanafunzi SAUT, malimbe
Namba tulikuwa tunawasiliana awali inaishia 0767******91

Bro ukiiona hii thread tuwasiliane kupitia
0769442907
Natanguliza shukrani
 
Ahsante kwa kunitag ndugu sio mimi .
Mimi ni mzaramo niliyechanganyika na wahaya .
Pia sina dada wa aliye kwenye mashirika ya kigeni.
Anyway nimesituka sana ulivyonitag maana niko natoka chumbani narudi sebleni mara dinning mara nje kwenye vimbweta sitaki hata mbwa wangu wanikaribie swaumu imekqza naona kama muda hausogei ni vile nimeapa kujikaza ramadhani hii ila kama sio hivyo ningekuwa nishadokoa zamani futari yangu
 
Ahsante kwa kunitag ndugu sio mimi .
Mimi ni mzaramo niliyechanganyika na wahaya .
Pia sina dada wa aliye kwenye mashirika ya kigeni.
Anyway nimesituka sana ulivyonitag maana niko natoka chumbani narudi sebleni mara dinning mara nje kwenye vimbweta sitaki hata mbwa wangu wanikaribie swaumu imekqza naona kama muda hausogei ni vile nimeapa kujikaza ramadhani hii ila kama sio hivyo ningekuwa nishadokoa zamani futari yangu
A3CB1006-EC32-408E-9C3E-5F1501263177.jpeg

Muda ukifika, ni humu tuu🤗
 
Ahaa sawa! Ila nilipatwa na matatizo,niliibiwa simu,nikafukuzwa kazi kama utakuwa na balance ya hata elfu hamsini nitumie nijikimu. Ahsante kwa kunikumbuka ndugu yangu mimi nipo Bunda vijijini now!
 
Ahsante kwa kunitag ndugu sio mimi .
Mimi ni mzaramo niliyechanganyika na wahaya .
Pia sina dada wa aliye kwenye mashirika ya kigeni.
Anyway nimesituka sana ulivyonitag maana niko natoka chumbani narudi sebleni mara dinning mara nje kwenye vimbweta sitaki hata mbwa wangu wanikaribie swaumu imekqza naona kama muda hausogei ni vile nimeapa kujikaza ramadhani hii ila kama sio hivyo ningekuwa nishadokoa zamani futari yangu
'Kujikaza' ni kiswahili kitarafa mkuu, ukiondoa ulichomaanisha, hakifuti ile maana nyingine inayobakia, inayomaanisha 'kujichukulia sheria mkononi'.
 
Ahaa sawa! Ila nilipatwa na matatizo,niliibiwa simu,nikafukuzwa kazi kama utakuwa na balance ya hata elfu hamsini nitumie nijikimu. Ahsante kwa kunikumbuka ndugu yangu mimi nipo Bunda vijijini now!
😁😁😅 We ni fwala mkuu
 
'Kujikaza' ni kiswahili kitarafa mkuu, ukiondoa ulichomaanisha, hakifuti ile maana nyingine inayobakia, inayomaanisha 'kujichukulia sheria mkononi'.
Kaka nakuomba sana usiingie kwenye mumbo wa vijana wanaojichukulia sheria mkononi ,hakika nakuapia utakufa vibaya wale waache bado nguvu wanazo hivyo sio shida kama sisi .
 
Back
Top Bottom