naona hapa kuna madereva tax na digidigi tu!
Kila nikisoma, naona haya maneno yanajirudia:
1) majogoo
2) mama Big
3) Bigirita
4) digidigi
5) Mjukuu
6) ugoro
7) kunusishwa
8) babu (wababu)
Kwani sredi inasemaje...
naona hapa kuna madereva tax na digidigi tu!
Kila nikisoma, naona haya maneno yanajirudia:
1) majogoo
2) mama Big
3) Bigirita
4) digidigi
5) Mjukuu
6) ugoro
7) kunusishwa
8) babu (wababu)
Kwani sredi inasemaje...
naona hapa kuna madereva tax na digidigi tu!
Kila nikisoma, naona haya maneno yanajirudia:
1) majogoo
2) mama Big
3) Bigirita
4) digidigi
5) Mjukuu
6) ugoro
7) kunusishwa
8) babu (wababu)
Utanisaidia kuwaambia trafki wanisaidie kuongoza msafara nikiwa naenda kumpokea Mama Big airport
haha haha :laugh: umenikumbusha topi flani iliyopita ............. aliendachukua nini kule ..... Harrier :smile:Kwani mama Big anarudi kutoka DUBAI?
Na kutafutwa kote kumbe eti we wazazi wako wanaishi chini ya maji ndo ukashindwa kuja. Naskia baba yako hataki wale wanaoabudu lile kanisa kuu la B A RBig mambo
Afu MJ1 ulipotea sana. habari ya cku nyingi. Tatizo huyu Mama Big anajipigia debe sana niakjua ni mtaalamu wa kupunguza maumivu. Nilikuwa na stress za uachaguzi kumbe naye vuvuzela tu. Debe tupu tu huyu. Haya lete khbariHivi Bado huyu mama anatafutwa tu??? ...........ina maana wengine hamtuoni? amah??
Hivi Bado huyu mama anatafutwa tu??? ...........ina maana wengine hamtuoni? amah??
Afu ujue ugomvi unaanzaga hivhiv. Asee tutagombana oooooooooooh MJ1 ucmjali huyo nataka kudandia treni kwa mbele!Mie mbona nilikuwa nakusubiri MJ1 ......... au hukuniona :happy:
Umemkosa MK ....... :bowl: mie MJ1 kaomba nimsaidie nanihii sasa kama wewe ulikuwa na mihado nae ........atasema mwenyewe :smile:Afu ujue ugomvi unaanzaga hivhiv. Asee tutagombana oooooooooooh MJ1 ucmjali huyo nataka kudandia treni kwa mbele!
Afu MJ1 ulipotea sana. habari ya cku nyingi. Tatizo huyu Mama Big anajipigia debe sana niakjua ni mtaalamu wa kupunguza maumivu. Nilikuwa na stress za uachaguzi kumbe naye vuvuzela tu. Debe tupu tu huyu. Haya lete khbari
GFM.............subiri selection inaendelea................kwa walioselect second selection lolMie mbona nilikuwa nakusubiri MJ1 ......... au hukuniona :happy:
Afu ujue ugomvi unaanzaga hivhiv. Asee tutagombana oooooooooooh MJ1 ucmjali huyo nataka kudandia treni kwa mbele!
Apo chacha.........Kaona Mama Kubwa mashine anataka kutuonea sieUmemkosa MK ....... :bowl: mie MJ1 kaomba nimsaidie nanihii sasa kama wewe ulikuwa na mihado nae ........atasema mwenyewe :smile:
Haya bana lakini nna bidii sijachoka. Mi nakuapia mama big simtaki tena vuvuzela tu yule. Welcome home my dear! yaani karibu mpaka chumbani nalalga mwenyewe wa pili chupa ya valuer
mi bana nahama bar. hapa wamenambia wanafunga. sijui baa gani wataniruhusu nikae na mdoli wangu toptop niongee na wewe. Nachukua valuer yangu naenda nayo ama unasemaje MJ1. la kucha mae!
Hahahah we first choice yako ni Mama Big sasa for the second choice subir kwanza tumalize kuwapa nafasi wale waliyoifanya second choice ya kwanza....................... nfasi zikibaki utapewa uopt
GFM.............subiri selection inaendelea................kwa walioselect second selection lol
Hahahaha.......ngoja nikonsulti mjani .................hope babu zangu hawajaona lol
Apo chacha.........Kaona Mama Kubwa mashine anataka kutuonea sie
Avatar lol...........nataka nipotezee mazimaSi mpaka uumpe ruhusa/nafasi .......... u can make what u want to be ....:happy::wink1: ............ afu hii
avatar yako ndio nini tena ............ au ndo huyu mangi keshachakachua ...... mie kidogo nkupotee !!