Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,714
Nimeshangaa sana na mimi!
Yani walivyochukia utadhani wao ndio walipewa mimba na huyo mzee
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nimeshangaa sana na mimi!
Yani walivyochukia utadhani wao ndio walipewa mimba na huyo mzee
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kibaha secondary watakupatia details zote hasa halmashauri alipokuwa anafanyia kazi. Huwa Wana mafaili ya taarifa za watumishi waoMimi ni kijana wa miaka 23, sasa nachukua fulsa hii kumtafuta baba yangu ki ukweli sijawahai ata kumuona, mimi naitwa Werema Mauridy Mwita na baba yangu jina lake Mauridy Hamis Mwita.
Nimeishi na mama pamoja na baba wa kufikia. Ninachokumbuka kuhusu baba ni Kazi yake niliona katika cheti changu cha kuzaliwa kuwa ni Mwalimu wa Sekondari, jina la shule Kibaha Sekondari sasa sijajua kama bado ni mwalimu au la.
Naomba msaada kwa atakae kuwa anamjua anisaidie kuna vitu nakosa upande wa malezi ya baba.
Asanteni japo siko vizuri kiuandishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umezingua kusema kuna vitu hupati katika malezi, yan miaka23 yote baba wa kufikia amekuhangaikia leo hii unakuja kusema hupati malezi, unataka malezi yapi, kuwa na shukuran kwa huyo baba dunia hii weweSijamaanisha kuwa sipati malezi bora bali kumjua baba mzazi kuna kitu una gain so baba mlezi kanilea vizuri tu na nampenda kama baba yangu. Ila natamani nimpate baba yangu ata isiwe yeye ata ndugu zake sababu wote siwajui
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana miaka 23 afu Mwishoni hapoMimi ni kijana wa miaka 23, sasa nachukua fulsa hii kumtafuta baba yangu ki ukweli sijawahai ata kumuona, mimi naitwa Werema Mauridy Mwita na baba yangu jina lake Mauridy Hamis Mwita.
Nimeishi na mama pamoja na baba wa kufikia. Ninachokumbuka kuhusu baba ni Kazi yake niliona katika cheti changu cha kuzaliwa kuwa ni Mwalimu wa Sekondari, jina la shule Kibaha Sekondari sasa sijajua kama bado ni mwalimu au la.
Naomba msaada kwa atakae kuwa anamjua anisaidie kuna vitu nakosa upande wa malezi ya baba.
Asanteni japo siko vizuri kiuandishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijamaanisha kuwa sipati malezi bora bali kumjua baba mzazi kuna kitu una gain so baba mlezi kanilea vizuri tu na nampenda kama baba yangu. Ila natamani nimpate baba yangu ata isiwe yeye ata ndugu zake sababu wote siwajui
Sent using Jamii Forums mobile app
Upande wa mama wenyeji wa mbeyaUpande wa mama mnatokea Songea ?
Ni Maulid( maulidy)Mimi ni kijana wa miaka 23, sasa nachukua fulsa hii kumtafuta baba yangu ki ukweli sijawahai ata kumuona, mimi naitwa Werema Mauridy Mwita na baba yangu jina lake Mauridy Hamis Mwita.
Nimeishi na mama pamoja na baba wa kufikia. Ninachokumbuka kuhusu baba ni Kazi yake niliona katika cheti changu cha kuzaliwa kuwa ni Mwalimu wa Sekondari, jina la shule Kibaha Sekondari sasa sijajua kama bado ni mwalimu au la.
Naomba msaada kwa atakae kuwa anamjua anisaidie kuna vitu nakosa upande wa malezi ya baba.
Asanteni japo siko vizuri kiuandishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok , umeshakufa kwani mtoto ilikuwa hauendi kumuona ? Hiyo pesa ya matunzo ilikuwa unaituma kwa njia gani ? Mtoto alikuwa na umri gani ?Wengi wamekurupuka kujibu bila uchunguzi wa kina,mimi binafsi nilishazaa na mwanamke na akawa anapandikiza sumu kwa mtoto kuwa nilishakufa wakati sijawahi kukataa mimba na wala sikuwahi kuacha kuhudumia kila mwezi,wanawake ni viumbe katili sana ambao wamejivika sura ya kutia huruma
Sent using IPhone X
Umeandika vizuri Sana , ndio maana mababa wengine wa kufikia uwa hawajari watoto wa kambo, kwa kuwa baadhi yao hawana shukranYaan nyie watoto msiokua na shukrani kwa baba zenu wa kufikia ndio mnasababisha hata single mothers wasiolewa
Sasa baba wa watu kakulea miaka zaidi ya 20 eti leo wamtaka baba yako.Tena kajidhiki kwa hali na mali ila fadhila unashindwa kumfadhili
Hata baba yako angekukosea tuu ,usijitie unyonge pengine yanayotokea sababu sio baba yako haipo hvyo ndugu
Nakutakia kheri katika harakati za kumtafuta baba yako pia zingatia matokeo ya wewe kumtafuta hy mzee kwa ustawi wa familia hii ya zaman
Ok , umeshakufa kwani mtoto ilikuwa hauendi kumuona ? Hiyo pesa ya matunzo ilikuwa unaituma kwa njia gani ? Mtoto alikuwa na umri gani ?
Sahihi sana mkuuKijana miaka 23 afu Mwishoni hapo
Kuna vitu unakosa upande wa malezi ya baba! (Tena mwalim mstaafu)
Unakosa nini labda boxer, ndala, jojo, mdoli au ushauri wake? Fafanua 23yrs
Ushauri wangu kwako kijana, please ELEKEZA NGUVU KWENYE KUITAFUTA HELA UKIIPATA BABA ATAKUTAFUTA TU!
Kwann mzazi hasimtafute mtoto ?Nimeshangaa sana na mimi!
Yani walivyochukia utadhani wao ndio walipewa mimba na huyo mzee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwann mzazi hamtafuti mtoto ?Sasa mtu asimtafute baba yake kisa kalelewa na baba wa kambo tangu mtoto?
HYO SIO SAHIHI..
baba yake ni haki yake kumjua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jina lake halisi linaandikwa hivyo? Nimezoea kuona MAULIDMimi ni kijana wa miaka 23, sasa nachukua fulsa hii kumtafuta baba yangu ki ukweli sijawahai ata kumuona, mimi naitwa Werema Mauridy Mwita na baba yangu jina lake Mauridy Hamis Mwita.
Nimeishi na mama pamoja na baba wa kufikia. Ninachokumbuka kuhusu baba ni Kazi yake niliona katika cheti changu cha kuzaliwa kuwa ni Mwalimu wa Sekondari, jina la shule Kibaha Sekondari sasa sijajua kama bado ni mwalimu au la.
Naomba msaada kwa atakae kuwa anamjua anisaidie kuna vitu nakosa upande wa malezi ya baba.
Asanteni japo siko vizuri kiuandishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha kumuhukumu mtu ambae anatunu ya kumjua baba ake kwani hawezi kua na maisha magumu kama unavonayo ww huyo nikijana wa miaka 23 kwani yy anatunu na baba yakeHapa inaonekana maisha yameanza kuwa magumu kwako ndio maana umeamua kumtafuta, pambana mdogo wangu kimpango wako
Pesa siyo kitu mbele ya utu yy ana tunu ya kumuona baba yake kwani anajisikia aibu kila unae muona mtaani kwao yuko na baba yake lkn yy ni mpwekeHuyo baba amekulea mpaka umekuwa mtu mzima leo unasema hupati malezi mazuri ?? Kuwa mtu wa shukrani kijana. Kama baba ako hata hujawahi kumwona leo ndo atakupa malezi ? Au yeye atataka uwe vzuri kipesa ili umpe na yeye ??
Sent using Jamii Forums mobile app