Mateja M.G Yango
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 613
- 1,097
atakua baba mtoto wake
Na jamaa kashaoa...kama alimzungusha zungusha huko chuo basi ndio ishakula kwake!
atakua baba mtoto wake
kuna mdau hapo kasema anamfahamu ila umwelekeze PM ndo wapi akupe namba, fanya kumuuliza vzrWapendwa habarini,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Ninaomba kwa anayemjua anipatie namba yake pm.
Tafadhali sana.
Asanteni
Wapendwa habarini,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Ninaomba kwa anayemjua anipatie namba yake pm.
Tafadhali sana.
Asanteni
Habari yako Mkuu, huyu ndo unamtafuta? au ni mwingine?Wapendwa habarini,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Ninaomba kwa anayemjua anipatie namba yake pm.
Tafadhali sana.
Asanteni
Huyu sio Joseph Nicas Lukoa mkuu.Habari yako Mkuu, huyu ndo unamtafuta? au ni mwingine?
View attachment 346881
Mzee wa mia ushaanza vituko vyako.Habari yako Mkuu, huyu ndo unamtafuta? au ni mwingine?
View attachment 346881
...usikute Mleta MADA ana NIA nzuri ,usikute jamaa aliwahi kutangaza NDOA ,sister du akazingua,sasa UMRI unakwenda anaona BORA amtafute wayajenge upya,Huyu sio Joseph Nicas Lukoa mkuu.
Tatizo mtoa mada hajaonyesha nia ya kumtafuta huyo jamaa, ila angeshapata contacts zake.
Aiseee wewe utakuwa mtabiri si bure. Yani hakuna ulichokosea. Duh we noma aiseee....usikute Mleta MADA ana NIA nzuri ,usikute jamaa aliwahi kutangaza NDOA ,sister du akazingua,sasa UMRI unakwenda anaona BORA amtafute wayajenge upya,
....hahahahahahahahaha,mie Sheikh Yahya..Aiseee wewe utakuwa mtabiri si bure. Yani hakuna ulichokosea. Duh we noma aiseee.
....hahahahahahahaha,NDOTO na NIA yako,Mwaka huu itatimia,Tegemea UGENI kwenu hapo KIMARAItabidi nikutafute for more utabiri.
...hapana mie nabahatisha tu,itatimia kwa jina la YESUItimie kwa jina la Yesu. Afu mtu chake wewe nawe utakuwa unanijua mana sikuelewi.