Ulivyo mkataa baada kukosa kazi ulidhani ana ugomvi na Mungu, mwenzio kaishapata ya maana na tayari kaisha oa na ana mtoto.Wapendwa habarini,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Ninaomba kwa anayemjua anipatie namba yake pm.
Tafadhali sana.
Asanteni

Tanga Tech product enzi hizo anacheza mpira vizuri.Huyu sio Joseph Nicas Lukoa mkuu.
Tatizo mtoa mada hajaonyesha nia ya kumtafuta huyo jamaa, ila angeshapata contacts zake.
.....kweli kbs nabahatisha,kipi hapo nimekisema halafu ni KWELI kwako?Si kwa kubahatisha uku jamani.
Hahaaa ungejua . aya bwana asante kwa ushauri wako.Ulivyo mkataa baada kukosa kazi ulidhani ana ugomvi na Mungu, mwenzio kaishapata ya maana na tayari kaisha oa na ana mtoto.
Sina uhakika km atakukubalia kuwa atamchepuko maana jamaa anapenda mkewe balaa.![]()
![]()
kama upo dar ,jumamosi hii njoo mlimani city kuanzia mida ya saa nne asubuhi, utakutana na mtu mmoja mliyesoma naye chuo .Tulikuwa faculty tofauti afu nilipoteza simu ndiyo maana.
Alisoma maua seminary.....then akaja mzumbe na chuo amemaliza UDSM LLB 2011. Kwao gombo la mboto na mwaka huu mwezi wa 3 alifiwa na mama yake mzazi.fanya hivi mkuu eleza umesoma nae chuo gani
ni mwenyeji wa wapi ni rahisi kusaidiwa ukijieleza hivo kuliko hivo kifupi
....hahahahaha,ukicheka ndio nazidi kutabiri,bado uko palee ,NYOTA TANO?Hahaaaa ngoja nicheke tu.
oh hilo nakushauri edit pale juu kwenye post yako weka haya maelezo yake binafsi utampata hata ndugu katika huo ukooAlisoma maua seminary.....then akaja mzumbe na chuo amemaliza UDSM LLB 2011. Kwao gombo la mboto na mwaka huu mwezi wa 3 alifiwa na mama yake mzazi.
Alisoma maua seminary.....then akaja mzumbe na chuo amemaliza UDSM LLB 2011. Kwao gombo la mboto na mwaka huu mwezi wa 3 alifiwa na mama yake mzazi.
Rafiki yangu wa chuo. Sina jinsi ya kumtafuta nimeona nimlete hapa kama kuna mtu anamjua anipatie namba yake.
Hahaaaa Loh ....Ningekuwa wewe, ningeandika mimi Kidawa,binti Cherehani,ninamtafuta Joseph Nicas Lukoa, kabila lake say ni Mnyalu, wajihi wake ukoje,mara ya mwisho mlikutana wapi na ni kwanini unamtafuta! Na kurahisisha utapatikanaji wake unatangaza na dau kabisa kwa atakayetoa taarifa za kuweza kupatikana kwake!