Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,119
January Makamba wakati kampeni ikiendelea alipiga billion 1.7 hadi Magufuli akapagawa lakini bahati akina Membe na Jack Gotham wakaenda china kuwatisha kuwa endapo Ukawa watachukua Nchi mikataba yao yote ikiwemo ya bandari ya Bagamoyo itafutwa, ndipo Serikali ya China ikatoa tena Mabilioni ya dola kampeni ikaendelea zikatumika kununua magoli ya mikono, zile Mabilioni zilizosalia zote kinana peke yake alichukua billion 3 kisha zingine wakagawana mzee mangula, Nape, Luhavi, mama zakia na wajanja wengine wa ccm wakiwemo hao hao akina Membe na Jack Gotham ambao pia wana Bank majumbani mwao wamehifadhi Mabilioni ya marehemu Gadafi,
.
Benard Membe ana handaki kubwa nyumbani kwake amehifadhi Mabilion ya dola za marehemu Gadafi huku zingine akiwa kazificha kwa Jack Gotham rafiki yake mkubwa mmiliki wa Tenda ya vitambulisho vya Taifa, hata Nape, mwigulu na January Makamba , kinana, mangula, Rajab luhavi na wajanja wa CCM waliopiga pesa za kampeni toka China wamezificha ndani Aridhini, wengine wajanja zaidi wamenunua majumba Ulaya, Dubai, South Africa na kufungua biashara kwa majina ya watu mbalimbali, .
JT2014
great Idea, iendane na devaluation au kuondoa sifuri moja kwenye fedha yetu.pia iambatane na BAN ya Mauzo yote ya nyumba,viwanja au mali zisizohamishika kwa cash.biashara ha kununua shamba kwa million 20 ufe.ili transfer iwe legal,lazy iambatane na bank slip. Ukijumlisha na ubadilishaji wa fedha Ndani ya wiki moja,mabazazi wanaptutia umaskini watakuwa na Wakati mgumu Sana.
Mkuu hakuna kitu kiliniuma kama ile hotubaArudishe zile za mkapa aziimalishe tuu kwa teknology ya kisasa
hizi za mkwere za madafuu