Namtafuta baba yangu mzazi Mauridy Hamis Mwita

Hapa uko sahihi kabisaaaaah Tena mnoooh.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi baba yangu sijaonana nae miaka 28 sasa.yupo mkoa mmoja hivi ni km 600 na ushee...sina time kabisa.namba zangu anazo.akipiga nakata.akinitext sijibu.haya maisha acha tu.sababu ya kufanya ivyo ni kwamba kila mtu ashinde mechi zake...alitultelekeza tukiwa wadogo..aendelee hivyohivyo.na hata wadogo zangu wanafanya hivyohivyo.kama angekuwa wa maana angekuja.kuomba radhi huenda tungejitahidi kushikamana nae.huo mkoa huwa napita sana na basi nikiwa kwenye mihangahiko ya maisha.sijawahi kushuka.nna hasira nae sana huyu mzee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi baba yangu sijaonana nae miaka 28 sasa.yupo mkoa mmoja hivi ni km 600 na ushee...sina time kabisa.namba zangu anazo.akipiga nakata.akinitext sijibu.haya maisha acha tu.sababu ya kufanya ivyo ni kwamba kila mtu ashinde mechi zake...alitultelekeza tukiwa wadogo..aendelee hivyohivyo.na hata wadogo zangu wanafanya hivyohivyo.kama angekuwa wa maana angekuja.kuomba radhi huenda tungejitahidi kushikamana nae.huo mkoa huwa napita sana na basi nikiwa kwenye mihangahiko ya maisha.sijawahi kushuka.nna hasira nae sana huyu mzee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuja kujuta ..na kuna mahali kwenye maisha utakwama na utapata shida sana na sababu ni kutopatana na baba yako, patana na baba yako angali yupo hai ana pumzi.. wazazi ndio Miungu wa pili duniani, damu yake na yako sawa kabisa huwez kusema kwamba utaenda kubadlisha damu,..yeye kukutafuta ama kujaribu kupiga simu ni mwanzo wa hatua za kuomba radhi kwenu watoto wake na wewe ndio unapaswa uoneshe mfano kwa wadogo zako. utakuja kukumbuka huu ushauri hapo itakua too late.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom