No, hii haina maana.... kwa uhakika kabisa, kwa Tz ya sasa, hakuna mtu anaweza weka tshs 500,000,000 nyumbani... Hata kama yupo say 1 au 2, huwezi badili FEDHA ya nchi sbb ya watu 2 au 3 hata kama wapo... !!
Kuna njia nyingi za kudhibiti hizo fedha zisizagae mikononi mwa watu... Moja wapo ni FEDHA HARAMU ya Drugs... pili UKWEPAJI KODI MKUBWA... na tatu KUDHIBITI MFUMUKO wa bei, meaning fedha kuwa na VALUE... Grand CORRUPTION etc..
So, No, No... kubadili fedha, umefikiria kwa kifupi sana pua na mdomo..