Namtafuta baba yangu mzazi Mauridy Hamis Mwita

Mafeking

Member
Aug 21, 2018
45
93
Mimi ni kijana wa miaka 23, sasa nachukua fulsa hii kumtafuta baba yangu ki ukweli sijawahai ata kumuona, mimi naitwa Werema Mauridy Mwita na baba yangu jina lake Mauridy Hamis Mwita.

Nimeishi na mama pamoja na baba wa kufikia. Ninachokumbuka kuhusu baba ni Kazi yake niliona katika cheti changu cha kuzaliwa kuwa ni Mwalimu wa Sekondari, jina la shule Kibaha Sekondari sasa sijajua kama bado ni mwalimu au la.

Naomba msaada kwa atakae kuwa anamjua anisaidie kuna vitu nakosa upande wa malezi ya baba.

Asanteni japo siko vizuri kiuandishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni kijana wa miaka 23, sasa nachukua fulsa hii kumtafuta baba yangu ki ukweli sijawahai ata kumuona, mimi naitwa Werema Mauridy Mwita na baba yangu jina lake Mauridy Hamis Mwita.

Nimeishi na mama pamoja na baba wa kufikia. Ninachokumbuka kuhusu baba ni Kazi yake niliona katika cheti changu cha kuzaliwa kuwa ni Mwalimu wa Sekondari, jina la shule Kibaha Sekondari sasa sijajua kama bado ni mwalimu au la.

Naomba msaada kwa atakae kuwa anamjua anisaidie kuna vitu nakosa upande wa malezi ya baba.

Asanteni japo siko vizuri kiuandishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo baba amekulea mpaka umekuwa mtu mzima leo unasema hupati malezi mazuri ?? Kuwa mtu wa shukrani kijana. Kama baba ako hata hujawahi kumwona leo ndo atakupa malezi ? Au yeye atataka uwe vzuri kipesa ili umpe na yeye ??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo baba amekulea mpaka umekuwa mtu mzima leo unasema hupati malezi mazuri ?? Kuwa mtu wa shukrani kijana. Kama baba ako hata hujawahi kumwona leo ndo atakupa malezi ? Au yeye atataka uwe vzuri kipesa ili umpe na yeye ??

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijamaanisha kuwa sipati malezi bora bali kumjua baba mzazi kuna kitu una gain so baba mlezi kanilea vizuri tu na nampenda kama baba yangu. Ila natamani nimpate baba yangu ata isiwe yeye ata ndugu zake sababu wote siwajui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mtu asimtafute baba yake kisa kalelewa na baba wa kambo tangu mtoto?
HYO SIO SAHIHI..
baba yake ni haki yake kumjua.
Miaka 23 ndo unaanza kuona kuna kitu hupati katika malezi, umri huo unahitaji upewe nini..?

Huko ni kukosa shukrani kwa baba’ko mlezi, tunaopiga vita kuoa singo mama muwe mnatuelewa.... matokeo yake ni kama haya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijamaanisha kuwa sipati malezi bora bali kumjua baba mzazi kuna kitu una gain so baba mlezi kanilea vizuri tu na nampenda kama baba yangu. Ila natamani nimpate baba yangu ata isiwe yeye ata ndugu zake sababu wote siwajui

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kuwa unayatafuta makubwa, "mwana kuyatafuta mwana kuyapata "
Kama mama ako hajakuonyesha potezea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan nyie watoto msiokua na shukrani kwa baba zenu wa kufikia ndio mnasababisha hata single mothers wasiolewa
Sasa baba wa watu kakulea miaka zaidi ya 20 eti leo wamtaka baba yako.Tena kajidhiki kwa hali na mali ila fadhila unashindwa kumfadhili
Hata baba yako angekukosea tuu ,usijitie unyonge pengine yanayotokea sababu sio baba yako haipo hvyo ndugu

Nakutakia kheri katika harakati za kumtafuta baba yako pia zingatia matokeo ya wewe kumtafuta hy mzee kwa ustawi wa familia hii ya zaman
 
Mimi ni kijana wa miaka 23, sasa nachukua fulsa hii kumtafuta baba yangu ki ukweli sijawahai ata kumuona, mimi naitwa Werema Mauridy Mwita na baba yangu jina lake Mauridy Hamis Mwita.

Nimeishi na mama pamoja na baba wa kufikia. Ninachokumbuka kuhusu baba ni Kazi yake niliona katika cheti changu cha kuzaliwa kuwa ni Mwalimu wa Sekondari, jina la shule Kibaha Sekondari sasa sijajua kama bado ni mwalimu au la.

Naomba msaada kwa atakae kuwa anamjua anisaidie kuna vitu nakosa upande wa malezi ya baba.

Asanteni japo siko vizuri kiuandishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa anaitwa Hamis Maulid ni Afisa Elimu Mkoa (REO) wa Mwanza.... Hebu jaribu kuomba mawasiliano yake au jinsi ya kumfikia kupitia wadau humu waliopo Mwanza, ili uanze kumuuliza, may be anaweza akawa ndo yeye? Mafeking
 
Kuna kitu kikubwa chakujifunza sana hapa enyi kizaz cha sasa..

Most of relationship,wana ndoa wanapotengana huwa wanajitazama maisha yao pekee pasipo kuwaza kiumbe walichokipata kitangaika vipi!?

Harafu una mpiga block mwanaume au mwanamke uliyezaa nae na mtoto unaye,

Kesho na kesho kutwa unaaanza kumtesa mtoto aliyekuwa hana hatia

We must think twice,
Kuvunja mahusiano ni rahisi sana tena unapokuwa na support ya watu wakikushaur ujinga ila gharama yake ukubar kuja kuibeba mwenyewe.

Pole dogo,,
Huyo mama yako mkabe hadi akwonyeshe baba yako...

Sent using Iphone 11 pro
 
Enyi wamama wenye tabia ya kuficha baba za watoto wenu au kusingizia wamekufa, mna cha kujifunza hapa.... mtoto umleavyo leo hatabakia kuwa mtoto milele na kesho atausaka tu ukweli kwa gharama yoyote.
 
Back
Top Bottom