We mangi nakuangalia tu kumbe huwezi kustahmili...haya sema kwa nini unanitafuta umeshapata copy na umeshanusa?AAAAAAAAAAAaaaaaaaH Nimechoka bana m2 mwenyewe anaanza kuringa ka nini. Mi najitoa kwene hiki kinyanganyiro.
We mangi nakuangalia tu kumbe huwezi kustahmili...haya sema kwa nini unanitafuta umeshapata copy na umeshanusa?AAAAAAAAAAAaaaaaaaH Nimechoka bana m2 mwenyewe anaanza kuringa ka nini. Mi najitoa kwene hiki kinyanganyiro.
Posted via MobileWe mangi nakuangalia tu kumbe huwezi kustahmili...haya sema kwa nini unanitafuta umeshapata copy na umeshanusa?
We mangi nakuangalia tu kumbe huwezi kustahmili...haya sema kwa nini unanitafuta umeshapata copy na umeshanusa?
Mwenzenu Babu Roya na mwenzake Nyani Ngabu wanaongea kingeredha kigumu...........mi hata siwaelewi kabisa
Nway.........
Here we Go!
Tueleze ulimfanza nini The Finest mpaka akakonda kwa hizi siku mbili tu?
Posted via Mobile
hahahahhaha Haya Bibi weye wanusishia guest gani leo maana unatumia mobile hahahah
Hapo taratibu taratibu naweza kukufikiria kuurudisha undugu wetu.
Mwenzenu Babu Roya na mwenzake Nyani Ngabu wanaongea kingeredha kigumu...........mi hata siwaelewi kabisa
Nway.........
We mangi nakuangalia tu kumbe huwezi kustahmili...haya sema kwa nini unanitafuta umeshapata copy na umeshanusa?
Hao akili zao wanazijua wenyewe. Manake walianza na kuku wa mayai, wakahamia kwenye majogoo kisha wakaingia kwenye supu....sasa wako na Diana....LOLZ
si unajua tena nahakikisha naondoka na ujuzi wa huku nijue jinsi ya kuandaa samaki nchanga na jinsi ya kutibu viunoHahahahaaaaaaaaaa......... Mama Big kwani ndo tayari ushawekwa kinyumba? Mbona uji nawe watafutwa huku ka jasho la kuku?
Hebu njoo kuna ntu anataka kuludicha loho kwa kukukocha chamaki nchanga wake!!
Undugu umefuta na RITA bana....na hakuna dabo rejistreshen....umebaki ule wa adamu na hawa...
Huelewi kuhusu jogoo?? Babu hajakufunza kupika supu ya jogoo? Am willing to volunteer..
The Finest ameishia kabisa sasa...
Najitolea kumfundisha mjukuu wako mapishi ya supu ya jogoo...
undugu umefuta na rita bana....na hakuna dabo rejistreshen....umebaki ule wa adamu na hawa...
huelewi kuhusu jogoo?? Babu hajakufunza kupika supu ya jogoo? Am willing to volunteer..
the finest ameishia kabisa sasa...
najitolea kumfundisha mjukuu wako mapishi ya supu ya jogoo...
noted hatua za kisheria juu yako zitafuata
Ulishawahi mapishi yake hasa ya supu ya kuku? Niulize babu yake nikusimulie.
Muulize Baba Gift kuhusu ecosystem...
Kwani unafikiri Marekani anaona Iran ni threat pamoja na kuwa yeye ni taifa kubwa
Daaah babu naomba miwani yako....................... hapa nataka nisome katikati ya herufi kabisa si ya mistari. ... mapishi ya supu ya kuku...mapishi ya supu ya kuku.....:thinking::A S confused::A S 39:Ulishawahi mapishi yake hasa ya supu ya kuku? Niulize babu yake nikusimulie.
Narudia tena...digidigi sio tishio kwa mbuga....
We babu jirani sasa unamwonea babu yangu........ tangu lini supu ikahitahi meno? ye anakunywa supu tu nyama zote anaweka pembeni lolWewe si huna meno? ulionjaje?
Daaah babu naomba miwani yako....................... hapa nataka nisome katikati ya herufi kabisa si ya mistari. ... mapishi ya supu ya kuku...mapishi ya supu ya kuku.....:thinking::A S confused::A S 39:
:doh::doh::doh: Lakini akidharauliwa huwa mbele anakuja kusababisha watu waone kuwa yeye ni tishio
We babu jirani sasa unamwonea babu yangu........ tangu lini supu ikahitahi meno? ye anakunywa supu tu nyama zote anaweka pembeni lol