Namshukuru Mungu wana CHADEMA wameanza kunielewa na kuniamini

Benson Mramba

JF-Expert Member
Oct 29, 2013
644
1,482
Mwaka 2017 niliamua binafsi kuwa mwanachama mfu wa CHADEMA na kujipa kazi ya kuwaeleza wanachama wa CHADEMA, Viongozi wa CHADEMA hususan Wabunge na Watanzania wote wapenda demokrasia kuwa Chama chao kikuu cha upinzani chini ya Mwenyekiti wake freeman Mbowe kimepoteza mwelekeo.

Niliongelea kuhusu mbowe kukidai Chama bilioni 7 na bia nilizungumzia zoezi la CHADEMA ni msingi kuwa lina lengo la kujenga Chama ndani ya Chama na kuwang'oa wote wanaompinga Mwenyekiti Mbowe.

Binafsi niliwafuata Wabunge kadhaa kuwashauri wachukua hatua za kumdhibiti Mwenyekiti wao kwasababu siku za mbeleni atawaumiza na kuhatarisha hata Ubunge wao. Wengi hawakufanya lolote. Wabunge waliofukuzwa juzi wote nilishawahi kuongea nao mara kadhaa kwasababu niliamini angalau wana ujasiri wa kuchukua hatua ila hawakufanya hivyo labda timing ilikuwa bado. Wamefukuzwa tena mwishoni ili waharibikiwe ndio wananielewa sasa.

Hotuba ya jana ya Mbunge Lijualikali Bungeni ilipaswa kutolewa na Wabunge hawa mapema kabla ya Uchaguzi ndani ya Chama ingewasaidia sana kulinda jasho lao ndani ya Chama. Sasa wanajilipua wakiwa wanakimbia uwanja wa vita. It makes little sense. Japo nimeshukuru angalau wabishi wachache wamekubaliana nami.


Kuonyesha kuwa Wabunge wa CHADEMA walikuwa pamoja na Lijualikali jana hakukuwa na muongozo wowote wala taarifa kutoka kwa Wabunge wa CHADEMA wote walikaa kimya kabisa.

Sasa nasubiri Wabunge wengine baada ya Bunge kuvunjwa nao wathibitishe maneno yangu. Mtu wa mwisho atakayenifanya niibuke shujaa wa vita hii dhidi ya Mbowe ni Tundu Lissu. Yeye ndie mhanga ajae miezi miwili hii ya mbeleni. Labda awe coward atasalimika kwa muda.

Mbowe ni tatizo kubwa kwa Demokrasia ya nchi hii. Amefuata nyayo za Lyatonga Mrema. Washauri wa Mrema wa mwaka 2000 yaani Msigwa, Lema n.k ndio washauri wakubwa wa Mbowe leo.

Wanaomshabikia Mbowe hao ndio wabaya zaidi
 
Lijuakali alishajulikana mapema sana ataondoka, sasa wewe kwa akili yako ya kitoto umetafsiri kukaa kimya kwa wabunge wa CDM ni kukubaliana na alichokuwa anazungumza, wakati wenzako walijua huyo Lijuakali anakamilisha mpango aliotumwa siku nyingi na CCM, ndio maana wakamuacha aendelee kuongea huku analia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulitaka wabunge wa chadema waombe muongozo wa nini? Hebu tueleze vizuri ili tuweze kujadlili andiko lako.
 
Mwaka 2017 niliamua binafsi kuwa mwanachama mfu wa CHADEMA na kujipa kazi ya kuwaeleza wanachama wa CHADEMA, Viongozi wa CHADEMA hususan Wabunge na Watanzania wote wapenda demokrasia kuwa Chama chao kikuu cha upinzani chini ya Mwenyekiti wake freeman Mbowe kimepoteza mwelekeo.

Niliongelea kuhusu mbowe kukidai Chama bilioni 7 na bia nilizungumzia zoezi la CHADEMA ni msingi kuwa lina lengo la kujenga Chama ndani ya Chama na kuwang'oa wote wanaompinga Mwenyekiti Mbowe.

Binafsi niliwafuata Wabunge kadhaa kuwashauri wachukua hatua za kumdhibiti Mwenyekiti wao kwasababu siku za mbeleni atawaumiza na kuhatarisha hata Ubunge wao. Wengi hawakufanya lolote. Wabunge waliofukuzwa juzi wote nilishawahi kuongea nao mara kadhaa kwasababu niliamini angalau wana ujasiri wa kuchukua hatua ila hawakufanya hivyo labda timing ilikuwa bado. Wamefukuzwa tena mwishoni ili waharibikiwe ndio wananielewa sasa.

Hotuba ya jana ya Mbunge Lijualikali Bungeni ilipaswa kutolewa na Wabunge hawa mapema kabla ya Uchaguzi ndani ya Chama ingewasaidia sana kulinda jasho lao ndani ya Chama. Sasa wanajilipua wakiwa wanakimbia uwanja wa vita. It makes little sense. Japo nimeshukuru angalau wabishi wachache wamekubaliana nami.


Kuonyesha kuwa Wabunge wa CHADEMA walikuwa pamoja na Lijualikali jana hakukuwa na muongozo wowote wala taarifa kutoka kwa Wabunge wa CHADEMA wote walikaa kimya kabisa.

Sasa nasubiri Wabunge wengine baada ya Bunge kuvunjwa nao wathibitishe maneno yangu. Mtu wa mwisho atakayenifanya niibuke shujaa wa vita hii dhidi ya Mbowe ni Tundu Lissu. Yeye ndie mhanga ajae miezi miwili hii ya mbeleni. Labda awe coward atasalimika kwa muda.

Mbowe ni tatizo kubwa kwa Demokrasia ya nchi hii. Amefuata nyayo za Lyatonga Mrema. Washauri wa Mrema wa mwaka 2000 yaani Msigwa, Lema n.k ndio washauri wakubwa wa Mbowe leo.

Wanaomshabikia Mbowe hao ndio wabaya zaidi
Mshukuru shetani wako unayemtumikia nyambafu ww...umekua km mwanamke aliyeikimbia ndoa baadae anaona gubu
 
Ulijiunga na CHADEMA ili kuwaeleza wanachama wake kuwa Chama ‘chao’ kimepoteza Dira, sio vema kutukana ila kuna muda inalazimu.
 
Lijuakali alishajulikana mapema sana ataondoka, sasa wewe kwa akili yako ya kitoto umetafsiri kukaa kimya kwa wabunge wa CDM ni kukubaliana na alichokuwa anazungumza, wakati wenzako walijua huyo Lijuakali anakamilisha mpango aliotumwa siku nyingi na CCM, ndio maana wakamuacha aendelee kuongea huku analia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini hamkumtoa mapema ili mjipatie credit kwa kugundua msaliti?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka 2017 niliamua binafsi kuwa mwanachama mfu wa CHADEMA na kujipa kazi ya kuwaeleza wanachama wa CHADEMA, Viongozi wa CHADEMA hususan Wabunge na Watanzania wote wapenda demokrasia kuwa Chama chao kikuu cha upinzani chini ya Mwenyekiti wake freeman Mbowe kimepoteza mwelekeo.

Niliongelea kuhusu mbowe kukidai Chama bilioni 7 na bia nilizungumzia zoezi la CHADEMA ni msingi kuwa lina lengo la kujenga Chama ndani ya Chama na kuwang'oa wote wanaompinga Mwenyekiti Mbowe.

Binafsi niliwafuata Wabunge kadhaa kuwashauri wachukua hatua za kumdhibiti Mwenyekiti wao kwasababu siku za mbeleni atawaumiza na kuhatarisha hata Ubunge wao. Wengi hawakufanya lolote. Wabunge waliofukuzwa juzi wote nilishawahi kuongea nao mara kadhaa kwasababu niliamini angalau wana ujasiri wa kuchukua hatua ila hawakufanya hivyo labda timing ilikuwa bado. Wamefukuzwa tena mwishoni ili waharibikiwe ndio wananielewa sasa.

Hotuba ya jana ya Mbunge Lijualikali Bungeni ilipaswa kutolewa na Wabunge hawa mapema kabla ya Uchaguzi ndani ya Chama ingewasaidia sana kulinda jasho lao ndani ya Chama. Sasa wanajilipua wakiwa wanakimbia uwanja wa vita. It makes little sense. Japo nimeshukuru angalau wabishi wachache wamekubaliana nami.


Kuonyesha kuwa Wabunge wa CHADEMA walikuwa pamoja na Lijualikali jana hakukuwa na muongozo wowote wala taarifa kutoka kwa Wabunge wa CHADEMA wote walikaa kimya kabisa.

Sasa nasubiri Wabunge wengine baada ya Bunge kuvunjwa nao wathibitishe maneno yangu. Mtu wa mwisho atakayenifanya niibuke shujaa wa vita hii dhidi ya Mbowe ni Tundu Lissu. Yeye ndie mhanga ajae miezi miwili hii ya mbeleni. Labda awe coward atasalimika kwa muda.

Mbowe ni tatizo kubwa kwa Demokrasia ya nchi hii. Amefuata nyayo za Lyatonga Mrema. Washauri wa Mrema wa mwaka 2000 yaani Msigwa, Lema n.k ndio washauri wakubwa wa Mbowe leo.

Wanaomshabikia Mbowe hao ndio wabaya zaidi
Labda kama kukuelewa kuwa wewe ni takataka, hilo sawa, not otherwise!
 
Kwanini Kila anaeondoka kauli yenu ni "tulijua ataondoka" kwanini hamsemi kabla?
Tusijifanye hatuoni hiki chama Kuna sehemu wanakosea wanataki hatua za kimkakati kunusuru chama.
Lijuakali alishajulikana mapema sana ataondoka, sasa wewe kwa akili yako ya kitoto umetafsiri kukaa kimya kwa wabunge wa CDM ni kukubaliana na alichokuwa anazungumza, wakati wenzako walijua huyo Lijuakali anakamilisha mpango aliotumwa siku nyingi na CCM, ndio maana wakamuacha aendelee kuongea huku analia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miongozo ya kuweka wazi taarifa za Lijuakali, lkini kwakuwa hakukuwa na mwongozo basi ile taarifa ni ya ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
ilikuwa sio mahali pake, kumbuka kikao kinachoendelea ni cha bajeti na sio cha kuijadili chadema. Wabunge wa chadema hawawez kupoteza muda kujadili mambo ya uzushi, hayo yanafanywa na kija kibajaji na mlinga wa ccm
 
Mwaka 2017 niliamua binafsi kuwa mwanachama mfu wa CHADEMA na kujipa kazi ya kuwaeleza wanachama wa CHADEMA, Viongozi wa CHADEMA hususan Wabunge na Watanzania wote wapenda demokrasia kuwa Chama chao kikuu cha upinzani chini ya Mwenyekiti wake freeman Mbowe kimepoteza mwelekeo.

Niliongelea kuhusu mbowe kukidai Chama bilioni 7 na bia nilizungumzia zoezi la CHADEMA ni msingi kuwa lina lengo la kujenga Chama ndani ya Chama na kuwang'oa wote wanaompinga Mwenyekiti Mbowe.

Binafsi niliwafuata Wabunge kadhaa kuwashauri wachukua hatua za kumdhibiti Mwenyekiti wao kwasababu siku za mbeleni atawaumiza na kuhatarisha hata Ubunge wao. Wengi hawakufanya lolote. Wabunge waliofukuzwa juzi wote nilishawahi kuongea nao mara kadhaa kwasababu niliamini angalau wana ujasiri wa kuchukua hatua ila hawakufanya hivyo labda timing ilikuwa bado. Wamefukuzwa tena mwishoni ili waharibikiwe ndio wananielewa sasa.

Hotuba ya jana ya Mbunge Lijualikali Bungeni ilipaswa kutolewa na Wabunge hawa mapema kabla ya Uchaguzi ndani ya Chama ingewasaidia sana kulinda jasho lao ndani ya Chama. Sasa wanajilipua wakiwa wanakimbia uwanja wa vita. It makes little sense. Japo nimeshukuru angalau wabishi wachache wamekubaliana nami.


Kuonyesha kuwa Wabunge wa CHADEMA walikuwa pamoja na Lijualikali jana hakukuwa na muongozo wowote wala taarifa kutoka kwa Wabunge wa CHADEMA wote walikaa kimya kabisa.

Sasa nasubiri Wabunge wengine baada ya Bunge kuvunjwa nao wathibitishe maneno yangu. Mtu wa mwisho atakayenifanya niibuke shujaa wa vita hii dhidi ya Mbowe ni Tundu Lissu. Yeye ndie mhanga ajae miezi miwili hii ya mbeleni. Labda awe coward atasalimika kwa muda.

Mbowe ni tatizo kubwa kwa Demokrasia ya nchi hii. Amefuata nyayo za Lyatonga Mrema. Washauri wa Mrema wa mwaka 2000 yaani Msigwa, Lema n.k ndio washauri wakubwa wa Mbowe leo.

Wanaomshabikia Mbowe hao ndio wabaya zaidi
Mkuu unaeleweka sana!

Unaongea facts tena kwa mtiririko wenye akili.
Achana na matusi ya JF, kwa vile nawe ulikuwa ndani unajua Mbowe anavyopanga vijana kutukana kwenye social media.

Hilo la wabunge wengi wa CHADEMA kumwaga mboga bunge likivunjwa hata mimi naliona. Tuvute subira.
 
Mwaka 2017 niliamua binafsi kuwa mwanachama mfu wa CHADEMA na kujipa kazi ya kuwaeleza wanachama wa CHADEMA, Viongozi wa CHADEMA hususan Wabunge na Watanzania wote wapenda demokrasia kuwa Chama chao kikuu cha upinzani chini ya Mwenyekiti wake freeman Mbowe kimepoteza mwelekeo.

Niliongelea kuhusu mbowe kukidai Chama bilioni 7 na bia nilizungumzia zoezi la CHADEMA ni msingi kuwa lina lengo la kujenga Chama ndani ya Chama na kuwang'oa wote wanaompinga Mwenyekiti Mbowe.

Binafsi niliwafuata Wabunge kadhaa kuwashauri wachukua hatua za kumdhibiti Mwenyekiti wao kwasababu siku za mbeleni atawaumiza na kuhatarisha hata Ubunge wao. Wengi hawakufanya lolote. Wabunge waliofukuzwa juzi wote nilishawahi kuongea nao mara kadhaa kwasababu niliamini angalau wana ujasiri wa kuchukua hatua ila hawakufanya hivyo labda timing ilikuwa bado. Wamefukuzwa tena mwishoni ili waharibikiwe ndio wananielewa sasa.

Hotuba ya jana ya Mbunge Lijualikali Bungeni ilipaswa kutolewa na Wabunge hawa mapema kabla ya Uchaguzi ndani ya Chama ingewasaidia sana kulinda jasho lao ndani ya Chama. Sasa wanajilipua wakiwa wanakimbia uwanja wa vita. It makes little sense. Japo nimeshukuru angalau wabishi wachache wamekubaliana nami.


Kuonyesha kuwa Wabunge wa CHADEMA walikuwa pamoja na Lijualikali jana hakukuwa na muongozo wowote wala taarifa kutoka kwa Wabunge wa CHADEMA wote walikaa kimya kabisa.

Sasa nasubiri Wabunge wengine baada ya Bunge kuvunjwa nao wathibitishe maneno yangu. Mtu wa mwisho atakayenifanya niibuke shujaa wa vita hii dhidi ya Mbowe ni Tundu Lissu. Yeye ndie mhanga ajae miezi miwili hii ya mbeleni. Labda awe coward atasalimika kwa muda.

Mbowe ni tatizo kubwa kwa Demokrasia ya nchi hii. Amefuata nyayo za Lyatonga Mrema. Washauri wa Mrema wa mwaka 2000 yaani Msigwa, Lema n.k ndio washauri wakubwa wa Mbowe leo.

Wanaomshabikia Mbowe hao ndio wabaya zaidi
Hakika maelezo yenye busara nyingi sana,big up

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka 2017 niliamua binafsi kuwa mwanachama mfu wa CHADEMA na kujipa kazi ya kuwaeleza wanachama wa CHADEMA, Viongozi wa CHADEMA hususan Wabunge na Watanzania wote wapenda demokrasia kuwa Chama chao kikuu cha upinzani chini ya Mwenyekiti wake freeman Mbowe kimepoteza mwelekeo.

Niliongelea kuhusu mbowe kukidai Chama bilioni 7 na bia nilizungumzia zoezi la CHADEMA ni msingi kuwa lina lengo la kujenga Chama ndani ya Chama na kuwang'oa wote wanaompinga Mwenyekiti Mbowe.

Binafsi niliwafuata Wabunge kadhaa kuwashauri wachukua hatua za kumdhibiti Mwenyekiti wao kwasababu siku za mbeleni atawaumiza na kuhatarisha hata Ubunge wao. Wengi hawakufanya lolote. Wabunge waliofukuzwa juzi wote nilishawahi kuongea nao mara kadhaa kwasababu niliamini angalau wana ujasiri wa kuchukua hatua ila hawakufanya hivyo labda timing ilikuwa bado. Wamefukuzwa tena mwishoni ili waharibikiwe ndio wananielewa sasa.

Hotuba ya jana ya Mbunge Lijualikali Bungeni ilipaswa kutolewa na Wabunge hawa mapema kabla ya Uchaguzi ndani ya Chama ingewasaidia sana kulinda jasho lao ndani ya Chama. Sasa wanajilipua wakiwa wanakimbia uwanja wa vita. It makes little sense. Japo nimeshukuru angalau wabishi wachache wamekubaliana nami.


Kuonyesha kuwa Wabunge wa CHADEMA walikuwa pamoja na Lijualikali jana hakukuwa na muongozo wowote wala taarifa kutoka kwa Wabunge wa CHADEMA wote walikaa kimya kabisa.

Sasa nasubiri Wabunge wengine baada ya Bunge kuvunjwa nao wathibitishe maneno yangu. Mtu wa mwisho atakayenifanya niibuke shujaa wa vita hii dhidi ya Mbowe ni Tundu Lissu. Yeye ndie mhanga ajae miezi miwili hii ya mbeleni. Labda awe coward atasalimika kwa muda.

Mbowe ni tatizo kubwa kwa Demokrasia ya nchi hii. Amefuata nyayo za Lyatonga Mrema. Washauri wa Mrema wa mwaka 2000 yaani Msigwa, Lema n.k ndio washauri wakubwa wa Mbowe leo.

Wanaomshabikia Mbowe hao ndio wabaya zaidi
Wanaokuelewa ni wapuuzi wenzio, siyo Wanachadema
 
Back
Top Bottom