Namtafuta huyu kaka

Namtafuta huyu kaka

Naona kila mtu anadhani kuna tatizo, NO hakuna tatizo. Ukweli ni kwamba huyu mtu ndiye aliyenibikiri and since we lost each other sijawahi kufurahia mapenzi. I want him baaack
 
Naona kila mtu anadhani kuna tatizo, NO hakuna tatizo. Ukweli ni kwamba huyu mtu ndiye aliyenibikiri and since we lost each other sijawahi kufurahia mapenzi. I want him baaack
Ungenyoosha tu maelezo mapema thread isingefika mbali hivi angejitokeza.

Je ulikuwa unampa mauno ya kweli, au ndio wale wale wa kwenda kuogea nyumbani?
 
Namfahamu anaitwa Frank but kwao si Dar bali ni Rombo Mashati kuelekea Horiri usije changanya na Horohoro maana Horiri ipo Kilimanjaro na Horohoro ipo Tanga japo ukipita horiri/horohoro lazima tu utafika kwao rafiki ake mkuu yule oding alokuja chato ile ya geita wala si Mexico ambapo alikuja kumpa hi rafiki ake na kuhudhuria misa pale chato RC jirani kidogo na ile primary school alosoma mkuu yaani chato primary school kabla hajakwenda katoke seminary ile ya biharamulo wala si katoke ttc ile ya muleba karibu na kule ambapo ata wameshindwa kushushiwa bei ya vifaa vya ujenzi ili waweze kumudu gharama za ujenzi wa nyumba zao zilizoharibiwa na ile kitu wanaitaga disturbance ya epi center sijui ndo shake ya atmosphere ama ni kitu kingine mie sielewi ila serikali basi iwashushie bei ya vifaa vya ujenzi aisee.
Wewe ni mwongo wa kutupwa. Huko hakuna sehemu inaitwa ''Horiri''.
 
Mlikutana kwenye send off jamaa akahakiki.. Ina maana huko chuo mlisoma wawili? Na social media zote hizi? Lhaaa unatuchota sema ukweli
Maisha magumu, anamtafuta mwenzie wa zamani ili wapigane jeki asiaibike mjini!!
 
wadau ni kutaka kujua tu ...hivi kuweka picha ya mtu kwenye mitandao ya kijamii bila ya ridhaa yake , hii imakaaje wadau kisheria ni kosa au si kosa..? naomba tu kufahamishwa.
 
Namfahamu anaitwa Frank but kwao si Dar bali ni Rombo Mashati kuelekea Horiri usije changanya na Horohoro maana Horiri ipo Kilimanjaro na Horohoro ipo Tanga japo ukipita horiri/horohoro lazima tu utafika kwao rafiki ake mkuu yule oding alokuja chato ile ya geita wala si Mexico ambapo alikuja kumpa hi rafiki ake na kuhudhuria misa pale chato RC jirani kidogo na ile primary school alosoma mkuu yaani chato primary school kabla hajakwenda katoke seminary ile ya biharamulo wala si katoke ttc ile ya muleba karibu na kule ambapo ata wameshindwa kushushiwa bei ya vifaa vya ujenzi ili waweze kumudu gharama za ujenzi wa nyumba zao zilizoharibiwa na ile kitu wanaitaga disturbance ya epi center sijui ndo shake ya atmosphere ama ni kitu kingine mie sielewi ila serikali basi iwashushie bei ya vifaa vya ujenzi aisee.

Shikamoo bwana mdogo.. Sijaelewa
 
Ungenyoosha tu maelezo mapema thread isingefika mbali hivi angejitokeza.

Je ulikuwa unampa mauno ya kweli, au ndio wale wale wa kwenda kuogea nyumbani?
Ungenyoosha tu maelezo mapema thread isingefika mbali hivi angejitokeza.

Je ulikuwa unampa mauno ya kweli, au ndio wale wale wa kwenda kuogea nyumbani?
Baba ake Dundo_Boy anaujua mziki wangu, anahs kiuno changu hakina mfupa
 
Habari zenu wapendwa katika bwana,

Mie sie mwenyeji sana humu JF lakini nahisi nipo mahali sahihi.

Kuna rafiki yangu namtafuta anaitwa Frank, tulikutana Morogoro chuo cha afya na aliniambia kwao ni Dar japo kila tukifunga chuo alikuwa anaenda Dom kwa kaka yake ambaye anakaa Kisasa.

Kwa mtu mwenye kumjua ama mwenye mawasiliano naye naomba anisaidie, ni pm.

Picha yake hii hapa
img-20151015-wa0000-jpg.422491
Huyo kama namfahamu,na kaka yake nafanya nae kazi!...Ila picha haifunguki kwangu..
 
Mi naishi Dar,ingawa kwa sasa sipo huko....kaka yake anafanyia morogoro?Mi namfahamu sana kaka mtu,ila najua ana mdogo wake anaitwa frank na wote ni wakazi wa DOM.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom