Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
Fuata moyo wako my dia
KIWAVI bana, yaani wewe umefuatilia umeona ni mgonjwa? Kweli kazi tunayo....mchungaji punguza hasira, wengine in psychopath aisee... fuatilia threads za nazjaz zote utagundua anaumwa
Hehehehehe watunzi naona wanaongezeka Mkuu, siku za nyuma hatukuwa na matatizo kama haya.
Mh!.. ninawasiwasi na kipengele hicho!.. Shule yenu ilikua free kiasi hicho??? Aisee!
i dont know why, ila wewe huaminiki na mimi sikuamini..... utunzi mwema
Nilipo kutana naye sikumchunia, nilizungumza naye machache na kumuachia red carpet.Nililia sana.......I really dont know how to help him hasa ikitiliwa maanani he was my first boyfriend, nadhani wadada wanaelewa nnacho kimaanishaNazjaz, msaidie rafik yko hta kdogo, unajua kna njia nyingi za msaada, naamin unampenda ila wakat umempita, mpe kamsaada hata kadogo hata kwa kupitia mgongo wa mtu, na si kumpita km humjui. N ushaur wangu, ila msaada huo usipitilaze ukakuharibia.
Napita tu, maana Nazjaz thread zake zimejaa utata mtupu
Wakuu, JF ingekuwa kila mtu anapost yaliyomsibu pekee nadhani kungekuwa kuna post 10 tu, mbili zangu na za wengine 8...
Nadhani kama story ina-possibility ya kutokea sioni tatizo cause ushauri huo unaweza ukamsaidia mwingine indirectly..
unacheza na upishi?Mh!.. ninawasiwasi na kipengele hicho!.. Shule yenu ilikua free kiasi hicho??? Aisee!
Ulipomuona ulichukua hatua gani? Ulifanya nin? Kumbuka huyu alikupiga kibuti Assemble so mnahistoria isiyoweza futika kirahisi. Ulifanya nini? NAZJAZ HEBU JIBU COMMENTS ZA WATU KM UPO SERIOUS!im very serious, hebu kuweni waungwana.Namna yetu wadada ya kufikiri inaathirika kutokana na mazingira na haki halisi. Mama mjamziti anawaza tofauti na anaye blidi, anayeblidi anawaza tofauti na aliye kwenye siku zake za kawaida.
Mchungaji ANA PEPO MCHAFU teh!KIWAVI bana, yaani wewe umefuatilia umeona ni mgonjwa? Kweli kazi tunayo....