Chibike
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 4,896
- 7,522
Michuano Gani ambayo Haina shamrashamra, michuano inafanyika kwenye nchi ambayo watu hawana muda, marketing iliyofanyika ni ya kiwango Cha chini sana, Yan mtu anaetoka ulaya akija hawez kujua kabisa kwamba Kuna michuano ya mpira wa miguu inafanyika nchini,
Naona kabisa bilionea Motsepe ataifuta hii michuano....imedoda kabisa na Motsepe hapendi vitu visivyo na shamrashamra ..hii michuano ingefutwa tu kwa ushari wangu, futilia mbali pia CECAFA, Ibaki tu AFCON.
Nchi hii tajiri hivyo tumeshindwa kupiga marketing Moja ya hatari, kama tuna uwezo wakua na matumizi yasiyo na tija kwa mujibu wa CAG zaidi ya Bilioni 600, tunashindwa nini michuano midogo hii kupiga marketing Moja matata kabisa ..dah. aibu.
Naona kabisa bilionea Motsepe ataifuta hii michuano....imedoda kabisa na Motsepe hapendi vitu visivyo na shamrashamra ..hii michuano ingefutwa tu kwa ushari wangu, futilia mbali pia CECAFA, Ibaki tu AFCON.
Nchi hii tajiri hivyo tumeshindwa kupiga marketing Moja ya hatari, kama tuna uwezo wakua na matumizi yasiyo na tija kwa mujibu wa CAG zaidi ya Bilioni 600, tunashindwa nini michuano midogo hii kupiga marketing Moja matata kabisa ..dah. aibu.