Wee hebu tulia basi!. Mbona umekomaa na mimiBaba ake Dundo_Boy anaujua mziki wangu, anahs kiuno changu hakina mfupa
Wee hebu tulia basi!. Mbona umekomaa na mimiBaba ake Dundo_Boy anaujua mziki wangu, anahs kiuno changu hakina mfupa
Kwani wewe ni huyo dada anaonekana?Habari zenu wapendwa katika bwana,
Mie sie mwenyeji sana humu JF lakini nahisi nipo mahali sahihi.
Kuna rafiki yangu namtafuta anaitwa Frank, tulikutana Morogoro chuo cha afya na aliniambia kwao ni Dar japo kila tukifunga chuo alikuwa anaenda Dom kwa kaka yake ambaye anakaa Kisasa.
Kwa mtu mwenye kumjua ama mwenye mawasiliano naye naomba anisaidie, ni pm.
Picha yake hii hapa
![]()
Asikupumbaze na ID fekiJaman pengine anahitaji msaada wa kweli.
Kwanza kajiunga jf leo,hajui hata panaendaje.
Muacheni jmn
du mkuu Bibi Ake uko so cute....hayo macho mhhhh!!! yananitaman...Habari zenu wapendwa katika bwana,
Mie sie mwenyeji sana humu JF lakini nahisi nipo mahali sahihi.
Kuna rafiki yangu namtafuta anaitwa Frank, tulikutana Morogoro chuo cha afya na aliniambia kwao ni Dar japo kila tukifunga chuo alikuwa anaenda Dom kwa kaka yake ambaye anakaa Kisasa.
Kwa mtu mwenye kumjua ama mwenye mawasiliano naye naomba anisaidie, ni pm.
Picha yake hii hapa
![]()
Weka pichaSina hakika sanaaa ila jina la ukoo wake ni ukoo wa mwenge, ninachojua anamdogo wake aliolewa huko mtwara na askari pia ana ndugu zake mtoni kijichi na ubungo pamoja na singida.
Weka picha
Binadamu tu waajabu sn! Yaani unalia wivu kwa sura nzuri ya mwenziyo usiyefahamiana naye?ni tabia mbaya kuuza sura za watu na wewe kwanza hufai kuitwa binadamu je huko FB hujampata? marafiki zake je? au unatembeza uso? km unauza sura hebu jaribu kitoa sura za watu ubaki wewe tu. na sijui ndo mmepigia picha gari la lecture wenu tujue usafiri wenu. UMENIKERAAAAAAAA hata hao watu naahirisha kukujuza walipo.
Acha ma2c ushakuwa mtu mzima ss.Inaonekana jamaa alikukuna vizuri
Kama haujakwiba, kuchongolea mdomo waheshimiwa ama kula visivyolika, unakuwa na wasiwasi wa nini kuweka pua lako halisi humu?wadau ni kutaka kujua tu ...hivi kuweka picha ya mtu kwenye mitandao ya kijamii bila ya ridhaa yake , hii imakaaje wadau kisheria ni kosa au si kosa..? naomba tu kufahamishwa.
Anza Clinic Mara moja na Jiepushe na Pepo baya la kuichoropoa!
Inaonekana Mlikutana kwny Send off jamaa akahakiki 'vyeti' juu kwa juu!
dahMwenyewe kakuruhusu uuze sura yake JF kama anatafutwa na polisi?