Namtafuta huyu kaka

Namtafuta huyu kaka

Namfahamu anaitwa Frank but kwao si Dar bali ni Rombo Mashati kuelekea Horiri usije changanya na Horohoro maana Horiri ipo Kilimanjaro na Horohoro ipo Tanga japo ukipita horiri/hororo lazima tu utafika kwao rafiki ake mkuu yule oding alokuja chato ile ya geita wala si Mexico ambapo alikuja kumpa hi rafiki ake na kuhudhuria misa pale chato RC jirani kidogo na ile primary school alosoma mkuu yaani chato primary school kabla hajakwenda katoke seminary ile ya biharamulo wala si katoke ttc ile ya muleba karibu na kule ambapo ata wameshindwa kushushiwa bei ya vifaa vya ujenzi ili waweze kumudu gharama za ujenzi wa nyumba zao zilizoharibiwa na ile kitu wanaitaga disturbance ya epi center sijui ndo shake ya atmosphere ama ni kitu kingine mie sielewi ila serikali basi iwashushie bei ya vifaa vya ujenzi aisee.
Hahahaha,
Seriously!!!
 
Katika vyote nimekufurahia wewe tu. Dah! Hayo macho tu baaaasi. Frank, frankly speaking atakuja fasta akijua hayo macho yanamhitaji.
 
"Rose tabia gani yavkuweka picha yangu humu!!
Nilikuambia nimeoa, na mke wangu yupo humu......dah!!"


Utampata tu........usihofu.
 
ni tabia mbaya kuuza sura za watu na wewe kwanza hufai kuitwa binadamu je huko FB hujampata? marafiki zake je? au unatembeza uso? km unauza sura hebu jaribu kitoa sura za watu ubaki wewe tu. na sijui ndo mmepigia picha gari la lecture wenu tujue usafiri wenu. UMENIKERAAAAAAAA hata hao watu naahirisha kukujuza walipo.
 
Mh! mbona huyu jamaa haitwi Frank!


eniwei..am out!!!
 
Niko hapa umenipata njoo tumalizane Pm, japo sinapenda tabia ya kuwekana picha huku
 
Mimi namtafuta Dada mmoja aliwahi kusoma Euckenforde High School Tanga anaitwa Glory Sakaya, kwao ilikua Morogoro. Kama yupo au mnamfahamu nisalimieni sana, nimemtafuta hadi basi
 
Namfahamu anaitwa Frank but kwao si Dar bali ni Rombo Mashati kuelekea Horiri usije changanya na Horohoro maana Horiri ipo Kilimanjaro na Horohoro ipo Tanga japo ukipita horiri/horohoro lazima tu utafika kwao rafiki ake mkuu yule oding alokuja chato ile ya geita wala si Mexico ambapo alikuja kumpa hi rafiki ake na kuhudhuria misa pale chato RC jirani kidogo na ile primary school alosoma mkuu yaani chato primary school kabla hajakwenda katoke seminary ile ya biharamulo wala si katoke ttc ile ya muleba karibu na kule ambapo ata wameshindwa kushushiwa bei ya vifaa vya ujenzi ili waweze kumudu gharama za ujenzi wa nyumba zao zilizoharibiwa na ile kitu wanaitaga disturbance ya epi center sijui ndo shake ya atmosphere ama ni kitu kingine mie sielewi ila serikali basi iwashushie bei ya vifaa vya ujenzi aisee.
Duuh! I'm serious you know
 
Habari zenu wapendwa katika bwana,
Mie sie mwenyeji sana humu JF lakini nahisi nipo mahali sahihi.
Kuna rafiki yangu namtafuta anaitwa Frank, tulikutana Morogoro chuo cha afya na aliniambia kwao ni Dar japo kila tukifunga chuo alikuwa anaenda Dom kwa kaka yake ambaye anakaa Kisasa.

Kwa mtu mwenye kumjua ama mwenye mawasiliano naye naomba anisaidie, ni pm.

Picha zake hizi hapa, huyo wa katikati mwenye wei kwa nywele
Kwahiyo wewe ni huyu mdada?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom