Siko facebook ila ngoja nimwombe mtu ambae yupo uko anitafutie.
....hahahahahaha,safi kama bado uko hapo NYOTA TANO,nitakuja kukutembelea nikiwa DARKudadeki .....si bure aisee. Eeeh bwana bado nipo hapo. Loh
...hebu nikumbushe kinywaji chako,ni WIDHOEK eeh,au SAVANA?Karibu sana .
....hahahahahahaha,labbra mie ndio unayemtafuta?Hahaaaaaa dah bwana embu niache utabiri gani huu hadi kinywaji wakijua. Hahahaa we si bure aiseee.
...Siku Njema,wasalimie SA,pole na BARIDI la hukoInawezekana mana si kwa kunijua hvyo mpaka kinywaji mpaka nyota tano si bure.
umeshajaribu kumtafuta na huko whatsapp?Bahati mbaya siko fb....niko humu jf na whatsapp basi.
Asante nshampa mtu anifanyie hvyo sikuwa na hilo wazo kabisa. Nashukuru sana.
Loh sasa whatsapp nitamtafuta bila namba yake.
Wapendwa habarini,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Ninaomba kwa anayemjua anipatie namba yake pm.
Tafadhali sana.
Asanteni
Wapendwa habarini,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Ninaomba kwa anayemjua anipatie namba yake pm.
Tafadhali sana.
Asanteni
Wapendwa habarini,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Ninaomba kwa anayemjua anipatie namba yake pm.
Tafadhali sana.
Asanteni
Mbona anapatika fbWapendwa habarini,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Ninaomba kwa anayemjua anipatie namba yake pm.
Tafadhali sana.
Asanteni